Happy New year family,
Japo nimechelewa kuingia kwenye website yangu pendwa ya JamiiForums leo nilivokutana nazo zilinivutia sana na zimenifanya niingie kila muda,
Kudos kwa team nzima na technicians kwa ujumla, kazi yenu ni nzuri na inapendeza,
Ningeomba kama mlipanga zikae siku moja basi iwe...
Habarini wandugu,
Naomba mwenye account ya bolt na haitumii aje pm tuongee.
Nina ndugu yangu amepata gari ila mwenyewe amegoma kuibadili plate number hivo haiwezekani kuwa na account.
Hivyo naomba ushirikiano kwa mwenye nayo iwe anakodisha au amewiwa kuitoa bure kwa muda kwa kijana.
Asante.
Huu wimbo wake alioutoa juzi unaimbwa kila mahali, hata kama huupendi utajikuta tu unausikiliza kila unapoenda,
Ukiamka unaskia jirani anaupiga
Ukitoka nje unakutana nao kwenye maduka ya barabarani
Ukipita barabarani bodaboda wanao
Ukipanda daladala unapigwa
Ukipishana na watoto wadogo...
Polisi Mkoani Mwanza wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa mitandaoni kumhusu Mbunge wa Jimbo la Nzega Vijijini na Mmiliki wa Kiwanda cha kuchakata Pamba kitwacho Mwalujo Ginery kilichopo Kijiji cha Mwalujo, Wilaya ya Kwimba, Hamisi Kingwangala kudaiwa kumpiga risasi Mlinzi wake Jumanne...
Wafanyabiashara wa mbogamboga Soko la Ilala wamelia kupata hasara baada ya gari iliyokuwa imebeba mizigo yao kutoka Gairo mkoani Morogoro kukamatwa nje ya soko hilo.
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara hao, Thomas Hezron amesema gari hiyo ilikamatwa na mawakala wa vipimo kwa mazao ya shamba mkoa wa...
Ikitokea huna kazi sasa hivi au njia yako ya kipato kama biashara imekwama ghafla unaweza kuishi muda gani bila kumtegemea mtu yoyote.
Kubadili lifestyle au kuhamisha watoto shule unaweza kumudu?
Binafsi bado sijajipata na siwezi kumaliza wiki moja.
Kijana wenu hapa nafungua movie library ya kisasa, kudownload movie zote itakua time consuming, mwenye ana collection ya movie kali zote za 2020 to 2022 aliyepo mwanza tunaweza punguziana nikakupa ela kidogo ya wi fi.
Nilitembea na girlfriend wangu siku ya 14 akameza dawa baada ya masaa 24 means jioni ya siku iliyofuata baada ya kulala nae na baada ya kumeza dawa that night nililala nae tena nikijua ile dawa bado inafanya kazi ila ameshika mimba.
Sasa kwa upande wangu iyo mimba sio tatizo ila nawaza huenda...
Safari ya ndege iliyotarajiwa kuwa yenye utulivu kutoka Accra Ghana kuelekea Marekani iligeuka kuwa uzoefu ambao mwanamke mmoja mjamzito kutoka Ghana hatausahau maishani mwake, pamoja na wasafiri waliokuwemo ndani ya ndege ya Marekani United Airlines chapa UA 977.
Mwanamke mjamzito alipata...
Most people assume that blood is involved in HIV testing. But with OraQuick an oral swab is used for testing and requires no blood. By collecting oral fluid from your gums, you collect fluid similar to that used in blood testing.
So the OraQuick Test detects antibodies for HIV, not the virus...
Hamjambo huko Daslam.
Huyu Kunenge ametulia sana hana makeke kama mtu mbadi Bashite, ilikua ukiamka utasikia watu wapimwe tezi dume, hujakaa sawa watu wafute porn kwenye simu, hujakaa sawa utasikia wanawake wote njooni ofisi ya mkuu wa mkoa.
Ukiamka utaskia press conference utamkuta anaongelea...
Jana nimeamua kumuandikia mrembo ninayemzimkia kitambo barua iliyokuwa na maudhui ya kumtongoza.
Hopefully ata enjoy maana siku hizi hamna vitu kama hivyo nadhani.
Barua yangu ilikua ya muundo wa kirafiki aliyotufundisha Mwalimu Ndeanga darasa la sita kipindi hichoooo.
Au mnaonaje wananchi...
Ningependekeza tuwa-suprise Magu na Lissu tumpe kura zote Hashim Rungwe kutoka CHAUMA.
Pia nahisi tutazi-suprise media pamoja na mabeberu[emoji28][emoji28].
Au mnaonaje wananchi.
Kwenye jamii ya leo kumekua na mila mbalimbali ambazo zimekuwa zikifanywa na wazee wetu ila ujio wa dini umefanya tuzisahau. Je, mambo kama haya yapo au umeshawahi kushuhudia?
Nitaweka hapa visa vichache ambavyo nimeshawahi kusimuliwa na kushuhudia jinsi mila zinavyofanya kazi hata sasa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.