Niende moja kwa moja kwenye mada.
Wakuu ni dawa gani inaweza kutibu viuvimbe na vidonda sehemu ya haja kubwa,na wakati wa kujisaidia damu inamwagika na maumivu makali,
pia vinawasha sana.
Ni dawa gani ninunue dukani inayoweza kunisaidia.
Huko Tanganyika nilisikiaga watu wanakamatwa na kushindiliwa mabomba kwenye haja kubwa.
Wengine wakadai ati wanawashindilia wenzao mabomba ili kutoa mbegu!
Katoto kakionekana ni kashoga kanadakwa haraka haraka kanapelekwa kwenye zahanati ya kijiji kushindiliwa bomba la kutoa mbegu.
Kuna...
Habari kwa wanajukwaa. Kwa leo naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Naulizia je huu unaweza kuwa ugonjwa gani hasa kwa vinguruwe vidogo kutoa haja kubwa ambayo inakuwa kama uji uji mwepesi na mara nyingi wanakosa hata nguvu ya kutembea. Ninaulizia ili niweze kuujua ugonjwa huu na kuwapatia...
Naomba msaada wa hivi vinyama vilivyoniota pembezoni mwa shimo la haja kubwa vinaitwa piles kwa kimombo, kiswahili sijui. Hivi vidude huwa vinauma na kuacha, naweza kukaa miezi 8 hadi mwaka sivisikii ila vikianza kuuma nashindwa kukaa au hata kutembea. Naomba msaada wa dakatari yoyote...
Timu ya Tajiri #13 Afrika inafanya Mambo ya Kipumbavu na Aibu kabisa halafu bado unataka Mwenyezi Mungu aibaeiki ishinde.
Tulichokibakiza sasa kutokana na Kuamini Kwetu Uchawi ni Kuwaambia tu Wachezaji wakiongozwa na Babu (Mzee) Joash Onyango wajitahidi kujisaidia uwanjani kwa Mkapa ili...
Wahenga walisema hujafa hujaumbika. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Supa Ngussi aliyepata changamoto katika sehemu ya kutolea haja kubwa na ndogo, baada ya kupata ajali ambayo ilikwenda kubadili kabisa mwelekeo wa maisha yake.
Ngussi (21) ni baba wa mtoto mmoja, alipata changamoto hiyo katika...
Nangoja kwa hamu sana kusoma maoni yenu ya kitaalamu enyi wajuvi wa JamiiForums, kwani nimedokezwa tendo la mwanadamu kujisaidia haja kubwa Wazaramo wanasema kuukweka) pale tu akikata roho ni la kisayansi zaidi. Hivyo nitafurahi nikielimishwa juu ya hili.
Ikiwa mbegu za uzazi zitatoka kwenye uume wakati wa kujisaidia haja kubwa, inamaanisha kuna udhaifu kwenye tezi ya kiume "prostate''.
Hii ni kwasababu ukanda wa pembeni wa tezi dume (peripheral zone of prostate)' uko karibu na sehemu ya puru ya haja kubwa, kwa hivyo unaposukuma kwa nguvu wakati...
Baadhi ya watu watabia ya kuongea na simu na wapendwa wao kwa muda mrefu. Licha ya kupata maumivu ya masikio, kichwa na matatizo ya macho, wataalamu pia wamebainisha madhara makubwa yanayoweza kutokea kupitia simu yako ya mkononi.
Shinikizo la damu
Ripoti iliyotolewa na watafiti kutoka Nchini...
Kwa kweli kuna kipindi tulikuwa na maisha mazuri mpaka tukasahau matenki ya maji.
Sasa wale tuliopo na ofisi ambazo vyoo vyetu vya kuflash na plan za ofisi swala la tank la maji hakuna.
Kila mwanadamu lazima kutoa taka mwili. Nipo ofisini mara nasikia hali si nzuri, kwenda chooni hakuna maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.