Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,235
- 3,194
Sio umoja wa wanawake tzUWT ni nn?
mamluki hawa utawajua tu
Hahaha alifeli sana, dah, ahhahahahaSio umoja wa wanawake tz
Huyo mzee tangu yupo kijana ni Ccm lazima ataje Umoja wa Wanawake wa Ccm😁😁 anajiamini hasomi kama mroto wa Mwinyi wa Znz kila saa anamtaja Magufuli.Kwamba hasomi alichokishika
Hivi UWT ni ya ccm pekee? Hao ACT hawana UWT?
😁😁😁 mamluki hawa utawajua tu
Ha ha!
Huyu jamaa mi napata shida na body language yake haswa akiwa anahojiwa na vyombo vya habari!!.
Hamna kitu hapo japo act wanasema wameokota lkn naona wameokotwa..
ACT nilimpendaga mama anna mgwira tu hawa wengine neyo gete..
Ha ha! Mkuu usinivishe joho nisiloliweza huyu mama nilimpenda wakati wa kampeni 2015 alivyokuwa akigombea urais kwa tiketi ya ACT binafsi alikuwa anajibu hoja vizuri hicho ndo kilifanya nimpende fatilia midaharo mwaka 2015.. usiwe mwepesi kuvika mtu joho kiivyo we kalili hai kina polepole wako.Kwa hakika ukiacha kumpenda yule mama hasa alipokuwa anahamia CCM si utakuwa na case ya kujibu kwa pole pole?