Kumekuwa na malalamiko mengi ya wapinzani wakishutumu vyombo vya habari kwa kukwepa kutoa habari za Loliondo haswa zinazohusu upande wa Wamasai.
Lakini cha ajabu zaidi ni gazeti la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe limekuwa kama Uhuru au mzalendo nao wamejitia upofu kama hawaoni...
Tanzania kuna watu wengi kwenye nyanja mbalimbali ambao wamefanya makubwa kwenye nchi lakini hawatajwi wala kupewa heshima wanayostahili.
Sasa mimi nitawataja wachache na yoyote anaemjua mtu aliyefanya jambo kubwa aongezee.
P Funk Majani
Huyu ndio baba wa bongofleva. Formula tunayotumia sasa...
STAA wa muziki wa Bongofleva na bosi wa lebo ya Next Level Music, Raymond Shaban Mwakyusa (Rayvanny) amefikisha (streams) milioni 100 kupitia jukwaa namba moja la muziki barani Africa Boomplay 🙆🏿
Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo ya streams kwenye boomplay...
Siku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.
Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.
Pamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.
Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.
Sasa...
Katika historia ya hii nchi haijawai tokea rais na mwenyekiti wa CCM akapendwa kiasi hiki na wafuasi wa vyama vya upinzani.
Naweza kusema taifa limepata bahati kubwa kuwa na kiongozi mwenye ushawishi wa kipekee.
Ni Rais ambaye hata ikitokea amekosea lawama zake atabebeshwa Kikwete au Magufuli...
Baada ya mfululizo wa kuachiwa huru kwa watu mbalimbali maarufu haswa wafanyabiashara wakubwa.
Mitaani yameibuka maswali mbona maskini walio jela hawaachiwi?
Mbona watoto wa wanyonge wanaendelea kuozea jela!
Mjumbe hauwawi nimeona niwapenyezee namna mitaa unavyochukulia hizi ishu.
Kigwangwala ni moja wanasiasa vijana machachali wa zama hizi ambaye safari yake ya kisiasa uhenda ndio imemalizika.
Naona anatumia nguvu kubwa sana kujaribu kuweka mambo sawa kulinda jina lake, anashinda Twitter akijisafisha. Mara utamuona Instagram akijisafisha. Ametembea baadhi ya media...
Ni rasmi sasa watumishi wa serikali wamepewa ruhusa ya kwenda safari za nje ambazo zilisitishwa na hayati Magufuli.
========
Waziri wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mchengerwa amesema kuwa anawaagiza wakuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma kujipanga kwa ajili ya kutoa mafunzo...
Televisheni ya Citizen ya Kenya imeripoti kuwa Mama Samia ametoa maelekezo wafungwa 23 wa kisiasa waachiwe huru.
Je, Tanzania tuna wafungwa wa kisiasa?
Ni kina nani hao wafungwa wa kisiasa anaowazungumzia Mama Samia?
Au Citizen wanamchafua rais wetu?
=====
Serikali ya Tanzania yakanusha...
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.
Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.
Ila naona Wanaijeria bado wanaandamana wanafanya vurugu na jana jeshi limeingilia na kuua baadhi ya waandamanaji...
Hatimaye zamu ya Zuchu imewadia.
Mtoto wa Khadija Kopa rasmi sasa kutambulishwa Wasafi.
Amekaa benchi kwa miaka karibu mitano.
Ukubwa wa kipaji chake ni Jide+Nandy+Vanessa Mdee.
Tanzania inaenda kupata malkia mpya wa bongofleva.
Hongera Wasafi hongera Tanzania...
Msanii Chidi Benzi asikitishwa na dau alilotaka kupewa na Efm kwa ajili ya ku-perfom show yao ya Mziki Mnene.
Walimpigia simu wakimwomba akaimbe kwa malipo ya elfu 50, kwa ahadi kwamba watampa promo baada ya show.
Yeye ametupa lawama kwa Majizo kuwa anadharau wasanii ndio maana matamasha yake...
Raha ya mtu kufanikiwa ipo kwenye kukubalika na kila mtu haswa wale wachache wanaojifanya hawamkubali mtu kirahisi.
Watu wengi uangaika kutafuta kukubalika na wale wachache wanaowachukulia poa kuliko wengi wanaowatukuza.
Ukitaka heshima ya ukweli basi usishobokee mtu kirahis rahisi.
Kama ni ME...
Navaa pamba kali na najua haswa kuvaa vitu vikali.
Napenda usafi wa mwili wangu mpaka mazingira yanayonizunguka.
Nnanukia perfume nzuri Gucci, Creed au Uomo.
Napenda kutumia vitu vyenye quality na standards za juu. Najali sana viwango kwenye kila kitu changu.
Kibongobongo wananiita brazameni...
Anaitwa John Makini aka Mwamba Wa Kaskazini au Jay Z wa Arusha.
Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi.
Akiitwa kwa ajili ya interview haendi.
Kufatwa hataki.
Alishakubarigi kwenda studio kwenye kipindi cha block 89 lakini dakika za mwisho...
Hii ni historia ya maisha ya Mbosso kimuziki.
Unaweza tazama video fupi hapo juu....Mengi yamejaribu kuwasilishwa kwa video ili uweze kumfahamu Mbosso aka Mbosso khan aka Marombosso aka Mshedede aka African voice.
Kwa wasiofatilia mambo wanaweza shangaa naposema WCB wamebaki wakiwa. Yes, sababu awajawai toka kwenye public na kukiri haya mambo nayoenda kuyasema hapa.
Ni wazi kama utafanya tafiti yako ya uongo na kweli utagundua media zote kubwa za bongo zimesusa kupiga nyimbo za WCB iwe Tv na Radio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.