samaki

  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Samaki wenye mifupa ipo kama "Y" ni samaki gani?

    Wanaitwaje samaki wenye mifupa imekaa hivi? Wanapatikana wapi hapa Tz?
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Vifaranga Vya Samaki Milioni 1.5 Vyapandikizwa Ziwa Rwakajunju - Karagwe

    Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuwawezesha wananchi wa Wilaya ya Karagwe kuanza kunufaika na uchumi wa buluu kupitia zoezi la upandikizaji wa vifaranga milioni 1.5 vya samaki aina ya sato katika Ziwa Rwakajunju lililopo...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama unapesa ya kufuga na kulima mpunga wezesha ufugaji wa samaki anaitwa Pangasianodon hypophthalmus jamii ya kambale

    Samaki wanasaidia kuleta mbolea yenye gesi kustawisha mazao kama mipunga,mazao ya kumagria kama maji yake ukiweka kwenye majabari ya mpunga. Hii mbengu ni aina ya kambale ila mtanishukuru inaitwa Pangasianodon hypophthalmus.Ndani ya miezi sita inaweza kufikia 10-20 na sio jamii ya hapa inatoka...
  4. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Kama usaliti usingekuwepo duniani basi maji yasingetumika kumpika samaki

    Samaki anakua kwenye maji tangu mdogo na ayo ayo maji yanatumika kumpika ,Maana yangu nini usimuamini kila mtu wengi wanaouza faili zetu ni wale tunaowaamini
  5. J

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Samaki aina ya goldfish anatunza kumbukumbu ndani ya sekunde tatu tu

  6. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya samaki wa maji chumvi/bahari na maji baridi unapenda yupi?

    Kila mtu na anavyoonja ladha kinywani mwake, kuna sisi wengine samaki ni samaki tu bora atengenezwe vizuri hatuchagui maji bahari wala chumvi. Ila kuna watu wanasema mara samaki wa maji chumvi sio mtamu kama wa maji bahari na wengine wanasema samaki wa maji baridi ni matamu kuliko wa maji...
  7. Donnie Charlie

    JamiiForums Tanzania Umewahi kufahamu kuwa kuna samaki anaweza kuishi miaka hadi 500?

    The Greenland shark can live over 400 years. It was swimming before Shakespeare was born.
  8. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Zindiko la samaki Mbenga.

    Kuna huyu samaki hatari anayepatikana Afrika. Kwa kiswahili anaitwa Mbenga. Kwa kiingereza Tiger Fish hasa anapatikana kwenye Mto Congo na matawi yake. Hadi ziwa Tanganyika anapatikana sababu ni sehemu ya system ya mto Congo. Ni samaki lakini ana meno kama ya mamba au wanyama wengine wakali...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Nilijifanya M-south Africa Pale Coco Beach. Dadeki! Ati Wali Samaki Tsh 85k wakati wiki hiyohiyo nilikula kwa 25. Wabongo uaminifu Zero

    Hamjambo wote! 1. Nje ya kuandika na kusoma soma ninapenda Kuogelea. 2. Sasa Kila wiki ninakuwa na ratiba ya kwenda beach kukata Maji baharini. Kwa Upare wangu mara nyingi naendaga Beach za bure hasa Siku za katikati za kazi. Weekend sio rahisi kunikuta huko. 3. Napenda kuoga Ile kabla ya...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Samaki wasio na mapezi na magamba hawaruhusiwi kuliwa

    Samaki wasio na mapezi na magamba hawaruhusiwi kuliwa Maandiko katika kitabu cha Mambo ya Walawi 11:9-12, yanasema: 9 Katika hao wote walio ndani ya maji mtakula hawa; kila aliye na mapezi na magamba, ndani ya hayo maji, na ndani ya bahari, na ndani ya mito, mtakula hao. 10 Na hao wote wasio...
  11. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Njoo nikufundishe kupika mchemsho wa samaki na ndizi

