Tamisemi fuatilieni sakata hili katika jiji la Tanga

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Mar 23, 2016
2,370
3,148
Habari ya mwisho wa wiki wanajukwaa

Sikutatu zilizopita niliandika habari yenye kichwa cha habari mkuu wa shule aliyeshindikana katika jiji la ,Jafo njoo umng'oe.

Wadau waliowengi wamekua na mtazamo ambao sio sahihi kwangu kwakuona kama vile ninamajungu,chuki au roho mbaya. Naomba niwaambie sinachuki na mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni iliyopo jijini Tanga

Mkuu huyo mbali na mambo mengine mengi ambayo alilalamikiwa kwa Afisa elimu jiji tangu mwaka jana na walimu wa shule hiyo na akawaahidi kuchukua hatua,hadi sasa hajachukua hatua ni matatizo kama lugha mbaya,kejeli,matusi na ubabe kazini na bado vimekua kama sehemu ya maisha yake shuleni

Msukumo wa kuandika mada hii umekuja pale ambapo mkuu huyu wa shule anafanya ubadhirifu wa waziwazi wa fedha za serikali na bado analindwa na wateule wake.

Amekua mkorofi kiasi kwamba hata fedha za fundi ambazo alitakiwa amlipe kupitia utaratibu wa force account pia amezila na amegoma kulipa. Tena anasema haogopi maana yeye ni usalama wa taifa.

Fundi alipoona hakuna msaada atakaoupata kwa afisa elimu huyo,aliamua kwenda PCCB hivyo ngoja tusikilizie hao jamaa maana hawana mambo ya kumpendeza mtu,niwatenda haki

Kibaya zaidi nikwamba Afisa elimu jiji amewaambia walimu wa shule hiyo hawatapata fursa kwakua eti hawamtaki mkuu huyu wa shule, hapa kuna maswali mengi

Tetesi za kuhamishwa baadhi ya walimu

Inasemekana kwamba walimu waliothubutu kumkatalia mkuu huyo wa shule kuandaa taarifa za udanganyifu juu ya namna alivyotumia fedha hizo, wameonekana kama kikwazo hivyo upo mpango wa kuwaondoa walimu hao shuleni hapo.

Hata Afisa elimu amewatishia walimu na kuwaambia wasije wakamlaumu kwa maamuzi atakayochukua juu yao. Swali ni je,kama ameiba mkuu wa shule,walimu wengine waliopigia kelele wizi huo wanahamishwa kwanini?

Au kauli hiyo ilikua ya kuwatishia walimu hao wasipaze sauti zao? Afisa elimu hapo ninadhani uliteleza ila angalia usije ukaamua ukiwa na hasira maana mchelea mwana,hulia mwenyewe

Ninawaahidi kuendelea kuwapa mrejesho wa kitakacho jiri,hasa aina yoyote ya ubabe na uonevu dhidi ya fundi na walimu hao

Kupitia jukwaa hili wadau wengi wataona na haki itatendeka
 
wewe utakua mwalimu pia kwenye hio shule na bila shaka unautaka huo ualimu mkuu pia. taarifa zako zinaonesha tu wewe ni mwalimu na unashida nyingi za kiuchumi
 
Wakuu wa hivyo wapo wengi Sana hata maafisa Elimu wengine wanajiita usalama wa Taifa.Kuna wilaya moja Mkoa wa Geita afisa Elimu anatamba yeye ni TIS
 
Kwani Tiss wapo juu ya sheria? Waombe mwongozo wa force a/c hapo kwa Ded tanga jiji ili waende sawa tu mtuhumiwa siyo mshitakiwa
 
Habari ya mwisho wa wiki wanajukwaa
Sikutatu zilizopita niliandika habari yenye kichwa cha habari MKUU WA SHULE ALIYESHINDIKANA TANGA JIJI,JAFO NJOO UMNG'OE

Wadau waliowengi wamekua na mtazamo ambao sio sahihi kwangu kwakuona kama vile ninamajungu,chuki au roho mbaya. Naomba niwaambie sinachuki na mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni iliyopo jijini Tanga

Mkuu huyo mbali na mambo mengine mengi ambayo alilalamikiwa kwa Afisa elimu jiji tangu mwaka jana na walimu wa shule hiyo na akawaahidi kuchukua hatua,hadi sasa hajachukua hatua ni matatizo kama lugha mbaya,kejeli,matusi na ubabe kazini na bado vimekua kama sehemu ya maisha yake shuleni

Msukumo wa kuandika mada hii umekuja pale ambapo mkuu huyu wa shule anafanya ubadhirifu wa waziwazi wa fedha za serikali na bado analindwa na wateule wake.

