Wachagga kuanzia mwaka 2027 , wamekubaliana watakuwa wanatumia majina ya kiasli yenye maana na kuachana na haya majina ya Mabeberu yasiyo na maana.
Wazazi Gen Z wamekuja na majina yasiyo na maana na mengi ya majina yamebeba laana, mfao mtu anamuita mtoto , Lyyn , Ashley , gynna, vicious, Ammy...