SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,767
Hili muhimu sana nimemsikia yule Mhutu KM wao akiwachimba biti kuwa ole wao watakaokisaliti chama kwenye uchaguzi, Tundu Lissu awaeleze kuwa kura ni siri hivyo wasiogope kuimwagalilia mbali pombe.Pia ana kura nyingi sana za wana CCM anachotakiwa ni kuziomba tu, kuna kundi kubwa sana zaini ya nusu ya wanachama wa CCM hawamkubali mwenyekiti wao akipanda jukwaani asisahau kuziomba hizi kura.