    Mahitaji 1. Samaki 2. Ndizi 3.mchicha 4. Karoti 5.limao 6. Chumvi Mpalue samaki wako magamba vzr kisha muoshe vizuri baada ya hapo muweke kwenye sufuria weka maji kidogo sana na chumvi kidgo kisha ukamulie ndimu Washa jiko weka moto mdogo sana samaki asije vurugika Baada ya hapo weka...
  12. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Kama Tanzania tungeandaa AFCON Peke yetu tungefaulu lakini kuwekwa kapu moja na walioahindwa kulipa hadi ada Samaki wameoza wote

    Japo CAF wamekanusha lakini aliyeshauri kuwekwa kapu Moja na Kenya na Uganda alitukosea sana.Vinchi Hadi Leo hii vinapigania njaa na kuomba omba chakula wataweza kuandaa mashindano hao? Kenya Hadi hela ya ada wameenda kukopa ndio wakalipa hapo juzi.Wana uwanja mmja tuu ,viwanja vya mazoezi...
  13. Scott junior

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Samaki wa kukaanga mtaani wanakuwa na funza

    Sitaongea sana, usinunue samaki usiku🥹
  14. Jephta2003

    JamiiForums Tanzania Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Habari za muda huu wana-JF, Nimekuwa nikifanya tafakari ya kina juu ya hali ya Ziwa Victoria tangu miaka ya 1980 hadi sasa. Wote tunajua kuwa katika miaka ya 1950, uamuzi ulifanywa wa kumwingiza Sangara (Nile Perch) ndani ya Ziwa Victoria akitokea Ziwa Albert na Mto Nile nchini Uganda. Lengo...
  15. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Mbunge, Zanzibar: Msituletee samaki kutoka bara, sie hatuli

    Nimekutana na hii video on social media hadi nimeshangaa Kwani samaki wetu wana shida gani 😳
  16. lewiathan

    JamiiForums Tanzania Nauza Samaki Aina zote Kutoka Ziwan Tanganyika, fresh fish (Wenye Bucha za Samaki)

    Aina za Samaki Sangara. Kg 1 Tsh 10,000 Kuhe. Kg 1 Tsh 11,000 Sato. Kg 1. Tsh. 9,000 Migebuka Kg 1. Tsh 8,000 Nungi. Kg 1. Tsh 8,000 Kungura. Kg 1. Tsh 8,000 Singa. Kg 1. Tsh 7,000 Napatikana Sumbawanga. (Usafr Juu yako Mteja) Name: Silvester...
  17. ormystatus

    JamiiForums Tanzania Weka Oda Yako Ya Samaki Kilo 9,500/= tu.

    079 531 536 9 Agiza kiasi chochote unachohitaji. Mzigo unakulia AIRPORT DAR Mnaohitaji mzigo mkubwa kazi kwenu, Piga au tuma meseji. 079 531 536 9
  18. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh toka Mwanza zimeingia leo kg 13000 ukinununua zaidi ya kg 10.. Unaletewa bure ulipo Dar

    TUPAMBANE TUKIWA HAI WAPENDWA KIJANA WETU AMEINGIA NA MZIGO.MWINGI TU WA SAMAKI TOKA MWANZA SANGARA KG 13000 UKINUNUA ZAIDI YA KG 10 UNALETEWA BURE CONT 0783 80 52 14 Past DICKSON Ukiitaji na Sato kama zitakuwa hazinaisha anakuketea ulipo Mungu awabariki
  19. ormystatus

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mdhamini(muwekezaji) kwenye biashara ya samaki, pweza, kamba, ngisi, dagaa wakavu na simbi

    Simu: 079 531 536 9 Nimerudi tena, baada ya andiko la kwanza naona wawekezaji mnakuja na kuondoka. Habari; Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Ninahitaji mdhamini kwenye biashara ya mazao ya bahari. Kwasasa nimeanza kufanya hii biashara nikishirikiana na Mama angu mzazi, lakini mimi...
  20. Leejay49

    JamiiForums Tanzania Tupike wali samaki

    Hi guys,.hope mko poa Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni tutaanza kupika samaki,. Kwenye sufuria yako utaanza kuweka mafuta kidogo,. vitunguu hoho na carrot kama...
Back
Top Bottom