Bharti Airtel Limited, also known as Airtel, is an Indian multinational telecommunications services company based in New Delhi, Delhi NCT. It operates in 18 countries across South Asia and Africa, and also in the Channel Islands. Airtel provides 2G, 4G LTE, 4G+ mobile services, fixed line broadband and voice services depending upon the country of operation. Airtel had also rolled out its VoLTE technology across all Indian telecom circles. It is the second largest mobile network operator in India and the Second largest mobile network operator in the world with over 457.96 million (45.796 crore) subscribers. Airtel was named India's 2nd most valuable brand in the first ever Brandz ranking by Millward Brown and WPP plc.Airtel is credited with pioneering the business strategy of outsourcing all of its business operations except marketing, sales and finance and building the 'minutes factory' model of low cost and high volumes. The strategy has since been adopted by several operators. Airtel's equipment is provided and maintained by Ericsson, Huawei, and Nokia Networks whereas IT support is provided by Amdocs. The transmission towers are maintained by subsidiaries and joint venture companies of Bharti including Bharti Infratel and Indus Towers in India. Ericsson agreed for the first time to be paid by the minute for installation and maintenance of their equipment rather than being paid up front, which allowed Airtel to provide low call rates of ₹1 (1.4¢ US)/minute.
Kuna wakati ushindani unatakiwa ukubali ukweli.
Sio kila kitu unachotengeneza lazima kiwe tofauti. Kuna muda unatakiwa ujifunze kutoka kwa aliyefanya vizuri zaidi.
Nimekuwa nikitumia Merchant Account za Yas, Vodacom na Airtel kwa biashara zangu, na kwa uzoefu wangu, upande wa Merchant Account...
Kuna jambo limekuwa likinikera sana, na nimeona leo niweke hapa jamvini ili tujadiliane, na ikiwezekana mamlaka husika (TCRA) na watoa huduma waangalie upya kanuni hizi.
Inatokea umepata dharura au umeweka laini yako pembeni kwa miezi 6 hadi mwaka mmoja bila kuitumia. Unakuja kushtuka baadaye...
Mara ya kwanza nilidhania router yangu mbovu. Mara ya pili nikajua mawingu na mvua iyo week. Ila sasa nimeconfirm.
Kama ni mtumiaji wa router za Airtel, ikivuka 500GB wana limit speed.
Mfano, mimi ni mtumiaji wa kifurushi cha 70k kwa mwezi ambayo niliahidiwa kupata 25Mbps ila Average uwa...
Wakuu salamu,
Naandika hii mada nikiwa na hasira sana na huu uhuni unaofanywa na Airtel kwenye hizi router zao. Yaani huku ni kuibiana mchana kweupe na ukiwahoji hawana majibu ya kueleweka kabisa.
Mimi ni mhanga na mchezo wao mchafu uko hivi:
1. Uongo wa bando za 'Unlimited'
Tarehe 22/05...
Watu wengi wanakimbilia kununua router za Airtel, Vodacom, Tigo au Ttcl kwa Matumizi mbalimbali bila kujua utofauti wao uliopo kuhusu hizo router.
Sasa Leo nakupa maujanja kutokana na ripoti mbalimbali za mitandaoni nakuambia router gani nzuri kwa Matumizi ya Ofisini na Nyumbani ili kuwa salama...
Mimi ni mdau kutoka Kijiji cha Olchoronyori Wilaya Simanjiro, Serikali imepasahau tunaomba itembelee huku ione changamoto zilizopo.
1. Tunaomba kujengewa mnara wa Mtandao wa Vodacom, TIGO au Airtel maana huku tunatumia TTCL unaotegemea jua tu na kukatika mara kwa mara na kusababisha ukosefu wa...
Anonymous
Thread
airtel
kijiji
serikali
simanjiro
vodacom
wilaya
yas
Matokeo:
Singida Big Stars
Goli: Mossi Ndumumwe 38
Simba SC
Goli: Anicet Oura 07
Goli: Elie Mpanzu 85
📍 Uwanja wa Airtel, Singida
Baada ya ushindi huo Simba kupitia ukurasa wao wa Instagram wameandika "Tumekula ndugu wa ile famili", ambapo timu hiyo imefikisha alama 27 katika michezo 12...
