Search results

  1. M

    Ubadhirifu aliobainisha CAG, nani alaumiwe?

    Ndugu wanajukwaa habari zenu. Kumekua na tabia ya kumshukuru mama hata umeme uliporejea jana baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kama wakazi wa Daresalam wamemshukuru mama. Imekua kasumba serikali ikifanya shuhuli za maendeleo anasifiwa mama. Mbona akikopa hamsemi amekopa mnasema serikali...
  2. M

    CRDB rekebisheni mifumo yenu ina kasoro ndogondogo.

    Ukiingia kwenye App ya CRDB inakua haina usumbufu tatizo ni mrejesho wa ujumbe wao. Unaambiwa umetuma hela kwa kutajiwa akaunti namba yako lakini hutajiwi namba na jina la uliyemtumia hela. Kwanini msirudishe majibu kwa kutaja namba na majina ya aliyetumiwa hela? Hii inasaidia hata kufanya...
  3. M

    Amos Makalla anaweza kuchukua nafasi ya Makonda

    Heri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo. Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za...
  4. M

    Salamu kwako Rais, wakatae wanaokuroga kwa maneno na rangi ya kijani

    Habari ya Jumamosi. Ninayoheshima kubwa kukuandikia mama kukuambiatu kwa ufupi sana. Mama wewe haya yanayofanyika unayaona na unajua mengi kuliko sisi raiya wako. Hilo lipo wazi Ninachoweza kukuambia hao watendaji wako ambao wengine niwabadhirifu wengine ni wazembe wanakuloga sana. Uchawi...
  5. M

    Hili la walimu kufanya mitihani kabla ya kuajiriwa, Mawaziri nao wapewe mitihani kupata walio bora

    Wanajukwaa natumaini hamjambo mpo vyema. Kupitia vyanzo mnalimbali vya habari nimeona eti anaejiita profesa Mkenda anataka walimu wapewe mitihani kabla ya ajira. Hivi walimu kwa uwingi wao unaposema uanze kuwapa mitihani huoni kama unatengeneza urasimu wa hali ya juu? Vipi mazingira ya rushwa...
  6. M

    Kwa hili la Serikali kushindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita cha NHIF, Waziri Ummy asaidiwe kuondoka wizarani

    Wanajukwaa ninaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha mzee wetu Ali Hassan Mwinyi. Familia yake ijawe na faraja na subra katika kipindi chote kigumu. Mungu ailaze roho ya Babu mahala pema peponi tena huko Firdausi.... Aaamin. Baada ya hapo hata sioni haja ya kutoa maelezo mengi mno...
  7. M

    Kwani mtandao wa Airtel makao yenu makuu ni Ukraine?

    Kwa muda usiopungua siku tano sasa mtandao wa Airtel umesababisha usumbufu mkubwa kwa baadhi ya watumiaji wake. Simu za mtandao huo hazitoki na sanasana mteja unaweza ukaambiwa namba unayopiga haiwezi kuunganishwa kwasasa Wateja wanahangaika na mawasiliano hamna. Vifurushi vyenu vinakata maratu...
  8. M

    Wanaofanya sherehe za madarasa mapya wakati wapo kwenye msiba wa kufelisha nawashangaa

    Miaka ya hivi karibuni viongozi wa umma wameingiwa na tabia ya kusifu na kushangilia hovyo. Kupitia mitandao ya kijamii tunashuhudia wakurugenzi na wakuu wa wilaya wakijisifia ujenzi wa madarasa kana kwamba nikitu ambacho hakikua kinawezekana. Hao hao viongozi wameandamwa na msiba wa shule za...
  9. M

    Shule za Serikali kutong'ara kwenye matokeo ya mitihani, waandishi wa habari bado hawajatimiza wajibu wao ipasavyo

    Mara zote shule binafsi wanakua vinara katika matokeo ya mitihani aidha darasa la saba au kidato cha nne. Sababu za matokeo yakiwa mazuri au mabaya zipo kama vile uwezo binafsi wa mwanafunzi, bidii, mazingira, rasilimali vitabu,walimu bora, maabara za kisasa, maslahi bora ya watumishi, mbinu...
  10. M

    Nape iangalie kesho zaidi usiyoijua kuliko leo. Badilika na usonge mbele

    Ninampongeza Nape Moses Nnauye kwa kurejeshwa kua waziri katika wizara yake ya habari Wakati Nape alipokua waziri wa habari ndio kipindi ambacho Uhuru wa vyombo vya habari uliminywa,zilipitishwa sheria ambazo hazikua rafiki kwa wadau wa habari,vilifungiwa vyombo vya habari kama redio na...
  11. M

