Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,965
Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.
Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).
Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.
Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei
Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.
Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).
Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.
Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei
Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.