mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
STAA wa muziki wa Bongofleva na bosi wa lebo ya Next Level Music, Raymond Shaban Mwakyusa (Rayvanny) amefikisha (streams) milioni 100 kupitia jukwaa namba moja la muziki barani Africa Boomplay 🙆🏿
Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo ya streams kwenye boomplay akifatiwa na Diamond.
Baada ya hapo anafatia Mbosso, then Zuchu alafu wa tano Harmonize.
Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo ya streams kwenye boomplay akifatiwa na Diamond.
Baada ya hapo anafatia Mbosso, then Zuchu alafu wa tano Harmonize.