    Rais Samia itazame upya HESLB na ikiwezekana Wazingue

    Mh. Rais ninakusalimu kwajina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwaufupi ninashauri Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu itazamwe upya. Menejimenti ni mbovu, huduma sio rafiki, wahitaji kama yatima na maskini hawajapewa Mikopo na wengine wameacha vyuo na wakati huo wapo ambao wanamudu kujisomesha...
  12. M

    Kura sio siri tena

    Kwa hali ilivyo kura sio siri tena kwa kiwango kikubwa maana asilimia kubwa ya wapiga kura wameshajipambanua watampatia nani kura zao. Vilevile hata wanaogombea na wapiga debe wao kwaasilimia kubwa kilammoja atapigia chama au kundi lake. Pia mawakala wa vyama wanajieleza wao watampigia mtugani...
  13. M

    Wanaotangaza amani hawana amani

    Amani ni neno pana lakini ninaweza kutoa tafsri kwamba nikuwa huru na kukosa msukosuko au msuguano ndani ya nafsi unaosababishwa na jambo lolote lile. Ikitokea mtu ana kisasi au kinyongo juu ya jambo fulani huyo hana amani. Nimegundua kwamba baadhi ya viongozi wetu wanaotuhubiria tuwe na amani...
  14. M

    Rais ajaye afanye maamuzi magumu

    Baada ya Rais kuapishwa na kulifungua bunge, jambo la msingi ili kutengeneza usawa afanye yafuatayo Apunguze maslahi ya wabunge Darasa la saba wasiingie bungeni Abadili sheria viti maalum vifutwe Walipwe kutokana na elimu zao Walipwe mafao yao baada ya kutimiza miaka 60. Hapa watapigania fao la...
  15. M

    Uchaguzi 2020 Kuelekea Oktoba 28, ITV kiongezeeni muda kipindi cha Dakika 45

    Bila maneno mengi, ninaomba ITV wakiongezee muda kipindi cha Dakika 45 kwa kipindi hiki cha uchaguzi angalau kiwe kwa dakika 80. Pia kifanyike hata kwa wiki mara tatu. ITV niwasikivu na weledi katika habari nadhani wataona na watafanya maboresho kwenye muda.
  16. M

    Uchaguzi 2020 Sijamsikia Mgombea Urais mwenye sera hizi

    Ningetamani sana kama ningemsikia mgombea uraisi mwenye Sera kama vile: . Kuweka wazi mshahara na marupurupu atakayojilipa . Kusema atapunguza mshahara na posho zake . Kupunguza ukubwa wa serikali . Kupunguza idadi kubwa ya wabunge ndani ya bunge hasa viti maalum maana hawapo huru kutoa maoni...
  17. M

    Kero: Mtandao wa Tigo mnakera

    Huu mtandao unazidi kuwa KERO kwa BAADHI ya watumiaji. Hivi nikwanini mnagawanya dakika za kutumia mchana na nyingine za usiku? Tena eti kuanzia saa nne usiku, hivi mtu mzima anaongea mambo gani usiku huo kila siku? Kama kwa utafiti wenu mmeona wapo wateja wenu wengi wanatumia muda huo,basi...
  18. M

    Kuelekea uchaguzi mkuu oktoba, hongera mwanahabari Farhia Middle

    Habari ya wakati huu wanajukwaa hili huru. Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge/wawakilishi na Madiwani vimekuwa vikiendeshwa vipindi mbalimbali vihusuvyo mwenendo wa siasa kama vile ilani za vyama, sera na ahadi mbalimbali. Kupitia ITV kipindi cha Dakika 45, mtangazaji huyo nimekuwa...
  19. M

    Waziri Mkuu Majaliwa, njoo Tanga usikilize kero za Wananchi

    Huu ni ujumbe kwa mh. Majaliwa Kassim waziri mkuu wa serikali ya awamu ya tano. Maumivu na uchungu alivyovipata Moro akifika Tanga anaweza akashangaa na hatimaye kulia kabisa Ukija kwenye migogoro ya ardhi,utasikitika maana ilianza kutengenezwa na mkurugenzi,maafisa ardhi na mwanasheria wa...
  20. M

    Tamisemi fuatilieni sakata hili katika jiji la Tanga

    Habari ya mwisho wa wiki wanajukwaa Sikutatu zilizopita niliandika habari yenye kichwa cha habari mkuu wa shule aliyeshindikana katika jiji la ,Jafo njoo umng'oe. Wadau waliowengi wamekua na mtazamo ambao sio sahihi kwangu kwakuona kama vile ninamajungu,chuki au roho mbaya. Naomba niwaambie...
Back
Top Bottom