Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.

Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako:

- Katiba Mpya(Ya Warioba)
- Suala la mikopo.
- Fao la kujitoa.
- Kuendesha nchi kimajimbo
- Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.

Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura. Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Mwaka huu Hadi rahaa Sana ,ni matumani yangu mpaka Jane lowassa si mda ataludi chadema, maana pamoja na maombi aludi kwa chadema Bado anabisha kidogo huku moyo unamuuma ,Asante mungu sijawai kukutumikia kwa kadri upendavyo ila yote ulio niambia tangu saa sita na dakika moja 2020 nayaona Kama vile naangalia tv
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Mmoja wa wanufaika wa system. Na jiwe keshajiapiza kuwa akishinda tu, tutalimia meno.
 
Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.

Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako:

- Katiba Mpya(Ya Warioba)
- Suala la mikopo.
- Fao la kujitoa.
- Kuendesha nchi kimajimbo
- Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.

Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura. Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Huo ndio ukweli wenyewe,CCM sasa hivi mawazo yao yamebakia kwa NEC kuwabeba kuiba kura wakiamini watatuzuia kuzilinda,this time tutafanya ulinzi shirikishi wa kura kwa wananchi kutoa ushirikiano kwa askari rasmi na wale wa jeshi la akiba.Wezi wa kura wafahamu hilo mapema ili wasije kusema hatukuwaonya maana tutawatoa kinyesi.
 
Watanzania mnapenda kuongea bila statistics. Statistics ni muhimu sana katika kufanya maamuzi.Huyu MTU akija kupata asimilia 20,mtasema nn?
Kuna maccm kama Polepole yana DHAMBI. Unafunga MIRIJA ya UCHUMI Nchi nzima. Wananchi wanalia NJA.

Wakisema vyuma vimekaza eti unawafunga badala kufungua mirija ya Uchumi.

Huu ujinga wote unafanywa ili uweze kuwaDHIBITI siku ya UCHAGUZI kwa kuwapa buku mbili wajaze viwanja.
 
Tupe statistics za kutosha kuwa ,ndugu huyu anaungwa mkono na wengi?
8E36859D-5876-490B-90EA-27DE1ABB5BDD.jpeg
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Kuna chuo cha uraisi?bwashee umepuyanga..Nyerer si alikuwa mshika chaki tu..
 
Nikiwa mwaka CCM kwa miaka 30.sasa nasema sitachagua kiongozi yoyote wa CCM mwaka huu diwani na mbunge wangu wote walitoa rushwa kupitishwa . Nachagua upinzani? Kura ni yangu usonifokee.
 
Nikiwa mwaka CCM kwa miaka 30.sasa nasema sitachagua kiongozi yoyote wa CCM mwaka huu diwani na mbunge wangu wote walitoa rushwa kupitishwa . Nachagua upinzani? Kura ni yangu usonifokee.
Umechagua fungu jema kumkataa shetani ccm na mawakala wake wote.
 
Mkuu una akili nyingi kuliko redio ,naunga mkono hoja ,japo najua litafika mda wake litazungumziwa lissu na Tim yake wako makini Sana mkuu ,maana mpaka Sasa inapigwa kampeni ya kisayansi never seen before so subiri hatua ya mwisho ya kampeni itakua shida, shikamoo mh mbowe ,siku moja tafadhali andika kitabu juu ya maisha yako ya siasa kitasaidia vizazi na vizazi mkuu
Kweli mkuu
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Hata Magu yalikuwa no majaribio. Nwenyewe alikuwa anabeep tu....!!
 
Back
Top Bottom