Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Kuna kitu kidogo nimeona kama hakipo sawa au ndio sielewi.
Mama Samia akiwa Marekani alikuwa akisalimiana na viongozi wa huko kwa kushikana mikono(picha namba 1,2,3) , Ila le baada ya kuja Tanzania leo hawakushikana mikono na viongozi wa hapa makamu wa raisi, waziri mkuu na makamu mwenyekiti wa CCM badala yake wakapeana salamu za kukunja ngumi(picha namba 4,5). Sababu ni ugonwa wa corono hivyo kushikana mikono sio salama na ndio maana wamesalimia na hivyo.
Bado najiuliza Ina maana wa nje ya nchi huko wao hata ukishikana nao mikono hauwezi kupata corona?
Na pia bado mm nachanganyikiwa zaidi, Ina maana ukiwa kwenye kundi la watu flani huvai barakoa na ukiwa kwenye kundi la watu flani unapaswa kuvaa barakoa?
Mama Samia akiwa Marekani alikuwa akisalimiana na viongozi wa huko kwa kushikana mikono(picha namba 1,2,3) , Ila le baada ya kuja Tanzania leo hawakushikana mikono na viongozi wa hapa makamu wa raisi, waziri mkuu na makamu mwenyekiti wa CCM badala yake wakapeana salamu za kukunja ngumi(picha namba 4,5). Sababu ni ugonwa wa corono hivyo kushikana mikono sio salama na ndio maana wamesalimia na hivyo.
Bado najiuliza Ina maana wa nje ya nchi huko wao hata ukishikana nao mikono hauwezi kupata corona?
Na pia bado mm nachanganyikiwa zaidi, Ina maana ukiwa kwenye kundi la watu flani huvai barakoa na ukiwa kwenye kundi la watu flani unapaswa kuvaa barakoa?