Amekua mkorofi kiasi kwamba hata fedha za fundi ambazo alitakiwa amlipe kupitia utaratibu wa force account pia amezila na amegoma kulipa. Tena anasema haogopi maana yeye ni usalama wa taifa.

Fundi alipoona hakuna msaada atakaoupata kwa afisa elimu huyo,aliamua kwenda PCCB hivyo ngoja tusikilizie hao jamaa maana hawana mambo ya kumpendeza mtu,niwatenda haki

Kibaya zaidi nikwamba Afisa elimu jiji amewaambia walimu wa shule hiyo hawatapata fursa kwakua eti hawamtaki mkuu huyu wa shule, hapa kuna maswali mengi

Tetesi za kuhamishwa baadhi ya walimu

Inasemekana kwamba walimu waliothubutu kumkatalia mkuu huyo wa shule kuandaa taarifa za udanganyifu juu ya namna alivyotumia fedha hizo, wameonekana kama kikwazo hivyo upo mpango wa kuwaondoa walimu hao shuleni hapo. Hata Afisa elimu amewatishia walimu na kuwaambia wasije wakamlaumu kwa maamuzi atakayochukua juu yao. Swali ni je,kama ameiba mkuu wa shule,walimu wengine waliopigia kelele wizi huo wanahamishwa kwanini? Au kauli hiyo ilikua ya kuwatishia walimu hao wasipaze sauti zao? Afisa elimu hapo ninadhani uliteleza ila angalia usije ukaamua ukiwa na hasira maana mchelea mwana,hulia mwenyewe

Ninawaahidi kuendelea kuwapa mrejesho wa kitakacho jiri,hasa aina yoyote ya ubabe na uonevu dhidi ya fundi na walimu hao

Kupitia jukwaa hili wadau wengi wataona na haki itatendeka
Eti punguza sauti kidogo tuesikilizane mpaka hatua hii nikupe mrejesho tu yani hili suala kurifikisha hapa JF uyo mkuu ishakula kwake hiyo nikupe mrejesho

Pili tuamze uyo mkuu pesa za shule anazilaje pesa zilizo kwenye account ya shule ni mali ya umma hivyo ipo miongozo yake zinatakiwa zitumiwaje

Mfano nyie ni shule pesa yoyote inayotoka katika account ya shule lazima hawa watu wahusike
Wana bodi ya shule
Wana timu ya uongozi wa shule
Signatory wa shule
Signatory wa halmashauri

Ina maana lazima mitahasari iwepo ya bodi ya shule ya timu ya uongozi wa shule, pia muhutahasari wa walimu wote shuleni ukionyesha mmekubaliana na hayo malipo

Pia cheki ya shule ina sainiwa na watia saini wawili ambao ni walimu pia lazima uende halmashauri uko ikasainiwe ndio pesa itoke

Sasa turudi hapa uyo mkuu pesa anakulaje ina maana kama wana bodi ya shule hawashirikishwagi wana SMT hawajui walimu hawajui signatory hawajui ina maana mwalimu mkuu huwa anafoji document

kwaiyo kufoji document hilo ni kosa la jinai kubwa kubwa sana yani uyo mkuu hastahili kuwepo hapo mda huu anastahili awe mahabusu au gerezani

Kitu kingine kama afisa elimu anampitishiaga cheque tu uyu jamaa kisela sela na kiongozi pasipo kufuata sheria ina maana wote wawili wanastahili kuwepo ndani mda huu

