mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,223
- 4,679
Televisheni ya Citizen ya Kenya imeripoti kuwa Mama Samia ametoa maelekezo wafungwa 23 wa kisiasa waachiwe huru.
Je, Tanzania tuna wafungwa wa kisiasa?
Ni kina nani hao wafungwa wa kisiasa anaowazungumzia Mama Samia?
Au Citizen wanamchafua rais wetu?
=====
Serikali ya Tanzania yakanusha kuwa na Wafungwa wa Kisiasa. Serikali imesema rais hawezi kuingilia uhuru wa Mahakama.
Zaidi soma: News Alert: - Dar: Serikali yakanusha kuachia Wafungwa wa Kisiasa, yasema Tanzania haina mfungwa wa kisiasa
Je, Tanzania tuna wafungwa wa kisiasa?
Ni kina nani hao wafungwa wa kisiasa anaowazungumzia Mama Samia?
Au Citizen wanamchafua rais wetu?
=====
Serikali ya Tanzania yakanusha kuwa na Wafungwa wa Kisiasa. Serikali imesema rais hawezi kuingilia uhuru wa Mahakama.
Zaidi soma: News Alert: - Dar: Serikali yakanusha kuachia Wafungwa wa Kisiasa, yasema Tanzania haina mfungwa wa kisiasa