Nauli ya Meli kutoka Mwanza - Bukoba yapanda

Nauli ya Meli kutoka Mwanza - Bukoba yapanda

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,417
Reaction score
10,018
Nauli kutoka Mwanza kwenda Bukoba au kutoka bukoba kwenda mwanza imepanda na itaanza kutumika jumatatu ya tarehe 4 July mwaka huu.

Daraja la chini ilikuwa 16000, itakuwa 21000
Daraja la Kati ilikuwa 30000, itakuwa 40000
Daraja la Juu ilikuwa 45000, itakuwa 55000

Naipongeza sana Serikali kupandisha nauli hizi, kwa kuwa gharama za uendeshaji zimepanda sana lakini pia hizi nauli bado ni ndogo sana nashauri Serikali iongeze nauli mara mbili ya hizi zilizopanda 21000 iwe 44000, 40000 iwe 80000, na 55000 iwe 110000.

Screenshot_20220701-213709_1.jpg
Screenshot_20220701-213722_1.jpg
 
Zipande tu kama Mwendazake alikuta sukari 1500 akaipeleka 3000 acha wacheze tu... kwanza ongezeko sio kubwa wasoweza wapige mbizi in KAYAFA'S voice.
Ni ndogo sana zipande zaidi ya hapo
 
Kwani nauli ya basi kutoka Dar mpaka Bukoba ni kiasi gani? Inakuaje nauli ya kusafiri kwa Meli kutoka Mwanza kwenda Bukoba iwe kubwa zaidi - wakati umbali hauzidi 300 Kms!!!
 
Kwani nauli ya basi kutoka Dar mpaka Bukoba ni kiasi gani? Inakuaje nauli ya kusafiri kwa Meli kutoka Mwanza kwenda Bukoba iwe kubwa zaidi - wakati umbali hauzidi 300 Kms!!!
Na Meli inatumia dizeli kama basi na inakata short kati! Tunahitaji udadavuzi wa teknikali na uchumi kuelewa sababu.
Karibu sana kwa ufafanuzi!
 
Nauli kutoka Mwanza kwenda Bukoba au kutoka bukoba kwenda mwanza imepanda na itaanza kutumika jumatatu ya tarehe 4 July mwaka huu.

Daraja la chini ilikuwa 16000, itakua 21000
Daraja la Kati ilikua 30000, itakua 40000
Daraja la Juu ilikua 45000, itakua 55000

Naipongeza sana serikali kupandisha nauli hizi, kwa kuwa gharama za uendeshaji zimepanda sana lakini pia hizi nauli bado ni ndogo sana nashauri serikali iongeze nauli mara mbili ya hizi zilizopanda 21000 iwe 44000, 40000 iwe 80000, na 55000 iwe 110000.

View attachment 2278571View attachment 2278572
Nauli ya Bus ni sh ngapi Bukoba - Mwanza?
 
Nauli kutoka Mwanza kwenda Bukoba au kutoka bukoba kwenda mwanza imepanda na itaanza kutumika jumatatu ya tarehe 4 July mwaka huu.

Daraja la chini ilikuwa 16000, itakua 21000
Daraja la Kati ilikua 30000, itakua 40000
Daraja la Juu ilikua 45000, itakua 55000

Naipongeza sana serikali kupandisha nauli hizi, kwa kuwa gharama za uendeshaji zimepanda sana lakini pia hizi nauli bado ni ndogo sana nashauri serikali iongeze nauli mara mbili ya hizi zilizopanda 21000 iwe 44000, 40000 iwe 80000, na 55000 iwe 110000.

View attachment 2278571View attachment 2278572
Mama anaupiga mwingi sana!
Mi-5 tena🙄
 
Na Meli inatumia dizeli kama basi na inakataa short kati! Tunahitaji udadavuzi wa teknikali na uchumi kuelewa sababu.
Karibu sana kwa ufafanuzi!
Meli ya MV Victoria ilikarabatiwa kwa fedha nyingi sana takribani shs billion tatu. Chakushangaza ngazi ya mlango wa daraja la kwanza iliharibika miezi michache tu baada ya Meli hiyo kuanza huduma,tangu wakati huo mpaka ninavyoandika leo wameshindwa kurekebisha tatizo hilo na kupelelkea msongamano wakati wa ku board na wakati wa kutoka ,kwani abiria wanalazimika kupitia mlango wa daraja la pili na hili limekuwa ni tatizo la muda mrefu pamoja na maoni ya abiria kwa uongozi hasa kipindi kile cha COVID.
Sasa kama wameamua kupandisha nauli walitendee haki na kulipa hadhi yake daraja la kwanza kama inavyostahili.
 
Ukiwa na akili ya pimbi shida badala ya kujadili hoja iyo mezani unaweweseka na Magufuli kichwa chako kina udongo au ubongo ?
Nadhani wewe una tatizo la kutumia kichwa chako Kama mfuniko wa Shingo.
 
Back
Top Bottom