Kwa ufafanuzi huu nilioutoa naomba mwambie uyo mkuu wa shule ajisalimishe kituo cha polisi yeye mweyewe akiwa mhasibu wake waje na documents zote za manunuzi naanza

1) bank statement ya mwaka mzima,
2)paying voucher za nanunuzi yote zikiwa zimeambana na mitahasari yake
3)bank reconciliation ya mwaka mzima,
4) cash book
5)store ledgers

Pia aje na orodha ya majina ya walimu wake wote wakiwa wameandika wao walimu uku wamesign pembeni ya majina yao ili tuone hiyo mitahasari inaendana na majina ya walimu na sign zao


Tunakuja mkagulia counter ya polisi na ole wake afisa elimu tumeone yeye ndio alikuwa naprove paying voucher zote na malipo hatuyaelewi tunalala naye mbele tunakuja uko
 
Walimu hua ni wanafikinafiki na wenye majungu ya kitoto sana afu walimu ni waoga kwenye maisha
 
Ha haa
Msalimie A/E/ TAKWIMU wilaya moja wapo Geita.

Bila shaka huyu mleta mada ni sehemu ya wanaochochea mgogoro huo. Inawezekana ikawa si kwa kutaka cheo bali ujuaji tu.

Wakuu wa hivyo wapo wengi Sana hata maafisa Elimu wengine wanajiita usalama wa Taifa.Kuna wilaya moja Mkoa wa Geita afisa Elimu anatamba yeye ni TIS
 
Hahahahaha, umefafanua ki- professional sana.Mchakato huu ukifuatwa na kuzingatiwa utaondoa majungu kama yapo kwa hao wanaolalamikiwa(mkuu wa shule na afisa elimu Jiji).
Maana kuna Ofisi zingine nazo kwa majungu hawajambo.
Eti punguza sauti kidogo tuesikilizane mpaka hatua hii nikupe mrejesho tu yani hili suala kurifikisha hapa JF uyo mkuu ishakula kwake hiyo nikupe mrejesho

Pili tuamze uyo mkuu pesa za shule anazilaje pesa zilizo kwenye account ya shule ni mali ya umma hivyo ipo miongozo yake zinatakiwa zitumiwaje

Mfano nyie ni shule pesa yoyote inayotoka katika account ya shule lazima hawa watu wahusike
Wana bodi ya shule
Wana timu ya uongozi wa shule
Signatory wa shule
Signatory wa halmashauri

Ina maana lazima mitahasari iwepo ya bodi ya shule ya timu ya uongozi wa shule, pia muhutahasari wa walimu wote shuleni ukionyesha mmekubaliana na hayo malipo

Pia cheki ya shule ina sainiwa na watia saini wawili ambao ni walimu pia lazima uende halmashauri uko ikasainiwe ndio pesa itoke

Sasa turudi hapa uyo mkuu pesa anakulaje ina maana kama wana bodi ya shule hawashirikishwagi wana SMT hawajui walimu hawajui signatory hawajui ina maana mwalimu mkuu huwa anafoji document

kwaiyo kufoji document hilo ni kosa la jinai kubwa kubwa sana yani uyo mkuu hastahili kuwepo hapo mda huu anastahili awe mahabusu au gerezani

Kitu kingine kama afisa elimu anampitishiaga cheque tu uyu jamaa kisela sela na kiongozi pasipo kufuata sheria ina maana wote wawili wanastahili kuwepo ndani mda huu

Kwa ufafanuzi huu nilioutoa naomba mwambie uyo mkuu wa shule ajisalimishe kituo cha polisi yeye mweyewe akiwa mhasibu wake waje na documents zote za manunuzi naanza

1) bank statement ya mwaka mzima,
2)paying voucher za nanunuzi yote zikiwa zimeambana na mitahasari yake
3)bank reconciliation ya mwaka mzima,
4) cash book
5)store ledgers

Pia aje na orodha ya majina ya walimu wake wote wakiwa wameandika wao walimu uku wamesign pembeni ya majina yao ili tuone hiyo mitahasari inaendana na majina ya walimu na sign zao


