east africa

  1. Brojust

    Je, ni kweli umri unavyozidi kuongezeka Mwanamke hutaka ngono zaidi huku Mwanaume hamu ikipungua?

    Wataalamu tunaomba msaada. Je, ni kweli umri unavyozidi kuongezeka Mwanamke hutaka ngono zaidi huku Mwanaume hamu ikipungua?
  2. Asernal stockpile

    Kenya the giant of Africa is sleeping and the sleeping giant of east africa is waking up!! Viva Tanzania

    The Giant of Africa Kenya has no any significant Export among the top ten. On other side the sleeping Giant is waking up to her long sleepy era and she is taking up her place as the East Africa biggest Economy. Tanzania is exporting more than 3 Billion usd ahead of any nation in East Africa...
  3. Pdidy

    KERO NIDA kuna matatizo ya rushwa na urasimu

    Ni siku tatu zilizopita nimelalamikia nida Kawe na uhuni nilioona. 1. Siku naenda kujiandikisha nilifika saa nne nkaitwa saa tisa kupigwa picha. Unaweza hisi ni makusudi ama wewe pekeyako lakini lundo la watu mnaitwa saa tisa wengine walikata tamaa wakaondoka. 2. Nililalamika ushenzi...
  4. Librarian 105

    Mustakabali wa Gen Z East Africa

    Hili vuguvugu la harakati za Gen Z lililoanzia Kenya kisha kuhamia Uganda hivi karibuni. Ni kiashiria cha mahitaji ya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii yenye kupiganiwa na vijana. Kwa vile mifumo na sera za fedha na ajira limegeuka kupe dhidi yao katika maisha ya kila siku. Walakini viongozi...
  5. Jamii Opportunities

    Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024

    Data Analyst at East Africa Fruits July, 2024 About the job Collect and curate data from various sources, including but not limited to Google Sheets, databases, and APIs. Organize, clean, and maintain datasets to ensure data integrity and accessibility. Apply statistical methods to interpret...
  6. K

    Katika nchi za East Africa hakuna nchi inayopitia kipindi kigumu kama Tanzania. Yanayoendelea Kenya ni tabia tu.....

    Ugweee..nimekosa salam ya haraka kuwasabahi ndg zangu. Hawa Z Generation nchini Kenya ni muenendo na miendelezo ya tabia ya wananchi waliosomeshwa na serikali zao za nyuma...hapa namzungumzia Moi na wengine waliofanya vema. Kinachoendelea nchini Kenya ni sahihi na haki kabisa. Hapa Tanzania...
  7. The Supreme Conqueror

    MWENYEKITI wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited (METL), Ghulam Dewji amekana kampuni yake kuwa na uhusiano wa aina yoyote na Kampuni ya ITEL

    MWENYEKITI wa Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited (METL), Ghulam Dewji amekana kampuni yake kuwa na uhusiano wa aina yoyote na Kampuni ya ITEL East Africa Limited. Amesema masuala yanayohusu Kampuni ya ITEL East Africa Limited yasihusishwe na kampuni yake huku akionyesha wasiwasi...
  8. Aramun

    Enzi za Idd Amini zingekutana na John Magufuli Afrika Mashariki ingechangamka sana

    Hawa wajomba wawili, wana sifa moja common ya kutokuwa na simile na mabwanyenye wa magharibi.. Laiti enzi za uongozi wao zingekutana kwa pamoja, naamini East Africa haingekuwa kama ilivyo sasa. Shida kubwa waliyokumbana nayo wote wakati wanaongoza ni walikuwa hawakubaliki na nchi jirani wakati...
  9. sinza pazuri

    Mjadala East Africa Radio: Diamond ni mkubwa YouTube kuliko Jay Z

    Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana machachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube. Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na...
  10. Jamii Opportunities

    Operations Accountant at East Africa Fruits Ltd April, 2024

    About EA Foods East Africa Foods is a food-tech company focusing on efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around the clock to achieve the highest distribution efficiency in the industry We are currently looking for an...
  11. Jamii Opportunities

    Marketing and Relationship Supervisor (Farmer) at East Africa Fruits Ltd April, 2024

    About EA Foods East Africa Foods is a food-tech company focusing on efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around the clock to achieve the highest distribution efficiency in the industry We are currently looking for...
  12. Jamii Opportunities

    Senior Accounts Officer at East Africa Fruits Ltd April, 2024

    About EA Foods East Africa Foods is a food-tech company focusing on efficient distribution of foods from farm to market. It has an extensive operations and logistics team that works around the clock to achieve the highest distribution efficiency in the industry We are currently looking for...
  13. Mr Chromium

    Je, Ethiopia kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki kutaharibu au kuimarisha jumuiya hiyo?

    Ethiopia inataka kujiunga na EAC? Nini madhara na faida? Je Tanzania na Kenya zitakua bado na sauti ndani ya EAC au ndio mvurugano utaongezeka?
  14. maroon7

    East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

    Hivi kweli media inayojielewa inaweza kupost mada kama hii kwenye kipindi hiki cha msiba? Mkimaanisha nini?
  15. Ricky Blair

    Tafakari ya German East Africa

    Hebu tafakari kama German East Africa ingepata uhuru pamoja bila Rwanda Na Burundi kumegwa na Belgium baada ya ujerumani kushindwa vita vya kwanza vya Dunia; Ingewezekana kama tungepata uhuru kutoka kwa Ujerumani au hata kama kwa Uingereza ingewezekana tusingeungana na Zanzibar na muhimu zaidi...
  16. F

    Zifuatazo ni nchi zilizokubuhu katika unywaji wa pombe Afrika; angalia nafasi ya Tanzania, East African Community yatia fora

    Below are African countries with the highest beer consumption per capita: Rank Country Beer Consumption per capita Global Rank 1 Namibia 95.5 L 6 2 Gabon 67 L 25 3 South Africa 60.1 L 28 4 Democratic Republic of the Congo 54.8 L 35 5 Kenya 12 L 52 6 Tanzania 8 L 57 7 Uganda 6 L 58
  17. D

    M23 wailaumu TPDF kutumia silaha nzito za kivita kulinda amani DRC

    TPDF inapeleka kisago(sio kipigo) cha mbwa koko huko DRC Vijana wa M23 eti wanaonya JW kuendelea kuwashambulia itajilaumu baadae wameitaka iache mara moja vinginevyo itapigwa.
  18. R

    East Africa Union tarrifs

    East Africa Union Tarrifs ni makubaliano nadani ya nchi za Afrika Mashariki kwenye issue ya mipaka na ulipaji wa kodi za uingizaji bidhaa. Kwa maoni yangu hii sheria ina mapungufu mengi sana japo watu wengi hawajui. Harmonised System Codes (HS Codes) zinazotumia kwenye kwenye mipaka (Customs)...
  19. BUSH BIN LADEN

    Neno "kimoja cha nguruwe" lafanya kipindi cha Kipenga Extra East Africa Tv kifutwe mchana huu

    Wakuu habari za mchana? Nikiwa nime tune tv kufuatilia kipindi changu pendwa cha sports cha kipenga extra ni shtushwa na neno Kimoja cha nguruwe likitamkwa na mgeni Mjata Mjata shabiki kindaki ndaki wa Makolo wakiwa wanaongolea matokeo ya Man United. Naona imebidi kipindi kifutwe kabisa saizi...
Back
Top Bottom