Kuelekea uchaguzi mkuu oktoba, hongera mwanahabari Farhia Middle

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Mar 23, 2016
2,370
3,148
Habari ya wakati huu wanajukwaa hili huru.

Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge/wawakilishi na Madiwani vimekuwa vikiendeshwa vipindi mbalimbali vihusuvyo mwenendo wa siasa kama vile ilani za vyama, sera na ahadi mbalimbali.

Kupitia ITV kipindi cha Dakika 45, mtangazaji huyo nimekuwa nikimuona anavyowahoji wanasiasa na nimebaini kwamba yupo huru zaidi maana sijawahi kumuona kama anashabikia upande wowote wa chama cha siasa.

Leo amemhoji Dkt.Hussein Mwinyi kwakweli hakumuacha akaondoka na kiu kubwa waliyonayo watanzania.

Hongera Dada wewe ni mwandishi huru.
 
ITV wanajitahidi kidogo kubalance, Efm/TV wanapendelea upinzani kwa 100%. Cheki hata page zao utafikiri ni radio ya pale CRDB kama unapandisha mnazi mmoja, ni habari za upande mmoja tu. (penye neno upinzani weka CCM ili upate maana)
 
ITV wanajitahidi kidogo kupalance, Efm/TV wanapendelea upinzani kwa 100%. Cheki hata page zao utafikiri ni radio ya pale CRDB kama unapandisha mnazi mmoja, ni habari za upande mmoja tu. (penye neno upinzani weka CCM ili upate maana)
Kama hutojali fafanua vizuri mwanajukwaa ili ueleweke zaidi
 
ITV wanajitahidi kidogo kubalance, Efm/TV wanapendelea upinzani kwa 100%. Cheki hata page zao utafikiri ni radio ya pale CRDB kama unapandisha mnazi mmoja, ni habari za upande mmoja tu. (penye neno upinzani weka CCM ili upate maana)
Nimejiskia tu kusema neno NGAD.A
 
ITV ndio television ya taifa.
Wale wengine wapo wapo tu hawajitambui.
 
Daah..
Mmeshawaponza wenzenu..
Tusubiri tu mizengwe ya TCRA kwamba wanaendesha vipindi nje ya Maudhui.
 
Kupitia ITV kipindi cha Dakika 45, mtangazaji huyo nimekuwa nikimuona anavyowahoji wanasiasa na nimebaini kwamba yupo huru zaidi maana sijawahi kumuona kama anashabikia upande wowote wa chama cha siasa.


Usimchongee mwenzako
 
Habari ya wakati huu wanajukwaa hili huru.

Kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge/wawakilishi na Madiwani vimekuwa vikiendeshwa vipindi mbalimbali vihusuvyo mwenendo wa siasa kama vile ilani za vyama, sera na ahadi mbalimbali.

Kupitia ITV kipindi cha Dakika 45, mtangazaji huyo nimekuwa nikimuona anavyowahoji wanasiasa na nimebaini kwamba yupo huru zaidi maana sijawahi kumuona kama anashabikia upande wowote wa chama cha siasa.

Leo amemhoji Dkt.Hussein Mwinyi kwakweli hakumuacha akaondoka na kiu kubwa waliyonayo watanzania.

Hongera Dada wewe ni mwandishi huru.
Huyo Mwinyi anagombea nafasi gani iliyowaacha watanzania wawe na kiu?
 
Back
Top Bottom