Habar ndugu zangu....
Kunachangamoto na hatari kwa sisi ma wakala wakati wakutuma pesa Airtel kwenda kwa wakala mkuu, hawaonyesh jina mpaka pesa iende ndio jina linakuja, kwa utaratibu huu mliounzisha Airtel n hatari sana kwa sisi mawakala kupoteza pesa.
Naomben msaada hapa wakuu, ninatamani kununua router ambayo portable inaweza kaa hata mfukoni kwa matumizi ambayo ni makubwa kiasi, ni mtandao upi kati ya tigo, halotel, airtel na voda wana mifi ambayo ni reliable nzuri na haisumbui hata kama uko nje ya mji mana naona hiyo ndo only...
Wakuu,
Kweli watu tumevurugwa, yaani jamaa kaamua kupiga simu kabisa hawa machawa 😂
Haya sasa kampeni ianze kufanya kazi kwa wote wenye laini ya airtel 😂
Baada ya CHADEMA kutoa taarifa kuwa laini ya Brenda Rupia ya Airtel iliyokuwa ikipokea michango imefungiwa ghafla na kampuni hiyo ya simu...
Kampuni ya airtel sio kampuni ya kisiasa tunajua kilichotokea ni shinikizo na hii haifanyi kampuni imuunge mkono bali amejiongezea kesi madaraka yanaisha haya mtaona airtel ikimfungulia kesi hii baadae.
Washauri wa samia ni akina kingwendu kila kitu ni sifuri wanachochea moto zaidi tunaongozwa...
Naamini Jamii Forums ni kisima cha Maarifa ni kwamba huwa kuna Mkataba kati ya Airtel na Mteja hizi Agreement mara nyingi huwa ni ndefu na zimeandikwa kwa maandishi madogo lakini pia zinatumia Lugha za Kisheria ambapo watu wengi wanapuzia kuzisoma na ukikaa ukisoma kwa makini hizi agreement huwa...
Imeelezwa kuwa CHADEMA ilikuwa ikikusanya michango ya wanachama kwaajili ya maadhimisho ya 33 tangu kuanzishwa kwake, kwa kutumia huduma ya Airtel Money. Huku michango ikiwa inaendelea, Airtel baada ya kupokea maelekezo kutoka chama kile cha mauaji na serikali yake, wameamua kuifungia hiyo line...
Airtel mna customer care mbovu kwenye simu. Okay, nikaona nije dukani kwenu, aisee…!
Okay tuache ilo. Sasa hizi 5G router zenu za ZLT X25 zina lifespan ya muda gani? Yangu imeanza kimasihara kufanya kazi kwa kubeep sahivi hawaki kabisa. Inawaka tu taa kwamba inapokea power ila taa za 4G 5G Wifi...
Airtel Africa imetangaza ushirikiano na SpaceX kuanzisha teknolojia ya satellite ya Starlink inayowezesha mawasiliano ya simu moja kwa moja kwenye nchi 14 za Afrika.
Huduma hii ya satellite itazinduliwa mwaka 2026, kwa awali ikilenga kusaidia matumizi ya data na ujumbe mfupi (SMS) kwa simu...
Jamani, watumiaji wa Internet, naombeni mnijuze kampuni inayojitahidi.
Airtel na modem zao sasa ni kichefuchefu.
Hela unalipa, lakini huduma yao mbovu.
Customer care yao, wana majibu ya ovyo yaani utadhani mtu anaomba msaada hajalipia.
Nimeshangaa Sana Kampuni ya Airtel walichonifanyia aiseeh @airtel_tanzania Kuna watu wengi wanalalamika kuhusu kushindwa kufanya fidia juu ya kilichotokea Mwezi mmoja uliyopita.
Toka oktoba 29 mwaka huu 2025 mitandao mingi ilifungwa kutokana na Changamoto iliyotokea kipindi cha Uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.