Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Baada ya Rais kuapishwa na kulifungua bunge, jambo la msingi ili kutengeneza usawa afanye yafuatayo
Apunguze maslahi ya wabunge
Darasa la saba wasiingie bungeni
Abadili sheria viti maalum vifutwe
Walipwe kutokana na elimu zao
Walipwe mafao yao baada ya kutimiza miaka 60. Hapa watapigania fao la kujitoa
Hatua hiyo itatengeneza usawa na wabunge watawapigania wananchi wao na wao wenyewe
Apunguze maslahi ya wabunge
Darasa la saba wasiingie bungeni
Abadili sheria viti maalum vifutwe
Walipwe kutokana na elimu zao
Walipwe mafao yao baada ya kutimiza miaka 60. Hapa watapigania fao la kujitoa
Hatua hiyo itatengeneza usawa na wabunge watawapigania wananchi wao na wao wenyewe