Hata mimi nimeliona hilo.
Pesa zote zilizofichwa chato na sehemu zingine zitaenda kuchukuliwa hata mataga hawapendi pesa zao kufichwa chatoKaanza kutangaza sera,sasa utasikia wanakuja na hoja nyingine nyepesi kama hizo fedha atatoa wapi,n.k .Subirini kuwasikia MATAGA.
Wewe bima ya afya haikuhusu? Au wewe haujawai kuumwa?Usiseme sehemu kubwa ya Watanzania. Hivi wafanyakazi wa umma hapa nchini ni % ngapi?
Mkuu mkopo hata kama huna kazi mkopo unaongezeka tu!.. Kuna rafiki yangu alichelewa kukopa akakuta imefika m16Nitahakikisha sipati ajira ili nisilipe mkopo.
Watu hakuna mkuu kwanini msilete picha zenu tuzione?Wewe dada mdadisi, umeshajiuliza kwa nini Online TV hazizoom wananchi bali zinazoom jukwaa la wahutubiaji tu?
Kweli kabisa. Watanzania wanataka mazingira bora ili wachape kazi kwa moyo mmoja. Siyo unachafuka chalk,kuandaa materials mwisho wa mwezi unaishia laki nne tena mfululizo miaka mitano hata mia haijapanda.Huyu wa Leo ndo Lissu ninayemfahamu mie. Hongera sana Lissu. Leo umetugusa vizuri sana watanzania. Na huu ndo uwe mwendo
CCM bado wanaongelea SGR ununuzi wa Ndege utazani ni pesa binafsi tokea mfukoni mwa mtukufu magumu.Naangalia live ujue. Leo Lissu kaongea kama Rais wa nchi hii.
Nmeuliza wafanyakazi wa umaa hapa nchinu ni % ngapi?Wewe bima ya afya haikuhusu??? Au wewe haujawai kuumwa???
Sasa si nitafanya ujasiriamali.Asilimia tatu nayo ikushinde kulipa ?Halafu usipofanya kazi utaishi vipi ?On top of that Kaka wewe umesomeshwa,somesha wengine pia. Lipa mkopo.
Lissu kasema, ili kulipa mkopo ni mpaka uwe na ajira.Mkuu mkopo hata kama huna kazi mkopo unaongezeka tu!.. Kuna rafiki yangu alichelewa kukopa akakuta imefika m16
Bila ajira hupati mkopoNitahakikisha sipati ajira ili nisilipe mkopo.