Search results

  1. Memento

    Waziri Makamba hiki unachofanya sio sawa. Umaskini uliopo unatisha

    Waziri Makamba amekuja na kampeni ya kutembelea vijijini na kuhimiza matumizi ya gas na umeme badala ya kuni. Waziri makamba ni kweli hajui hali waliyonayo wanakijiji huko? Kwa data za world bank(benki ya dunia) watanzania milioni 27.6 ni maskini Sana. Watu milioni 27.6 ni nusu ya watanzania...
  2. Memento

    Nauli ya Meli kutoka Mwanza - Bukoba yapanda

    Nauli kutoka Mwanza kwenda Bukoba au kutoka bukoba kwenda mwanza imepanda na itaanza kutumika jumatatu ya tarehe 4 July mwaka huu. Daraja la chini ilikuwa 16000, itakuwa 21000 Daraja la Kati ilikuwa 30000, itakuwa 40000 Daraja la Juu ilikuwa 45000, itakuwa 55000 Naipongeza sana Serikali...
  3. Memento

    Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

    Rais Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali, na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF). Kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni na Mafunzo katika Makao Makuu ya Jeshi. ==== RAIS, Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja...
  4. Memento

    Bei ya Umeme yapanda. Naipongeza Serikali kwa kuliona hili bei ilikuwa ndogo sana

    Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu. Pia hii sh. 357 ni ndogo sana, Serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili...
  5. Memento

    Maandamano ya kumpongeza Rais Samia Dodoma leo Juni 4, 2022

    Kuna maandamo ya Kumpongeza Raisi leo Dodoma yaliyoratibiwa na mkuu wa mkoa. Mabango ya kila aina yenye picha kubwa za Raisi, wasanii na vijana waliopewa t-shirt zenye picha ya raisi. Naona ujumbe wa katibu mkuu wa chama ulifika vizuri. Kuna siku tunafikiria tuwe kama Europe? Lakini hataa hapa...
  6. Memento

    Wizara kuchapisha picha ya Rais nakala 12,794. Bado tuna tatizo la vipaumbele

    Leo waziri wa habari Napa wakati akisoma bajeti ya wizara amesema wizara imetenga bajeti ya kuchapisha picha ya raisi nakala 12794. Si Jambo baya Ila kwa wakati huu sjo sahihi, serikali mara kadhaa imekiri kuwa mambo bado na Kuna baadhi ya sehemu wananchi wamekua walichangia baadhi ya miradi...
  7. Memento

    Mawaziri sasa hivi na kauli ya "Tangu Uhuru haijawahi kutokea" -- hii ni njia ya kuwa karibu zaidi na Rais?

    Leo huko kwenye mkutano wa raisi naona kila waziri anasema eneo lake ila kila baada ya sentensi wanamshukuru raisi kwa kibwagizo Cha tokea Uhuru haijawahi kutokea. Huwa mara zote najiuliza raisi anakubaliana na hizi? Sasa kwa Tanzania ya leo yenye wananchi zaidi ya mil 60 bajeti itakuwaje sawa...
  8. Memento

    Akihojiwa Azam Tv Raisi Samia Asema bado tupo uchumi wa Kati wa chini - hatujashushwa

    Leo muda huu Kuna mahojiano ya Raisi Samia na mtangazaji Tido mhando. Raisi ameulizwa swali kuhusu kushushwa uchumi wa Kati wa chini, na amesema bado tupo uchumi wa Kati wa chini. Ila nakumbuka alisema tumeshushwa, ukawa mjadala.
  9. Memento

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

    Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258 Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022 Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita. Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...
  10. Memento

    Salamu ya Rais Samia alipokuwa Marekani na baada ya kuja Tanzania

    Kuna kitu kidogo nimeona kama hakipo sawa au ndio sielewi. Mama Samia akiwa Marekani alikuwa akisalimiana na viongozi wa huko kwa kushikana mikono(picha namba 1,2,3) , Ila le baada ya kuja Tanzania leo hawakushikana mikono na viongozi wa hapa makamu wa raisi, waziri mkuu na makamu mwenyekiti wa...
  11. Memento

    Waziri Nape kuzunguka nchi nzima kwa helikopta kuhamasisha zoezi la anuani ya makazi. Viongozi wetu kuna shida mahali

