kashakambajile
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 219
- 214
Maneno haya si ya mtu mwenye pepo.Ukweli Ni kwamba anatufaa hata anapoongea anaongea kutoka moyoni,Ni mkweli na kwa ukweli wake huo ndio maana waliamua kumnyamazisha mazima,lakini Mungu akazuia.