Tunakuja mkagulia counter ya polisi na ole wake afisa elimu tumeone yeye ndio alikuwa naprove paying voucher zote na malipo hatuyaelewi tunalala naye mbele tunakuja uko
 
Hahahahaha, umefafanua ki- professional sana.Mchakato huu ukifuatwa na kuzingatiwa utaondoa majungu kama yapo kwa hao wanaolalamikiwa(mkuu wa shule na afisa elimu Jiji).
Maana kuna Ofisi zingine nazo kwa majungu hawajambo.
Watumishi wasioelewa masuala ya manunuzi katoka hizi tasisi ambazo fungi linakuja na kinaongozwa na wao huwa wanakelele sana yani wao hugeuza uadui na maboss wao kisa kuna account na pesa zipo hivyo wanajua boss zile pesa anachukua tu akijisikia hawajui kuwa ipo miongozo kwaiyo kelele kama hivi kutokea ni kawaida sana

Ili kuepeka kelele za hivi ukiwa kiongozi wa tasisi ya umma ni kuwa muwazi nakutoa nafasi kwa kila mtumishi wako ashiriki katika maamuzi inapobidi ili wajue ukweli waache polojo polojo
 
Nimeona huu mjadala umekuja tena leo!

Kwa ufahamu mdogo nilionao juu ya Force accnt ni vigumu kwa mtu mmoja peke yake kutafuna fedha hizi. F/A ina kamati 3,

Kamati ya Manunuzi
Kamati ya Mapokezi
Kamati ya Ujenzi

Manunuzi hayafanywi na mtu mmoja, bali kamati nzima, Procurement Officer ni mjumbe katika kamati, kabla ya kununua materials, hupeleka quatations kwa wazabuni wasiopungua 3 ili kujaza bei zao, kisha kamati hukaa kikao na kumpitisha mmoja mwenye vigezo. Muhtasari wa kikao, quatations zote 3 na docs nyingine hupelekwa kwa Mkuu wa Kituo(headmaster/mistress) azikague na kuzithibitisha, baada ya hapo huzipeleka kwa Mkuu wa Idara(Afisa Elimu) azikague na kuthibitisha na mtu wa mwisho kuzipitisha na Mkurugenzi mwenyewe akishaidhinisha ndipo mzabuni hulipwa.

Bidhaa zikishaletwa site, hupelekwa kwa kamati ya Mapokezi na wanasaini vile walivyopokea na mafundi huchukua materials kutokea hapo.

Kamati ya Ujenzi wao ni kukagua kazi inavyoendelea.

Kwa mujibu wa tuhuma hizi za ubadhirifu kama huyu mtoa mada alivyozileta ina maana anawatuhumu watu wengi sio huyo mkuu pekee.

Ngoja tusubiri.
 
Habari ya mwisho wa wiki wanajukwaa
Sikutatu zilizopita niliandika habari yenye kichwa cha habari MKUU WA SHULE ALIYESHINDIKANA TANGA JIJI,JAFO NJOO UMNG'OE

Wadau waliowengi wamekua na mtazamo ambao sio sahihi kwangu kwakuona kama vile ninamajungu,chuki au roho mbaya. Naomba niwaambie sinachuki na mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni iliyopo jijini Tanga

Mkuu huyo mbali na mambo mengine mengi ambayo alilalamikiwa kwa Afisa elimu jiji tangu mwaka jana na walimu wa shule hiyo na akawaahidi kuchukua hatua,hadi sasa hajachukua hatua ni matatizo kama lugha mbaya,kejeli,matusi na ubabe kazini na bado vimekua kama sehemu ya maisha yake shuleni

Msukumo wa kuandika mada hii umekuja pale ambapo mkuu huyu wa shule anafanya ubadhirifu wa waziwazi wa fedha za serikali na bado analindwa na wateule wake.

Amekua mkorofi kiasi kwamba hata fedha za fundi ambazo alitakiwa amlipe kupitia utaratibu wa force account pia amezila na amegoma kulipa. Tena anasema haogopi maana yeye ni usalama wa taifa.

