stories of change 2022

Storm Stories is an American non-fiction television series that airs on The Weather Channel (TWC) and Zone Reality. It is hosted and narrated by meteorologist and storm tracker Jim Cantore. Storm Stories showcases various types of severe weather, such as tornadoes, hurricanes, and blizzards. Each episode features a famous severe storm, and survivors of it sharing their experiences. The program also features footage of the storm if it is available, but typically a re-enactment is used instead. The video of the storm is often shown while the survivors offer their accounts of it. Often, TWC would air a special week dedicated to one specific type of storm.
Storm Stories is produced by Towers Productions. A syndicated version of Storm Stories is distributed by Litton Entertainment to television stations around the country. The syndicated version includes co-branding opportunities for stations to place, within the program, their local weather anchors, who are usually shown discussing the topic of the episode, and current news. Some syndicated episodes never aired on TWC. In 2009, NBCUniversal (which previously owned TWC until 2018) announced that it would begin handling sales of all of the national ads on Litton's syndicated shows, including Storm Stories. After the show's cancellation in 2010, reruns continued to air until late 2015. On May 21, 2019, The Weather Channel announced a revival of the series as Storm Stories: The Next Chapter which debuted on August 18, 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Mwanachama Bora Jamiiforums 2022

    MWANACHAMA BORA JAMIIFORUMS STORIES OF CHANGE 2022 Picha zilizopo hapo chini zinajieleza zenyewe. Nawashukuru sana JF kwa heshima hii waliyonipa. Huu ni mwaka wa pili mfululizo napewa heshima hii. Leo nimefika JF na nimekabidhiwa zawadi zangu. Huo mfuko ndimo zilimo hizo zawadi zangu. Zawadi...
  2. amranik

    SoC02 Mawazo biriani chanzo cha kuchelewesha maendeleo kwa vijana

    MAWAZO BIRIANI CHANZO CHA KUCHELEWESHA MAENDELEO KWA VIJANA Biriani ni kati ya chakula maarufu kinachotumia viungo vingi ili kuweza kukamilisha pishi lake na vinapo changanywa viungo vingi ndio utamu unaongezeka. Lakini katika maisha ya vijana ni tofauti, kupata maendeleo kwa kufanya vitu vingi...
  3. A

    SoC02 Utawala Bora

    Utawala bora ni matumizi ya mamlaka ambayo yanakuwa na uwazi, uwajibikaji, ushirikishaji wa watu, ufanisi, tija, uadilifu, usawa na unafuata utawala wa sheria. Tanzania ikiwa moja kati ya miongoni mwanchi zenye kuzingatia demokrasia na utawala bora, ilifanikiwa kuanzisha tume ya haki za binadamu...
  4. E

    SoC02 Utoaji wa dawa na vifaa tiba hospitalini kwa utaratibu wa OTT

    Dawa na vifaa tiba ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha utoaji wa huduma bora za afya kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini na kuhakikisha kuwa jamii inakuwa na afya bora. Pamoja na umuhimu huo, sekta ya afya imekuwa na changamoto ya uhaba wa dawa na vifaa tiba. Hii inapelekea ugumu wa utoaji wa...
  5. Davidy Sabas

    SoC02 Kuwawezesha wanawake kupitia TEHAMA

    Kutatua mapengo ya kijinsia katika TEHAMA ni muhimu kwa mustakabali endelevu "Kuwawezesha wasichana kuchagua taaluma za TEHAMA sio tu nzuri kwa wasichana na familia zao, inaweza kuwa kichocheo kikuu cha maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika ngazi ya kitaifa." - Brahima Sanou, Mkurugenzi...
  6. bruno_ds_daniel

    SoC02 "Kesho Isiyofika" - Bruno D. Sakalani

    KESHO ISIYOFIKA “Unasikia midundo iyoo Chris!!? Yule Shayo mgombea wa PMP amekuja bwana!” Madokola, alimshtua Chris kwa kelele maana kwake yeye alidhani Chris alikwishazama katika ndoto na usingizi mzito. “Naamka aisee!” alijibu Chris kwa sauti ya chini “Kwani watu wamekwisha jaajaa uwanjani?”...
  7. mraniwene

    SoC02 Samaki Mkunjeni, Ila Mwanangu Msimguse!

