movies

  1. officiall_ronny

    JamiiForums Tanzania Sites za Movies Bure Zipo Wapi?

    Anaejua sehemu ambayo tutaweza kuangalia hii muvi free tujulishane
  2. Koloko

    JamiiForums Tanzania Great 100 action movies to watch this weekend.

    Great 100 action movies to watch this weekend. 1. Mad Max: Fury Road (2015) 2. John Wick (2014) 3. Die Hard (1988) 4. The Dark Knight (2008) 5. Gladiator (2000) 6. The Matrix (1999) 7. Inception (2010) 8. Léon: The Professional (1994) 9. Kill Bill: Vol. 1 (2003) 10. Kill Bill: Vol. 2...
  3. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni brand ya syrup nzuri ya kikohozi kikavu

    Nimepata kikohozi pale mafua yalpoisha. Nisaidieni wakuu.
  4. Mtoto wa nzi

    JamiiForums Tanzania Application nzuri ya kufownload movies free kwenye Computer/Laptop

    Habari wadau. Nilikuwa natumia hii moviebox ..... Sasa naona hakuna option ya kufownload yaani ni shida. Msaada tafadhali app nzuri... Isiyotumia torrents.... Asante.
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Saddest movies I've ever seen. What’s yours?

    Kama fan mkubwa sana wa movies, sometimes inabidi kuangalia genre nyingine out of my favorite genres Napenda action na horror ila sometimes naangalia genre nyingine na ninaenjoy just fine Kuna movie niliangalia tu just for fun nikajikuta zinaniacha na huzuni. Ndio hapa naona wamarekani wako...
  6. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Weekend movies suggestion za comedy. Dondosha chini hapa👇👇, kila moja utakayonipa nitakusugestia mbili nizijuazo

    Iwe dark humour, iwe action comedy, Iwe comedy drama, we angusha.
  7. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Nchi zetu zinataka tutumie internet kuangalia games, mpira, pornography, movies na mambo kama hayo. Ukigusa sensitive issues hawataki kabisa

    Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni kwamba aidha watake au wasitake hawawezi kupambana na teknolojia. Mwanzo walianzaga hivihivi, wakaanza...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Behind the scenes: Jinsi vishindo vizito movie za ngumi vinavyorekodiwa

  9. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nilijiona mbabe wa kuangalia Horror movies, ila haya yamenishinda

    Mtoto anakimbia na mama yake anapigwa shaba anakufa taratibu huku anaona analia mama amka..? Kijana anakufa taratibu wakati utumbo wote umemwagika nnje?? Watoto wanalia mamayao kafuatwa hadi ndani kapigwa shaba wanalia juu ya damu iliomwagika??? KWASASA SITOANGALIA VIDEO NYINGINE KWA...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnisaidie application ya kudownload movies

    Wakuu naombeni mnisaidie application yoyote ile ambayo naweza kudownload movies maana kuna movie au tamthliya naitafuta inaitwa orphan of a nation so nataka niidownload aisee
  11. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Wiki hii tafuta muvi hizi 6 za kutisha (SCARY MOVIES) ili wikiendi uziangalie na hautojuta

    1: Devil's advocate Kijana mwanasheria machachali kutoka mji mdogo ana kuwa recruited kwenda kwenye law firm ya kitajiri na anapewa kila kitu ambacho hata aliowakuta hawakuwahi kupewa, lakini anakuja kugundua aliajiriwa na shetani kutetea wafanya makosa ya hatari, kinachofata ni sokomoko. 2...
  12. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Wikiendi hii chukua muda wa kuangalia hizi SPY MOVIES 6 na hautojutia

    1: THE GOOD SHEPHERD Mwamba anachukuliwq kutoka chuo ili kuwa sehemu ya CIA, anaanzia kazi nyumbani kugundua maspy wa kinazi marekani hadi kupelekwa ujerumani kupambana na maspy wa kirusi. Jamaa ni mtiifu kwa CIA hadi ilifikiwa wakati alimuua mchumba wa mtoto wake baada ya kugundua ni spy...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Movies na series Kali za Kijasusi: Chukua mbili hizi kisha shusha zingine

    Ijumaa Kareem! Kwa wapenzi wa action Movies series za kijasusi basi tafuta hizi kama haujawahi kuziona; 1. The Night Agent 2. The day of Jackal 3. London Gang 4. Mobland 5. King of Jo'burg 6. Unseen 7. Kula vyuma hivyo alafu uje hapa! Zile mbili za juu ndio muvi za moja kwa moja za vitengo
  14. VERITE-NUE

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Movies na mipira, pitieni Canal+ online mpate kuburudika

    Unachohitaji ni Internet ya uhakika: Kwa watumiaji wa android au smart TV, ingia PlayStore, download Lokke. Ukimaliza, ifungue. Kwenye search, andika vavoo.to Baada ya hapo, channels kibao zitakuja, endelea kumove. Unaweza kuwa unapitia kwenye sub menu.
  15. Balawy

    JamiiForums Tanzania Collection movies library

    Habari wadau Nafungua library hivi karibuni nahitaji mtu wa kunisaidia kupata movies na baadhi ya mahitaji yanayohusika na library
  16. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni 80s na 90s kid na haukuangalia hizi movies utotoni wakati unakuwa basi labda ulikulia msituni

    1: Rambo (1, 2, 3) 2: Predator 3: Commando 4: Sarafina 5: Neria 6: Blood sport 7: Enter the dragon 8: Drunken master 9: Rocky 10: Tai chi master 11: Lion king 12: Titanic 13: Anaconda 14: Coming to america 15: Blade 16: Friday 17: Scarface 18: Terminator (1, 2) 19: Deadly prey...
  17. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa movies za Kijapan

    Ukitoa Hollywood, Japan ndiyo wanafuata kwa kutoa movies nzuri na za akili, iwe ni action, drama au animation. Na upande wa animations wanaweza kuwa wanaizidi hollywood. Na ubora wao upo toka miaka hiyo tunatawaliwa. Kama unapenda movies zao share hapa. Hii 11 Rebels ya 2024 ina story na...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia movies za Kituruki zilr za Azam utajua ugumu wa Iran kushinda vita. Waarabu huongoza kwa usaliti na unafki

    Hii ni tamaduni ya kiarabu kuongoza kwa usaliti na unafki...Ni rahisi sana Baba wa kiarabu kumzalisha mkwe wake... Ni rahisi sana kuwagombanisha familia za kiarabu kupitia mali... Ndio maana uoana wenyewe kwa wenyew kwenye familia ili tu kwa ubinafsi waliona.. Ndio maana kwenye ya kiislamu...
  19. Dominik Dominik

    JamiiForums Tanzania Ni site gani nzuri ya kudownload movies mpya?

    wakuu habari,nahitaji kujua site nayoweza kupakua muvie za hollywood,kihindi,kichina nk hata kwa kulipia. kuna moja huwa naisikia "Netflix"vp ipoje,ina udhaifu gan?
Back
Top Bottom