    Waziri Nape ameanza ziara nchi nzima kwa kutumia helikopta kuhamasisha zoezi la anuani ya makazi. Sio jambo baya ila linafanywa kwa wakati ambao sio sahihi. Kwa nini? Kwa sababu hili zoezi linafanyika na watu hawana tatizo nalo, shida kubwa ni pesa tu za kuwalipa wanaofanya zoezi ndio tatizo...
  12. Memento

    Serikali kupitia BOT imepunguza riba kwenye hati fungani(treasury bonds). Ni mara ya kwanza, shida ipo mahali

    Serikali kupitia BOT imepunguza riba ya hati fungani. Leo la hii huwa ni kudiscourage watu kununua sana hizi bonds. Ili watu wabaki na pesa, lakini kwa kipindi hiki Cha hyper inflation ni hatari kwa kuwa itaongeza zaidi Inflation. Kabla na baada 2 yrs ilikua 7.82 na Sasa ni 7.6 5 yrs ilikua...
  13. Memento

    Kariakoo: Mama mfanyabiashara ndogondogo adaiwa kuvua nguo na kumpaka kinyesi mgambo

    Hii bongo kuna matukio yanatokea unabaki mdomo wazi tu. Jana Kariakoo mgambo walikuwa wakifukuza wale wamama wafanyabiashara ndogondogo Kariakoo. Basi bwana wakafika kwa mama mmoja hivi baada ya kummwagia vitu yule mama akapandisha mori na kuanza kuvua nguo hadharani, mara ghafla akanya. Baada...
  14. Memento

    Jiji la Dodoma kuwaomba wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi (postcode) haijakaa sawa

    Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike. Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode). Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi...
  15. Memento

    CHADEMA wanaongoza sana siasa za Tanzania, leo mkutano wa TCD umepoa

    Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake. Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana...
  16. Memento

    CAG mwaka huu umetudhulumu wananchi, ule utaratibu wa mwaka jana ulipaswa kuendelea

    Binafsi nilipenda sana utaratibu wa uwasilishaji wa report ya CAG kwa mwaka jana mwezi wa 4. Aliwasilisha report na baada ya siku mbili aliita waandishi wa habari ikafanyika press ya kuchambua report yote ya CAG na nchi nzima walikua wanaelewa nini kilitokea kwa serikali yao. Utaratibu ule...
  17. Memento

    NHC Morocco square kuanza kuuzwa, vijana tuchangamkie tujipatie nyumba kwa bei nafuu

    Mradi wa NHC Morocco square utaanza kuuza nyumba, hivyo ni fursa kwa vijana tuwahi nyumba hapo kwa Bei nafuu Sana. Nyumba ya vyumba vitatu ya bei ya chini sana ni Mil 592. Msije kusema baadae zimeisha Mara hatukujua, changamkia fursa hiyo. Wale watumishi wa serikali chukueni mkopo fasta...
  18. Memento

    CCM mbona wana hofu sana na uchaguzi wa 2025?

    Mara nyingi sana nimeona hii hofu na imekua ikionyeshwa sasa hadharani. Leo wote wanazungumzia 2025, na jinsi walivyojipanga na wanavyotakiwa kuendelea kujipanga. Binafsi bado sioni sana kama kuna ushindani mkubwa kihivyo hadi kuhofu 2025, maana Kuna mambo yakitokea hapo nyuma yalidhoofisha...
  19. Memento

    Philip Mangula ang'atuka nafasi ya Umakamu Mwenyekiti CCM Taifa. Abdulrahman Kinana apendekezwa na Halmashauri Kuu kuchukua nafasi yake

    Mangula ameachia nafasi ya umakamu mwenyekiti CCM, kaona isiwe tabu. Ila hii Ni Mara ya Pili mzee anawekwa pembeni, sijajua ana tatizo gani na wenzio huko. Nafasi imechukuliwa na Kinana Membe karudishwa CCM === Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo...
  20. Memento

    Kuna Wakuu wa Mikoa na kuna Amos Makalla. Rais Samia anapaswa kujiuliza mambo mengi

    Rais anapoteua wasaidizi, hateui wawe kazi yao kumsifia na kumpamba kupitiliza. Bali huwateua kwa lengo la kumsaidia kazi na kuleta maendeleo. Amos Makalla kwa muda mrefu amekuwa akitumia nguvu na sifa kwa Rais na pengine hata Rais mwenyewe hafurahishwi na hilo Ila tu hawezi kusema. Ili Rais...
Back
Top Bottom