Kwa hili la Serikali kushindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita cha NHIF, Waziri Ummy asaidiwe kuondoka wizarani

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Mar 23, 2016
2,382
3,171
Wanajukwaa ninaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha mzee wetu Ali Hassan Mwinyi. Familia yake ijawe na faraja na subra katika kipindi chote kigumu. Mungu ailaze roho ya Babu mahala pema peponi tena huko Firdausi.... Aaamin.

Baada ya hapo hata sioni haja ya kutoa maelezo mengi mno.
Nimesikia kupitia vyombo vya habari kwamba eti serikali imeshindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita Cha NHIF
Jambo lililonishangaza nikwamba eti hospitali binafsi wameshaweka mabango ya matangazo kwamba hawapokei wagonjwa wanaotumia bima (NHIF)

Eti wagonjwa mahututi watapokelewa sio kwa zaidi ya masaa 48. Unaweza ukajiuliza maswali mengi ila mimi najiuliza na sipati picha kama itakuaje unapopewa mgonjwa mahututi alievunjika vunjika au kuraruka mwili mzima umtoe wodini umpeleke unapopajua wewe. Je hiyo inakua rufaa au kitu gani? Haya ni mauaji yasiyo mithilika,ni aibu kubwa sana kwa taifa na nimaumivu makubwa sana siotu kwa wagonjwa lakini hata kwa wanafamilia. Ninapata hiyo picha kabisa

Pamoja na mambo mengi lakini ninaweza kusema serikali imeangalia maslahi yake kuliko kuvaa jukumu la kuwatibu wananchi wake na hospitali binafsi nao wameangalia maslahi yao ambapo kimsingi bila maslahi hata kidogo hawatoweza kuendesha taasisi kwasababu wananunua madawa na kulipa mishahara.

Waziri Ummy ameshindwa mambo makubwa mawili kwenye hili.
1: Ameshindwa kuangalia changamoto ya uendeshaji wa hospitali binafsi na kufikia nao muafaka.

2: Ameshindwa kuelewa kwamba serikali ndio inajukumu la kuwatibu wananchi wake ambao ndio walipa Kodi.
Aelewe MATIBABU SIO FADHILA bali ni lazima. Hapo ndio alipoona kwamba hospitali binafsi zikwee mlima wake na serikali ikwee mlima wake. Huku nikufeli kukubwa sana kwa Ummy,hii ni aibu na alama mbaya sana katika wizara hiyo. Nikirejea maneno ya hayati mzee Mwinyi ninasema kwenye kitabu chako hili nalo tutaandika. Ninarudia hata ukijosahaulisha utakumbushwa na utaandikiwa TENA KWA WINO MZITO.

Nimalizietu kwa kusema Ummy acha ngonjera wewe umalize mwendo wizarani. Pisha akili na maarifa mengine vitumike kushawishi wawekezaji binafsi kwa manufaa ya nchi.

Mh. Rais kama waziri asipoona uungwana na aibu akaendelea kushupaza shingo yake, MSAIDIE KUONDOKA WIZARANI KWANI KUSHINDWA KWAKE NIKUAHINDWA KWAKO.

Hayo ni maoni yangu
 
Mfupa wa afya unamshinda mMarekani na hata Muingereza mwenye socialized healthcare...

Healthcare is expensive na sisi ni nchi maskini.tunataka serikali na watu wenye uwezo wa-subscidize afya kwa watu maskini. Kama ndio hvyo either tukubali kuongezewa Kodi iende kwenye huduma za kijamii pamoja na afya au tukubali 55000 kwa mwaka haitoshi tena...

Pamoja na hayo ni kweli hospitali zina-cheat mifumo ya ku-submit mafao,madaktari Wana fanya double-consultation nk... Still kiasi Cha pesa kinachopotea kwenye hayo Mambo ni kidogo sana...
 
Mfupa wa afya unamshinda mMarekani na hata Muingereza mwenye socialized healthcare...

Healthcare is expensive na sisi ni nchi maskini.tunataka serikali na watu wenye uwezo wa-subscidize afya kwa watu maskini. Kama ndio hvyo either tukubali kuongezewa Kodi iende kwenye huduma za kijamii pamoja na afya au tukubali 55000 kwa mwaka haitoshi tena...

Pamoja na hayo ni kweli hospitali zina-cheat mifumo ya ku-submit mafao,madaktari Wana fanya double-consultation nk... Still kiasi Cha pesa kinachopotea kwenye hayo Mambo ni kidogo sana...
Kwahiyo unamaanisha kwamba hospitali binafsi zibebe zigo la serikali? Naomba ufafanuzi ingawa nakubaliana nawewe kwamba matibabu nigharama sana. Lakini kama nighali je nani anahusika kama sio mtoza kodi?
 
