east africa

  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Usd 1 sawa lita 40 petrol.Tujadiliane kama East Africa

    Nchi za East africa zingekuwa na akili mpaka ile Sudani ya Kaskazini nayo kuwa na mafuta .Umoja huu ungekuwa nchi zenye nguvu na matajiri wa kutisha kwa kila rasilimali. Leo Libya iliyochukua miaka 15 vita inaanza kuwa Dubai mpya ya watu wenye kujiwekea maisha mazuri na nguvu kubwa 2026.
  2. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Josee Chameleon: The Very Best of East Africa

    MILENIA ya tatu ilikuwa inausabahi ulimwengu. Ni mwanzo wa Karne ya 21, hii ni kwa mujibu wa Gregorian Calendar. Mwaka ni 2000, Joseph Kibweteere alishazingua kinoma Uganda, alisababisha vifo vya watu 778. Kipindi hichohicho, Joseph mwingine alikuwa Kenya akitengeneza heshima ya Uganda. Ndani...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Walichofanyiwa YouTube na Duck Duck Go ni majanga balaa

    Hatimaye imewezekana bhana! program ya DuckDuck Go Sasa inaweza kuzuia Matangazo Ya YouTube bila kutumia Extension yoyote kama ilivyo Ublock origin. Ukifungua YouTube kupitia DuckDuckGo Browser, unaweza kutazama video nyingi bila matangazo ya kuudhi yanayokatiza kila dakika. Bila kuhitaji...
  4. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Nchi gani hapa Afrika Mashariki ni bora kwa kuanzisha maisha?

    Wakuu Niko serious naomba nielekezwe Kwa wale ambayo wamefanikiwa kutembea nchi mbalimbali, nilifanikiwa kufika Nairobi miaka Fulani nyuma, lakini lifestyle Yao sikuipenda ni nchi ambayo vurugu na Fujo ziko juu sana, kiasi kwamba mbeleni wanaweza kuwa kama AFRICA KUSINI TU, Nimefikiria hovyo...
  5. Stability

    JamiiForums Tanzania Bien wa Kenya amekuwa mfalme wa East Africa karibia 6 mfululizo, tatizo ni kuwa vijana wa Nasib na genge lenu ni wabishi mno

    Bien kutoka Kenya ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa Afrika Mashariki kwa kutawala kwa takriban miaka sita mfululizo. Tatizo ni kwamba baadhi ya mashabiki wa Nasibu Abdul (Diamond Platnumz) na kundi lenu bado ni wabishi kukubali ukweli huo licha ya mafanikio yanayoonekana wazi.
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tanzania: United for Peace & Sovereignty

    Tanzanians are united in defending their country’s dignity, sovereignty, and peace. External campaigns built on misinformation will never define Tanzania’s identity or future
  7. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Joshua Baraka anaweza kuja kuwa Tishio East Africa endapo atajipanga vizuri

    Hapa Afrika Mashariki watu wengi uangalia skendo na vitu visivyokuwa na umuhimu hili kumuweka mtu pale kileleni. Diamond Platinumz ni msanii mkubwa tu Afrika Mashariki, lakini soko la dunia la muziki limekuwa likimsumbua sana na ujikuta akitumia nguvu sana kufanya collaboration na A-list wa...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Why Is Event Planning in East Africa Still So Stressful? 🤔💍

    One thing many people in East Africa can agree on is this: Planning weddings and events is exciting… until the stress begins. From managing guest lists on WhatsApp, chasing RSVPs manually, tracking budgets in notebooks or Excel sheets, coordinating vendors through calls, and sending updates...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Katika so called Marais wa East Africa, nani Dictator katili kuliko wote

    Nauliza tu. Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda, Kenya, Zanzibar, Wote ni madikiteita, Nani katili kuliko wote
  10. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Dangote ana dola bilioni 45 zinasuburi kuwekezwa kwenye LNG plant Nigeria na refinery East Africa. 2030 miradi hiyo itakuwa tayari.

