Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics
Sasa unataka nini zaidi wakati hata Magufuli huwa anasema Tanzania ni tajiri. Sasa tunataka tunufaike na utajiri wa Tanzania directly .
 
Lissu kaongea vizuri sana. Amegusia shina la matatizo yetu kama nchi. Kwenye elimu amegusa mshipa mkuu wa tatizo: elimu ya kukariri ili kushinda mtihani badala ya kuelimika. Hii elimu ndiyo imemwathiri hata rais wetu wa sasa Magufuli, ana Phd lakini haonyeshi kuwa na akili za kisomi bali za kukariri. Kwenye afya nako amepatia kabisa. Nimekaa Ulaya muda mrefu na ni kweli kabisa bima ya afya ni kitu mihimu na hakuna mwananchi mwenye uwezo wa kulipia matibabu mwenyewe bila kusaidiwa na bima.
 
Sasa unataka nini zaidi wakati hata Magufuli huwa anasema Tanzania ni tajiri. Sasa tunataka tunufaike na utajiri wa Tanzania directly .
Bars bara Mnapita Umeme mnatumia Maji kibwena amani telee unataka hela mfukoni Fanya kaziiii ufaidike ukiwa kitandani unachati.
 
Tukija suala ka hoja na kuzipangilia TL hana mpinzani mbona!? Shida ipo kwa wapiga kura wengi bado hawajielewi kabisa. Elimu nchi hii bado inahitajika sana.
Kapangili nini zaidi ya Kutaja bila kufafanua ni jinsi gani Atawakwamua Watanzania anahisi wako kwenye dimbi la umaskini
 
Back
Top Bottom