Wanajukwaa ninaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha mzee wetu Ali Hassan Mwinyi. Familia yake ijawe na faraja na subra katika kipindi chote kigumu. Mungu ailaze roho ya Babu mahala pema peponi tena huko Firdausi.... Aaamin.

Baada ya hapo hata sioni haja ya kutoa maelezo mengi mno.
Nimesikia kupitia vyombo vya habari kwamba eti serikali imeshindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita Cha NHIF
Jambo lililonishangaza nikwamba eti hospitali binafsi wameshaweka mabango ya matangazo kwamba hawapokei wagonjwa wanaotumia bima (NHIF)

Eti wagonjwa mahututi watapokelewa sio kwa zaidi ya masaa 48. Unaweza ukajiuliza maswali mengi ila mimi najiuliza na sipati picha kama itakuaje unapopewa mgonjwa mahututi alievunjika vunjika au kuraruka mwili mzima umtoe wodini umpeleke unapopajua wewe. Je hiyo inakua rufaa au kitu gani? Haya ni mauaji yasiyo mithilika,ni aibu kubwa sana kwa taifa na nimaumivu makubwa sana siotu kwa wagonjwa lakini hata kwa wanafamilia. Ninapata hiyo picha kabisa

Pamoja na mambo mengi lakini ninaweza kusema serikali imeangalia maslahi yake kuliko kuvaa jukumu la kuwatibu wananchi wake na hospitali binafsi nao wameangalia maslahi yao ambapo kimsingi bila maslahi hata kidogo hawatoweza kuendesha taasisi kwasababu wananunua madawa na kulipa mishahara.

Waziri Ummy ameshindwa mambo makubwa mawili kwenye hili.
1: Ameshindwa kuangalia changamoto ya uendeshaji wa hospitali binafsi na kufikia nao muafaka.
2: Ameshindwa kuelewa kwamba serikali ndio inajukumu la kuwatibu wananchi wake ambao ndio walipa Kodi. Aelewe MATIBABU SIO FADHILA bali ni lazima. Hapo ndio alipoona kwamba hospitali binafsi zikwee mlima wake na serikali ikwee mlima wake. Huku nikufeli kukubwa sana kwa Ummy,hii ni aibu na alama mbaya sana katika wizara hiyo. Nikirejea maneno ya hayati mzee Mwinyi ninasema kwenye kitabu chako hili nalo tutaandika. Ninarudia hata ukijosahaulisha utakumbushwa na utaandikiwa TENA KWA WINO MZITO.

Nimalizietu kwa kusema Ummy acha ngonjera wewe umalize mwendo wizarani. Pisha akili na maarifa mengine vitumike kushawishi wawekezaji binafsi kwa manufaa ya nchi.
Mh. Rais kama waziri asipoona uungwana na aibu akaendelea kushupaza shingo yake, MSAIDIE KUONDOKA WIZARANI KWANI KUSHINDWA KWAKE NIKUAHINDWA KWAKO.
Hayo ni maoni yangu
Wanaoumia ni watumishi wa umma ambao wanakatwa asilimia 2 ya mshahara wao kila mwezi.
Ifike mahali watumishi wa umma wapewe option ya kuchagua mfuko wanautaka.
 
Mfupa wa afya unamshinda mMarekani na hata Muingereza mwenye socialized healthcare...

Healthcare is expensive na sisi ni nchi maskini.tunataka serikali na watu wenye uwezo wa-subscidize afya kwa watu maskini. Kama ndio hvyo either tukubali kuongezewa Kodi iende kwenye huduma za kijamii pamoja na afya au tukubali 55000 kwa mwaka haitoshi tena...

Pamoja na hayo ni kweli hospitali zina-cheat mifumo ya ku-submit mafao,madaktari Wana fanya double-consultation nk... Still kiasi Cha pesa kinachopotea kwenye hayo Mambo ni kidogo sana...
Bima 55000 kwa mwaka? Hii ni kwa watumishi wa umma au?
 
Harafu ale wapi? Hajiuzuru mtu hapa na mambo yataenda hivo hivyo. Asiyetaka ahamie Burundi
Mheshimiwa hayati Ali hassan Mwinyi aliwahi kujiuzuru au umesahau.. Lowasa aliwahi kujiuzuru Umesahau...
20240301_083711.jpg
 
Mfupa wa afya unamshinda mMarekani na hata Muingereza mwenye socialized healthcare...