    Msikilize mwenyewe. https://youtube.com/watch?v=jVs4NBoHZic&si=JzFKdd-vhBYoxp9O
  11. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania rita hongera kuifanya BSS kuwa east africa wise ila ingefaa ionekane DSTV maana inatazamwa Africa nzima, hapo azam ni watalaam wa etugru uswahilini

    Kura zingepigwa fairly na squarely kutoka kwa wana EA kila mahalai ila hii ya azam kura zitaishia kulimbikizwa kwa wabongo hata kama hawajui.
  12. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Plans to Commit Public Funds to Dangote-Linked Ksh2.58 Trillion East Africa Oil Refinery

    Kenya is weighing the use of public funds, including pension savings, to help finance a proposed East Africa oil refinery backed by Nigerian billionaire Aliko Dangote, as the project shifts from Tanzania's Tanga port to Mombasa as the preferred site. Dangote told the Financial Times he favours...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Samia: Tuhakikishe East Africa inasimama tunavyotaka sisi na sio wanaotaka wale

    Rais Samia amesema Tuhakikishe East Africa inasimama tunavyotaka sisi na sio wanaotaka wale tunamengi yakufanya East Africa Community ni Community kubwa ya kiuchumi inajilewa, inayoweza kusimama yenyewe Tuna mengi ya kufanya. Soma Pia: Samia: Neno “Demokrasi” lisituchafulie nchi zetu, mila na...
  14. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kikubwa cha Dangote Cha kusafisha mafuta Kujengwa East Africa.

    Bilionea Aliko Dangote ametangaza mpango wake wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) Afrika Mashariki.Tanga, Tanzania Akizungumza katika mkutano wa Africa We Build Summit 2026 uliofanyika Nairobi siku ya Alhamisi, Dangote alisema kuwa kiwanda kinachopendekezwa kitakuwa na uwezo wa...
  15. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Huu mpango wa Dangote kujenga refinery East Africa umekaaje?

  16. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais William Ruto vs Tanzania: Vita ya Barabara na Fuel Yachacha East Africa!

    Mambo imechemka East Africa baada ya William Ruto kulinganisha Kenya na majirani wake kuhusu barabara na bei ya mafuta. Akiongea church service April 19, Ruto alisema Kenya iko na about 20,000km za tarmac roads akidai ni zaidi ya nchi zingine zote za East Africa combined. Lakini serikali ya...
  17. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Bobi Wine will be live on various platforms in Boston come 18/April

    A special invitation to all Diaspora members. H.E. Robert Kyagulanyi Ssentamu (@HEBobiwine) will be Live in Boston Zoom: zoom.us/j/4643499663 Space : x.com/i/spaces/1rkzz… @DiasporNup TikTok: vm.tiktok.com/ZSH5QEED4/ Date: 18th April 2026. To meet the general public and engage with you...
  18. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania AFCON 2027 Dates Zimetoka! East Africa Bado Nyuma Kwa Maandalizi?

    Wadau, sasa ni official! Africa Cup of Nations 2027 itachezwa June 19 hadi July 18, 2027. Hii ni big win kwa Kenya, Uganda na Tanzania kushirikiana ku-host! Lakini swali kubwa ni: tuko ready kweli? Reports zinaonyesha stadiums kama Kasarani na Talanta bado hazijakamilika, na hata training...
  19. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda President Bobi Wine’s Full Message At Geneva Summit 2026

    Ugandans at large are so grateful for President Bobi Wine’s message he shared to the world at the Geneva Summit 2026, and that's really the reality in Uganda 🇺🇬 👆🏿 👆🏿 👆🏿 Please Watch and kindly share the video above to the rest of the world, in so doing, you've taken part of the struggle and...
  20. Yesha

    JamiiForums Tanzania The president of South Sudan in East Africa.

    This is Salva Kiir Mayardit, the president of South Sudan in East Africa. The nation’s future largely depends on his leadership. It’s clearer now why numerous African countries face deep challenges. Future generations may question how our continent allowed such leadership failures and...
Back
Top Bottom