Fundi alipoona hakuna msaada atakaoupata kwa afisa elimu huyo,aliamua kwenda PCCB hivyo ngoja tusikilizie hao jamaa maana hawana mambo ya kumpendeza mtu,niwatenda haki

Kibaya zaidi nikwamba Afisa elimu jiji amewaambia walimu wa shule hiyo hawatapata fursa kwakua eti hawamtaki mkuu huyu wa shule, hapa kuna maswali mengi

Tetesi za kuhamishwa baadhi ya walimu

Inasemekana kwamba walimu waliothubutu kumkatalia mkuu huyo wa shule kuandaa taarifa za udanganyifu juu ya namna alivyotumia fedha hizo, wameonekana kama kikwazo hivyo upo mpango wa kuwaondoa walimu hao shuleni hapo. Hata Afisa elimu amewatishia walimu na kuwaambia wasije wakamlaumu kwa maamuzi atakayochukua juu yao. Swali ni je,kama ameiba mkuu wa shule,walimu wengine waliopigia kelele wizi huo wanahamishwa kwanini? Au kauli hiyo ilikua ya kuwatishia walimu hao wasipaze sauti zao? Afisa elimu hapo ninadhani uliteleza ila angalia usije ukaamua ukiwa na hasira maana mchelea mwana,hulia mwenyewe

Ninawaahidi kuendelea kuwapa mrejesho wa kitakacho jiri,hasa aina yoyote ya ubabe na uonevu dhidi ya fundi na walimu hao

Kupitia jukwaa hili wadau wengi wataona na haki itatendeka
Walimu mnafeli maisha sababu ya majungu na chuki binafsi
 
Nimeona huu mjadala umekuja tena leo!

Kwa ufahamu mdogo nilionao juu ya Force accnt ni vigumu kwa mtu mmoja peke yake kutafuna fedha hizi. F/A ina kamati 3,

Kamati ya Manunuzi
Kamati ya Mapokezi
Kamati ya Ujenzi

Manunuzi hayafanywi na mtu mmoja, bali kamati nzima, Procurement Officer ni mjumbe katika kamati, kabla ya kununua materials, hupeleka quatations kwa wazabuni wasiopungua 3 ili kujaza bei zao, kisha kamati hukaa kikao na kumpitisha mmoja mwenye vigezo. Muhtasari wa kikao, quatations zote 3 na docs nyingine hupelekwa kwa Mkuu wa Kituo(headmaster/mistress) azikague na kuzithibitisha, baada ya hapo huzipeleka kwa Mkuu wa Idara(Afisa Elimu) azikague na kuthibitisha na mtu wa mwisho kuzipitisha na Mkurugenzi mwenyewe akishaidhinisha ndipo mzabuni hulipwa.

Bidhaa zikishaletwa site, hupelekwa kwa kamati ya Mapokezi na wanasaini vile walivyopokea na mafundi huchukua materials kutokea hapo.

Kamati ya Ujenzi wao ni kukagua kazi inavyoendelea.

Kwa mujibu wa tuhuma hizi za ubadhirifu kama huyu mtoa mada alivyozileta ina maana anawatuhumu watu wengi sio huyo mkuu pekee.

Ngoja tusubiri.
Kiongozi kuna mtu umemsahau hapo anaitwa school treasure lazima aandike malipo baada ya taratibu zote kukamilika.
Mkuu wa shule yeye hafanyi malipo
 
Dah..

Peleka malalamiko yako sehem sahihi...

Unakuja kujificha huku..!!???
 
Nimeona huu mjadala umekuja tena leo!

Kwa ufahamu mdogo nilionao juu ya Force accnt ni vigumu kwa mtu mmoja peke yake kutafuna fedha hizi. F/A ina kamati 3,

Kamati ya Manunuzi
Kamati ya Mapokezi
Kamati ya Ujenzi

Manunuzi hayafanywi na mtu mmoja, bali kamati nzima, Procurement Officer ni mjumbe katika kamati, kabla ya kununua materials, hupeleka quatations kwa wazabuni wasiopungua 3 ili kujaza bei zao, kisha kamati hukaa kikao na kumpitisha mmoja mwenye vigezo. Muhtasari wa kikao, quatations zote 3 na docs nyingine hupelekwa kwa Mkuu wa Kituo(headmaster/mistress) azikague na kuzithibitisha, baada ya hapo huzipeleka kwa Mkuu wa Idara(Afisa Elimu) azikague na kuthibitisha na mtu wa mwisho kuzipitisha na Mkurugenzi mwenyewe akishaidhinisha ndipo mzabuni hulipwa.

