chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Kwa kweli kuna kipindi tulikuwa na maisha mazuri mpaka tukasahau matenki ya maji.
Sasa wale tuliopo na ofisi ambazo vyoo vyetu vya kuflash na plan za ofisi swala la tank la maji hakuna.
Kila mwanadamu lazima kutoa taka mwili. Nipo ofisini mara nasikia hali si nzuri, kwenda chooni hakuna maji na ningetumia ukatili bila maji lazima ningejulikana kuwa mimi ndio nimeingia. Ikabidi niwashe gari kwenda nyumbani kwa sababu ofisi na nyumbani si mbali kama dakika 12.
Kilichonisaidia zaidi ya hapo ningeharibu CV ya choo cha ofisi na CV za taka taka zote wangeziona
Sasa wale tuliopo na ofisi ambazo vyoo vyetu vya kuflash na plan za ofisi swala la tank la maji hakuna.
Kila mwanadamu lazima kutoa taka mwili. Nipo ofisini mara nasikia hali si nzuri, kwenda chooni hakuna maji na ningetumia ukatili bila maji lazima ningejulikana kuwa mimi ndio nimeingia. Ikabidi niwashe gari kwenda nyumbani kwa sababu ofisi na nyumbani si mbali kama dakika 12.
Kilichonisaidia zaidi ya hapo ningeharibu CV ya choo cha ofisi na CV za taka taka zote wangeziona