Tunalo Suluhisho Salama na la Kiasili
Tunasaidia kuondoa changamoto ya bawasiri bila upasuaji, kwa kutumia virutubisho asilia vilivyothibitishwa ambavyo vinasaidia
Kuyeyusha kinyama: Kusaidia kusinyaa na kuondoka kwa kinyama kilichojitokeza (kwa bawasiri ya nje).
Kulainisha choo: Kuondoa tatizo...
ZIJUE SABABU ZINAZOWAFANYA WAGONJWA WENGI WA BAWASIRI KUTUMIA DAWA NYINGI BILA MAFANIKIO
Kwanza Mgonjwa wa Bawasiri anatakiwa kufahamu ya kwamba,matibabu si dawa pekee.Watu wengi wanaamin kwamba matibabu ni dawa pekee na jambo hili limepelekea wengi kuteseka na matatzo kwa muda mrefu sana bila...
NI DAWA INAYOTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI
BAWASIRI FLUD & BAWASIRI POWDER
⚫ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasiri ya nje na dawasiri ya ndani(internal and External hemorrhoids).
FAIDA AMBAZO MTUMIAJI HUPATA BAADA YA...
NI DAWA INAYOTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI
BAWASIRI FLUD & BAWASIRI POWDER
⚫ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasiri ya nje na dawasiri ya ndani(internal and External hemorrhoids).
FAIDA AMBAZO MTUMIAJI HUPATA BAADA YA KUTUMIA...
NI DAWA INAYOTIBU BAWASIRI BILA UPASUAJI
BAWASIRI FLUD & BAWASIRI POWDER
⚫ Ni dawa asili iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu yenye uwezo wa kutibu aina zote za bawasiri yaani bawasiri ya nje na dawasiri ya ndani(internal and External hemorrhoids).
FAIDA AMBAZO MTUMIAJI HUPATA BAADA YA...
BAWASIRI NI NINI?
-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama/Uvimbe ambao ndio huitwa Bawasiri.
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea...
BAWASIRI NI NINI?
Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuvimba au kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama au uvimbe ambao ndio huitwa bawasiri.
Sababu kubwa ya mtu kupata bawasiri ni mgandamizo sehemu ya haja kubwa, ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka...
1. BAWASIRI FLUIDS
🟢Hii ni dawa yenye mfumo wa Kimiminika inayotumika kwa kupaka sehemu ya haja kubwa na kupelekea kufyonza na kuondoa kabisa seli zilizocharuka na kufanya uvimbe kuwa nje ama tayari Bawasiri ( Hemorrhoids or piles) inatoa maji maji kama usaha Itakauka vizuri. Kama uvimbe uko...
Kwa anayefahamu dawa yake naomba anisaidie mana imesababisha kinyama kitoke Hali inayosababisha maumivu makali,Minpo Dodoma ingawa hapa Dodoma kuna dawa zike za wasuni ila sijazijaribu naombeni ushauri wenu mana operation siitaki kabisa
Bawasiri ni ugonjwa unaotokea pale ambapo mishipa ya damu kwenye eneo la haja kubwa huvimba na kusababisha maumivu, muwasho, au kutokwa na damu hasa wakati wa kujisaidia haja kubwa. Bawasiri hujulikana kwa kitaalamu kama Hemorrhoids.
Bawasiri inaweza kutokea ndani ya rektamu (bawasiri ya ndani)...
Bawasiri ni moja ya Matatizo sugu yanayowasumbua wagonjwa wengi hapa tanzania na kwengineko.
Ugonjwa huu umeshika kasi kubwa sana kutokana na sababu za mitindo ya vyakula bila utaratibu. Na mengineyo.
Bawasiri imewafanya watu kukosa amani ya nafsi leo sababu wanahisi ni ugonjwa ambao hauwezi...
Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona.
Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
Habari ndugu zangu nawasalimu sana.
Bawasiri ni tatizo linalowasumbua watu wengi na wengi wetu tunauchukulia kama ugonjwa wa aibu kutokana na eneo lenyewe linalo athirika.
1. Bawasiri ni matokeo ya kuathirika kwa mfumo wa chakula
2. Mmengenyo wa chakula unapokuwa mbaya na ivyo kinyesi katika...
Habarini za muda huu
Najua jamii forum ni forum yenye watu wa nyanja mbali mbali sasa nimekuja hapa kuomba msaada wa namna gan ntasajir dawa yangu ya kutibu bawasir ili nianze kuifanyia PA na kuibrand
Dawa yangu imekua na mafanikio makubwa katika kutibu bawasir imewatibu watu weng waliokata...
Sikuhizi imekuwa kawaida sana watu kula ndizi, wali, ugali huku mboga ikiwa ni maharage, nyama, mchuzi, n.k. bila kutumia mboga za majani aina ya chakula maarufu chenye nyuzi kama figili, mchicha, n.k. kama ipo inakuwa ni kiasi kidogo sana ukila tonge mbili za kipimo sahihi habari imeisha...
Samahani wa ungwana ni mara ya tatu tena nakuja kwenu. Bado nauguza vidonda nilivyovipata huko nyuma kwa matibabu ya bawasiri yasio sahihi.
Nataka nikipona vidonda niende hospital kwa matibabu zaidi lkn.
Kilichonileta kwenu tena ni hii picha ambayo nimewaletea wale watalaamu wa kujua aina za...
Wadau naomba msaada kwa mara nyingine tena kwa habari ya bawasiri
Nimetumia dawa za kienyeji za kunywa na kupaka nimetumia za tiba mbadala lkn wapi ndipo nikaamua kwenda kwa mtaala mmoja nikaambiwa yeye huwa anakutibu mpk bawasiri ina isha kbs
Na jamaa zangu wengi wameenda kwa huyo mtu...
Naomba ushuhuda wa mtu aliyekuwa na bawasiri ya ndani akatumia dawa iwe ya hospitali au Tiba mbadala akapona atusaidie na sisi maana tumetumia hizo dawa za kienyeji mpk tumechoka Hela tu inaenda na km ni dawa ya dukani atutajie maana wanadai bawasiri pia inapunguza zile nguvu.
Naomba kuwasilisha
Hakuna gonjwa baya kama bawasiri. Ni ugonjwa unaokera sana.
Yale manyama yanavyochungulia kwenye shimo la ikweta yanaleta ukakasi mkubwa sana licha ya madhara mengine mengi.
Ukichuchumaa linyama linafumuka. Ukienda kukata gogo linyama linafumuka. Unakuwa kama mama aliyejifungua. Shimo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.