    (Mwanzo) Hadithi Fupi “Mamu, Mamu, we Mariamu si nakuita ina maana hunisikii?”, ilisikika sauti ya Mama Ibra kama ilivyo kila siku mida ya saa kumi na moja na nusu akiwa anamuamsha mwanaye. “Amka haraka jamani tutakosa wateja, na wateja ndio pesa. Au unafikiri hivi vitumbua vitajipeleka vyenyewe...
  8. I

    SoC02 Mfumo juu ya uendeshaji elimu Tanzania

     Elimu ni jumla ya mambo yote ya kuhusu ujuzi,stadi,maarifa na muelekeo katika jamii.katika nchi yetu ya Tanzania tunaona kuwa Mfumo wetu wa uendeshaji umekaa vibaya,kuna baadhi ya mambo mengi ambayo hupelekea hichi chanzo. (1)Chanzo ni Nini mpak tunaona Mfumo wetu wa elimu ni mbaya? (i)...
  9. Gill Rugo

    SoC02 Tusasishe mila na desturi zetu

    Naikumbuka bayana siku hiyo. Hususani ule mlio, mkubwa kuliko kumbukumbu yenyewe. Nilikua mdogo sana lakini nakumbuka dhahiri kila kitu. Ni moja kati yale matukio unayobeba akilini mpaka kifo. Yale matukio tambuzi yanayoathiri mustakabali wa maisha yako. Na ndio maana sielewi! Sielewi kwanini...
  10. Jmushi91

    SoC02 Mshindi ni mimi na wewe leo

    Utajiri, pesa, umaarufu, vyeo, mamlaka, afya, chakula, mavazi, kazi, nyumba, magari, simu ya kisasa, unaweza kutaja mafanikio yoyote ambayo umepata. Hakika orodha haijaisha. Sasa nikuulize, ni mafanikio gani makubwa uliyoyapata maishani? Fikiria juu ya hili unapochimba chini kwenye hii...
  11. M

    SoC02 Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa, ufanywe kwa ufanisi ili Serikali ipate takwimu kwa urahisi

    Kumekuwa na Mfululizo wa Serikali ya Tanzania kudai Taarifa Mhimu za mwananchi anapotaka kupata huduma serikali ambazo kimsingi ni Mzigo kwa Mwananchi huyo, kuwa nazo kwa wakati anaohitaji kupata Huduma. Mfano unahitaji Kutibiwa kwa Njia ya Bima, Utadaiwa Cheti cha Kuzaliwa, cha serikali ya...
  12. Andrew Ikingura

    SoC02 Sintofahamu juu ya hedhi na mahudhurio ya wasichana mashuleni

    Takwimu kutoka Shirika la Mfuko wa Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) zinaonyesha kuwa, kila mwezi, takribani wanawake bilioni 1.8 ulimwenguni kote hupata hedhi. Mwanzo wa hedhi kibaiolojia inamaanisha kuwa kuna awamu mpya katika uwezekano wa ongezeko la mwanadamu duniani, yaani upatikanaji wa...
  13. L

    SoC02 Ndoa siyo Ndoano

    Ndoa ndoano ni msemo wa muda mrefu sana ukimaanisha kuwa wawili waingiapo kwenye ndoa hawawezi kuachana na wanapaswa kuvumiliana katika hali zote za shida na raha.Ni kama wavuvi wanavyovua Samaki na ndoano. Samaki akinasa kwenye ndoano basi hawezi kuchomoka.Dini zetu pia zinatuongoza kuwa wawili...
  14. A

    SoC02 Baada ya kulilia simu

    Bado naukumbuka usiku ule vizuri, nilikuwa nimekaa nikifunikwa na giza nene wakati mshumaa mwembamba ukimulika mwanga mdogo. Muda huo nilijaribu kumaliza chakula kilichopo kwenye sahani yangu nikiomba kimoyomoyo umeme urudi. Akili yangu ikachangamka na nikawatazama baba na mama waliopo mbele...
  15. V

    SoC02 Mambo ya kuzingatia ili kuweza kutajirika kwa kuwekeza kwenye soko la hisa

    Muhtasari: Dhumuni la nakala hii ni kuelimisha jamii kuhusiana na kanuni za kuzingatia ili kuweza kutajirika kwa kuwekeza kwenye soko la hisa. Pia, kutoa hamasa kwa vijana na wajasiriamali mbalimbali kukuza mitaji na utajiri kwa kuwekeza kwenye soko la hisa la Dar es Salaam...
Back
Top Bottom