Ametulia sana tofauti na wengine wengi. Anaonekana kujali sana maslahi ya Wazanzibar na yupo smart kupata anachotaka kwa ajili ya watu wake.
Siku tukipata Rais wa namna hii ambaye atatanguliza Tanzania mbele tutafika mbali sana.
Ingekuwa si Mzanzibar ningesema 2025 aje agombee huku lakini...
This may be the final design.
Source
Paul Oburu, Aspera’s Design Director was invited to provide a design proposal for a 60 storey plus tower on a plot in Upper hill, Nairobi. The client’s brief required an iconic and high-end, striking design that would be the tallest building in Nairobi. The...
Hiyo ndiyo habari ya kiuchunguzi inayosambaa Duniani kwa kasi mno!
Mapolisi elfu 2 ya Kenya ni mehu/machizi.
====
Mkuu wa huduma ya kitaifa ya Polisi nchini Kenya, Inspekta Jenerali Hilary Mutyambai amesema takriban maafisa 2,000 wa Polisi nchini humo hawana uwezo wa kiakili kufanya kazi yao...
Okay you'll have seen that tweet from Nigeria about Zanzibar chiq who almost got raped.
I was on her side until them Nigerians started tweeting nonsense about Swahili, Kenya and Tanzania!
Tourism and Wildlife secretary Najib Balala said the reopening of the rink will be a boost to ice-skating games, after Ice Lions, Kenya's only ice hockey team, hit global headlines two years ago. PHOTO | COURTESY
Panari Nairobi has reopened its ice rink after two years, the only one in East...
Msanii wa kimataifa Rayvanny anaeiwakilisha Tanzania kwenye matamasha makubwa ya kimataifa kwa sasa.
Ameendelea kuonyesha nguvu yake kubwa ya kuuza muziki wake mtandaoni baada ya kufikisha streams million 100 kwenye mtandao wa boomplay.
Anakuwa msanii wa kwanza East Africa kufikisha idadi hiyo...
Kati ya hawa malegend nani alikuwa mkali wa sauti tamu?
Celine Dion
Whitney Houston ( Rip)
Mariah Carey
Mimi naondoka na Celine Dion huyu mwana mama alikuwa ni shida, moja kati ya nyimbo zake kali ninazozipenda.
Love doesn't ask why
A new day has come
Tiririka hapa ni nani ulikuwa...
EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community.
H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State.
===
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya...
africa
afrika
afrika mashariki
community
congo
drc
eastafricaeastafrica community
history
jamhuri
jumuiya
jumuiya ya afrika mashariki
kidemokrasia
kongo
made
mashariki
member
new
Kenya has connected approximately 8.6 million households to electricity as of December 2021, up from 7.3 million in January 2020, the energy regulator said on Thursday.
Daniel Kiptoo, director general, Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) told journalists that Kenya is the only...
How do you find it guys!!?
Mi binafsi nakubaliiii.
Haappy New yearrr to u alll. Love U
===
Zuchu Mwanamuziki anayechipuka , ukuaji wake umekuwa wa kushangaza.
Mwanamuziki huyu huimba kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza na ana sifa za muziki wa Tanzania aina ya Bongo Fleva.
Mwaka uliopita...
Kampuni ya Marekani inayojishughulisha na ufuaji wa umeme wa upepo iliyopigiwa debe mwaka 2013 na Rais Obama ili ije kufua umeme wa upepo kule Singida huenda ikapewa tenda hiyo mapema mwishoni mwa mwaka huu ama mapema mwakani.
Ikumbukwe ndugu Rashid Shamte ambaye ni boss wa hiyo kampuni hapa...
Habari!
Jina langu ni |I| |I |I |I |I
Mimi ni Mwanamume.
SINA UMRi, wakati mwingine Mimi ni Kijana na wakati mwingine naweza kuwa mzee, kwa hivyo mtanivumilia kwa mawazo yanayokinzana Kiumri nitakayokuwa natoa humu.
Kwa muda sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa thread mbalimbali humu JamiiForums...
Binadamu wa kwanza aliishi yapata miaka milioni tatu iliyopita, fuvu lake liligunduliwa huko oldvai George na mwana akiolojia Dr Leakey akiwa na mke wake Mary Leakey.
Mwanzo Adam na Eva waliishi ktk bustani ya Eden, baada ya kula tunda wakafukuzwa wakaambiwa waishi nje ya bustani ya Eden...
Nimezima na redio kabisa kuna jamaa anasema manara ndiye aliyeifanya simba kuwa kubwa na kwa sasa hamna kitu sababu mashabiki wengi wamemfata utopoloni.
Hivi ile sheria ya kuwa na chetti kwa hawa watangazaji inaanza lini jamani
Kipindi kinaitwa kipenga xtra zengwe, kama walevi vile
Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
The list of top 25 Banks in Africa have just been released and East Africa is only represented by Kenya. Without Kenya, East African region would not appear in most rankings in Africa. The first bank from East Africa to appear was KCB at number 20 with a market cap of $1,317M, the second bank is...
Tanzania leads East Africa in FDI .
East Africa, Foreign Direct Investment in 2020.
Tanzania 1.1 Billion $
Uganda 823 Million $
Kenya 717 Million $
Rwanda 135 Million. $
Source : The United Nations Conference on Trade and Development (UNCTDA).