Healthcare is expensive na sisi ni nchi maskini.tunataka serikali na watu wenye uwezo wa-subscidize afya kwa watu maskini. Kama ndio hvyo either tukubali kuongezewa Kodi iende kwenye huduma za kijamii pamoja na afya au tukubali 55000 kwa mwaka haitoshi tena...

Pamoja na hayo ni kweli hospitali zina-cheat mifumo ya ku-submit mafao,madaktari Wana fanya double-consultation nk... Still kiasi Cha pesa kinachopotea kwenye hayo Mambo ni kidogo sana...
Hakuna Mtumishi analipa Bima 55k kwa mwaka mkuu Labda bima za Vifurushi..
Na usisahau pia Bima wanaffanya ubadhilifu na Report ya CAG ilionyesha hayo
Watu tunasahau mapema sana
20240301_092308.jpg
 
Wanajukwaa ninaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha mzee wetu Ali Hassan Mwinyi. Familia yake ijawe na faraja na subra katika kipindi chote kigumu. Mungu ailaze roho ya Babu mahala pema peponi tena huko Firdausi.... Aaamin.

Baada ya hapo hata sioni haja ya kutoa maelezo mengi mno.
Nimesikia kupitia vyombo vya habari kwamba eti serikali imeshindwana kauli na hospitali binafsi kwenye kitita Cha NHIF
Jambo lililonishangaza nikwamba eti hospitali binafsi wameshaweka mabango ya matangazo kwamba hawapokei wagonjwa wanaotumia bima (NHIF)

Eti wagonjwa mahututi watapokelewa sio kwa zaidi ya masaa 48. Unaweza ukajiuliza maswali mengi ila mimi najiuliza na sipati picha kama itakuaje unapopewa mgonjwa mahututi alievunjika vunjika au kuraruka mwili mzima umtoe wodini umpeleke unapopajua wewe. Je hiyo inakua rufaa au kitu gani? Haya ni mauaji yasiyo mithilika,ni aibu kubwa sana kwa taifa na nimaumivu makubwa sana siotu kwa wagonjwa lakini hata kwa wanafamilia. Ninapata hiyo picha kabisa

Pamoja na mambo mengi lakini ninaweza kusema serikali imeangalia maslahi yake kuliko kuvaa jukumu la kuwatibu wananchi wake na hospitali binafsi nao wameangalia maslahi yao ambapo kimsingi bila maslahi hata kidogo hawatoweza kuendesha taasisi kwasababu wananunua madawa na kulipa mishahara.

Waziri Ummy ameshindwa mambo makubwa mawili kwenye hili.
1: Ameshindwa kuangalia changamoto ya uendeshaji wa hospitali binafsi na kufikia nao muafaka.
2: Ameshindwa kuelewa kwamba serikali ndio inajukumu la kuwatibu wananchi wake ambao ndio walipa Kodi. Aelewe MATIBABU SIO FADHILA bali ni lazima. Hapo ndio alipoona kwamba hospitali binafsi zikwee mlima wake na serikali ikwee mlima wake. Huku nikufeli kukubwa sana kwa Ummy,hii ni aibu na alama mbaya sana katika wizara hiyo. Nikirejea maneno ya hayati mzee Mwinyi ninasema kwenye kitabu chako hili nalo tutaandika. Ninarudia hata ukijosahaulisha utakumbushwa na utaandikiwa TENA KWA WINO MZITO.

Nimalizietu kwa kusema Ummy acha ngonjera wewe umalize mwendo wizarani. Pisha akili na maarifa mengine vitumike kushawishi wawekezaji binafsi kwa manufaa ya nchi.
Mh. Rais kama waziri asipoona uungwana na aibu akaendelea kushupaza shingo yake, MSAIDIE KUONDOKA WIZARANI KWANI KUSHINDWA KWAKE NIKUAHINDWA KWAKO.
Hayo ni maoni yangu
Wanasema wenye hekima Heshimu baba na mama yako...


Je mdada wa Kitanga alimheshimu mama yake mzazi?
Malipo hapa hapa ulimwenguni
 
Kwenye nchi ambayo mzazi anagoma hata kununua sare za shule za mwanae kwa kisingizio cha umaskini na unyonge ni ngumu mno kuelewa gharama zilizopo kwenye matibabu. Ummy kujiuzulu haitasaidia chochote. Waziri ni kiongozi tu wa kisiasa ila chini yake kuna watendaji ambao baadhi wana nguvu za hatari kiasi cha kumvimbia Waziri. Ninashauri Rais atumie vyombo vyake kubaini tatizo liko wapi na kuchukua hatua haraka.
 
Back
Top Bottom