Bidhaa zikishaletwa site, hupelekwa kwa kamati ya Mapokezi na wanasaini vile walivyopokea na mafundi huchukua materials kutokea hapo.

Kamati ya Ujenzi wao ni kukagua kazi inavyoendelea.

Kwa mujibu wa tuhuma hizi za ubadhirifu kama huyu mtoa mada alivyozileta ina maana anawatuhumu watu wengi sio huyo mkuu pekee.

Ngoja tusubiri.
Nimefurahishwa na majibu yako,maana yana elimu ndani yake

Barikiwa sana mkuu
 
Eti punguza sauti kidogo tuesikilizane mpaka hatua hii nikupe mrejesho tu yani hili suala kurifikisha hapa JF uyo mkuu ishakula kwake hiyo nikupe mrejesho

Pili tuamze uyo mkuu pesa za shule anazilaje pesa zilizo kwenye account ya shule ni mali ya umma hivyo ipo miongozo yake zinatakiwa zitumiwaje

Mfano nyie ni shule pesa yoyote inayotoka katika account ya shule lazima hawa watu wahusike
Wana bodi ya shule
Wana timu ya uongozi wa shule
Signatory wa shule
Signatory wa halmashauri

Ina maana lazima mitahasari iwepo ya bodi ya shule ya timu ya uongozi wa shule, pia muhutahasari wa walimu wote shuleni ukionyesha mmekubaliana na hayo malipo

Pia cheki ya shule ina sainiwa na watia saini wawili ambao ni walimu pia lazima uende halmashauri uko ikasainiwe ndio pesa itoke

Sasa turudi hapa uyo mkuu pesa anakulaje ina maana kama wana bodi ya shule hawashirikishwagi wana SMT hawajui walimu hawajui signatory hawajui ina maana mwalimu mkuu huwa anafoji document

kwaiyo kufoji document hilo ni kosa la jinai kubwa kubwa sana yani uyo mkuu hastahili kuwepo hapo mda huu anastahili awe mahabusu au gerezani

Kitu kingine kama afisa elimu anampitishiaga cheque tu uyu jamaa kisela sela na kiongozi pasipo kufuata sheria ina maana wote wawili wanastahili kuwepo ndani mda huu

Kwa ufafanuzi huu nilioutoa naomba mwambie uyo mkuu wa shule ajisalimishe kituo cha polisi yeye mweyewe akiwa mhasibu wake waje na documents zote za manunuzi naanza

1) bank statement ya mwaka mzima,
2)paying voucher za nanunuzi yote zikiwa zimeambana na mitahasari yake
3)bank reconciliation ya mwaka mzima,
4) cash book
5)store ledgers

Pia aje na orodha ya majina ya walimu wake wote wakiwa wameandika wao walimu uku wamesign pembeni ya majina yao ili tuone hiyo mitahasari inaendana na majina ya walimu na sign zao


Tunakuja mkagulia counter ya polisi na ole wake afisa elimu tumeone yeye ndio alikuwa naprove paying voucher zote na malipo hatuyaelewi tunalala naye mbele tunakuja uko
Asante kwa elimu hiyo,umenijenga upya leo.
Hii ndio jamii forum ambapo wapo wanaokata kiu za wenye kiu
 
wewe utakua mwalimu pia kwenye hio shule na bila shaka unautaka huo ualimu mkuu pia. taarifa zako zinaonesha tu wewe ni mwalimu na unashida nyingi za kiuchumi
Je unajuaje ikiwa mimi ni fundi niliyedhulumiwa? Au vipi kama nimeamua kutoa habari hii jukwaani kwa msaada wa wanao kandamizwa?
Mtazamo wako sibishani nao
 
Back
Top Bottom