Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,382
- 3,171
Wanajukwaa ninaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha mzee wetu Ali Hassan Mwinyi. Familia yake ijawe na faraja na subra katika kipindi chote kigumu. Mungu ailaze roho ya Babu mahala pema peponi tena huko Firdausi.... Aaamin.
Baada ya hapo hata sioni haja ya kutoa maelezo mengi mno.
Nimesikia kupitia vyombo vya habari kwamba eti serikali imeshindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita Cha NHIF
Jambo lililonishangaza nikwamba eti hospitali binafsi wameshaweka mabango ya matangazo kwamba hawapokei wagonjwa wanaotumia bima (NHIF)
Eti wagonjwa mahututi watapokelewa sio kwa zaidi ya masaa 48. Unaweza ukajiuliza maswali mengi ila mimi najiuliza na sipati picha kama itakuaje unapopewa mgonjwa mahututi alievunjika vunjika au kuraruka mwili mzima umtoe wodini umpeleke unapopajua wewe. Je hiyo inakua rufaa au kitu gani? Haya ni mauaji yasiyo mithilika,ni aibu kubwa sana kwa taifa na nimaumivu makubwa sana siotu kwa wagonjwa lakini hata kwa wanafamilia. Ninapata hiyo picha kabisa
Pamoja na mambo mengi lakini ninaweza kusema serikali imeangalia maslahi yake kuliko kuvaa jukumu la kuwatibu wananchi wake na hospitali binafsi nao wameangalia maslahi yao ambapo kimsingi bila maslahi hata kidogo hawatoweza kuendesha taasisi kwasababu wananunua madawa na kulipa mishahara.
Waziri Ummy ameshindwa mambo makubwa mawili kwenye hili.
1: Ameshindwa kuangalia changamoto ya uendeshaji wa hospitali binafsi na kufikia nao muafaka.
2: Ameshindwa kuelewa kwamba serikali ndio inajukumu la kuwatibu wananchi wake ambao ndio walipa Kodi.
Aelewe MATIBABU SIO FADHILA bali ni lazima. Hapo ndio alipoona kwamba hospitali binafsi zikwee mlima wake na serikali ikwee mlima wake. Huku nikufeli kukubwa sana kwa Ummy,hii ni aibu na alama mbaya sana katika wizara hiyo. Nikirejea maneno ya hayati mzee Mwinyi ninasema kwenye kitabu chako hili nalo tutaandika. Ninarudia hata ukijosahaulisha utakumbushwa na utaandikiwa TENA KWA WINO MZITO.
Nimalizietu kwa kusema Ummy acha ngonjera wewe umalize mwendo wizarani. Pisha akili na maarifa mengine vitumike kushawishi wawekezaji binafsi kwa manufaa ya nchi.
Mh. Rais kama waziri asipoona uungwana na aibu akaendelea kushupaza shingo yake, MSAIDIE KUONDOKA WIZARANI KWANI KUSHINDWA KWAKE NIKUAHINDWA KWAKO.
Hayo ni maoni yangu
Baada ya hapo hata sioni haja ya kutoa maelezo mengi mno.
Nimesikia kupitia vyombo vya habari kwamba eti serikali imeshindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita Cha NHIF
Jambo lililonishangaza nikwamba eti hospitali binafsi wameshaweka mabango ya matangazo kwamba hawapokei wagonjwa wanaotumia bima (NHIF)
Eti wagonjwa mahututi watapokelewa sio kwa zaidi ya masaa 48. Unaweza ukajiuliza maswali mengi ila mimi najiuliza na sipati picha kama itakuaje unapopewa mgonjwa mahututi alievunjika vunjika au kuraruka mwili mzima umtoe wodini umpeleke unapopajua wewe. Je hiyo inakua rufaa au kitu gani? Haya ni mauaji yasiyo mithilika,ni aibu kubwa sana kwa taifa na nimaumivu makubwa sana siotu kwa wagonjwa lakini hata kwa wanafamilia. Ninapata hiyo picha kabisa
Pamoja na mambo mengi lakini ninaweza kusema serikali imeangalia maslahi yake kuliko kuvaa jukumu la kuwatibu wananchi wake na hospitali binafsi nao wameangalia maslahi yao ambapo kimsingi bila maslahi hata kidogo hawatoweza kuendesha taasisi kwasababu wananunua madawa na kulipa mishahara.
Waziri Ummy ameshindwa mambo makubwa mawili kwenye hili.
1: Ameshindwa kuangalia changamoto ya uendeshaji wa hospitali binafsi na kufikia nao muafaka.
2: Ameshindwa kuelewa kwamba serikali ndio inajukumu la kuwatibu wananchi wake ambao ndio walipa Kodi.
Aelewe MATIBABU SIO FADHILA bali ni lazima. Hapo ndio alipoona kwamba hospitali binafsi zikwee mlima wake na serikali ikwee mlima wake. Huku nikufeli kukubwa sana kwa Ummy,hii ni aibu na alama mbaya sana katika wizara hiyo. Nikirejea maneno ya hayati mzee Mwinyi ninasema kwenye kitabu chako hili nalo tutaandika. Ninarudia hata ukijosahaulisha utakumbushwa na utaandikiwa TENA KWA WINO MZITO.
Nimalizietu kwa kusema Ummy acha ngonjera wewe umalize mwendo wizarani. Pisha akili na maarifa mengine vitumike kushawishi wawekezaji binafsi kwa manufaa ya nchi.
Mh. Rais kama waziri asipoona uungwana na aibu akaendelea kushupaza shingo yake, MSAIDIE KUONDOKA WIZARANI KWANI KUSHINDWA KWAKE NIKUAHINDWA KWAKO.
Hayo ni maoni yangu