Search results

  1. Jicho la Tai

    Kuna shida kubwa Bandarini, Serikali ipo kimya!

    Je Hii ndio DW Word imeanza kazi? au bado bandari wanasuasua? Kuna wakati ilitoka habari humu kuwa meli zinakaa muda mrefu bila kushusha mizigo mpaka ikafikia hatua meli zinahama bandari lakini Mamlaka ya Bandari wakakanusha pengine ni ukweli ambao ulifichwa. Hii dhambi ya kukanusha taarifa...
  2. Jicho la Tai

    Uuzwaji wa Viwanja vya Serikali mtandaoni ni Hatua kubwa sana

    Ukiingia kwenye huu mfumo wa Tausi kupitia tausi.tamisemi.go.tz una vitu vingi sana ndani japo vingine naona havifanyi kazi. Nimefurahishwa sana na uuzaji wa viwanja ambapo unanunua kiwanja unakiona kwenye ramani kama ilivyo google map, tofauti na ile ya kwenye karatasi. Wengi tuna viwanja...
  3. Jicho la Tai

    DOKEZO: Mhe. RAIS, Rudi tena RITA! Ukiritimba wa Huduma ambayo ilipaswa iwe BURE

    Huduma yeyote ile inayoiwezesha jamii husika kupata huduma nyingine, ikicheleweshwa kwa jamii, Maendeleo kwenye nchi huwa yanachelewa au yanaenda Taratibu. NARUDIA! "Huduma yeyote ile inayoiwezesha jamii husika kupata huduma nyingine, ikicheleweshwa kwa jamii, Maendeleo kwenye nchi huwa...
  4. Jicho la Tai

    Maombi kwa Nchi ya Tanzania June/July 2023

    Nchi ya Tanzania inapendwa na Mungu zaidi kuliko hata sisi Watanzania wenyewe. Tumebarikiwa kuwa na bendera yenye yenye rangi nne na kila rangi ina maana yake. 1. Kijani 2. Blue 3. Dhahabu/njano 4. Nyeusi Tuiombee bendera yetu iendelee kupepea juu, ipande saa 12 asubuhi na ishuke saa 12 jioni...
  5. Jicho la Tai

    Natamani kuipinga Taarifa ya awali juu ya sababu za kudondoka kwa lift ya Millenium Tower

    Poleni sana wakazi wa Dar na wahanga wa ajali, nimeona kwenye mitandao hii habari nikatamani kujua vingi, na ningekuwa Dar ningefika hata eneo la tukio for physical observation. Nimeona Mtu kutoka jeshi la Zimamoto na Uokoaji akisema kuwa Sababu kuu za kudondoka kwa lift ya jengo la Millenium...
  6. Jicho la Tai

    Sasa ni rahisi kujisajili kwenye vikundi na kupata Mikopo ya 10% ya Halmashauri

    Katika pitapita zangu nimekutana na video inayoonyesha jinsi sisi wajasiliamali tunavyoweza kujisajili mtandaoni na kuomba mikopo ya Halmashauri. Bila shaka hatutasikia tena nakala kupotea au vikundi hewa. Nimefurahishwa na usajili kutumia namba ya NIDA na siyo majina hewa kama tulivyokuwa...
  7. Jicho la Tai

    Zuhura Yunus na Matangazo mabovu kutoka Ikulu Mawasiliano

    Nimekuwa mara kadhaa nikifutilia ukurasa wa Matangazo ya live (Youtube) ya Ikulu Mawasiliano. Tangu kipindi cha Msigwa na hata sasa kipindi cha Zuhura Yunus. Leo nimeona tatizo linaendelea sasa naomba nikiri wazi kuna mambo yanakwenda ovyo sana kwenye urushaji wa matangazo Youtube live kipindi...
  8. Jicho la Tai

    Wasio na ajira ndio wapewe kazi kwenye zoezi la Anwani za Makazi na Sensa kuwawezesha kiuchumi

    Katika zoezi ambalo linaendelea la Anwani za makazi, hata linalokuja la sensa, tunaiomba Serikali itumie watu wasio na ajira badala ya kuwatumia watumishi ambao tayari wana kipato. Serikali inapaswa itumie watu wasio na ajira katika zoezi la anwani za makazi pia sensa ili kusaidia vijana wasio...
  9. Jicho la Tai

    Nimechoka kutembea na mizigo isiyo ya lazima mwilini mwangu

    Baada ya jana kurudi nimechoka sana nyumbani, nikaanza kuwaza kwanini nafika nmechoka nyumbani ilihali sikuwa na kitu cha maana nilichokifanya wala kubeba mzigo wowote. Nikasema nuvue kila kitu ili mwili upate hewa vizuri, ndipo nikagundua kuna mizigo binadamu tunaibeba kila siku na inatuchosha...
  10. Jicho la Tai

    Naziona dalili za PINDA kuibuka Kidedea

    Waziri mkuu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda ni Mgombea ambaye mambo yake yameenda Kimyakimya sana mpaka Dakika za Mwisho. Hakuna aliyejua kuwa Pinda atagombea Urais mpaka Siku ile ya tarehe 21 Octoba 2014 alipotangaza Kimyakimya na hapo ndipo wapinzani wake kupitia Vijana wao walipoanza kumwagia...
  11. Jicho la Tai

    Waziri mkuu ahimiza wananchi kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza kwa kupima afya zao na kuzingatia

    Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na umati wa watu waliokisanyika katika banda la NHIF juu ya umuhimu wa watu kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora za maisha ili kuepuka maginjwa yasiyoambikiza ambayo mengi husababishwa na unene uliokithiri. Mh. Waziri Mkuu Mizengo...
  12. Jicho la Tai

    Pinda: Tuilinde, kuiendeleza amani iliyopo

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesisitiza umuhimu wa kuilinda na kuiendeleza amani iliyopo nchini. Pinda amesema amani si jambo la kufanyiwa mzaha bali linahitaji kuchukuliwa kwa umakini mkubwa ili kuinusuru Zanzibar isirejee ilikotoka. Aliyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati akitafuta...
  13. Jicho la Tai

    Waziri Mkuu,Mizengo Pinda arejesha fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea Urais

    Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhavi fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini DOdoma Juni 30, 2015 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizunguza na waandishi wa habari baada ya kurejesha fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa...
  14. Jicho la Tai

    PINDA: Taifa linahitaji MAOMBI

    WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, amesema Taifa linahitaji maombi ya wananchi na wana CCM ili aweze kupatikana kiongozi mzuri kati ya wagombea urais 42 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo ndani ya chama hicho. Bw. Pinda aliyasema hayo jana baada ya kukamilisha mchakato wa kupata wadhamini katika...
  15. Jicho la Tai

    Pinda: Nikiwa Rais Ntaimarisha Muungano

    Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema iwapo chama kitampitisha na kupewa ridhaa na wananchi kuwa rais, atahakikisha anaimarisha misingi ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano. Alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akisaka wadhamini huko Dimani, Mwera, Mjini na Wilaya ya Kaskazini B mjini Zanzibar...
  16. Jicho la Tai

    Pinda: Ninatosha na chenji inabaki

    Waziri Mkuu Mizengo Pinda amewashukuru wanachama waliojitokeza kumdhamini, huku akieleza kuwa anaondoka mkoani Iringa na msemo mpya; “Yeye anatosha na chenji inabaki.” Pinda alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza na wanachama wa CCM waliofika kwenye ofisi za chama hicho kumdhamini...
  17. Jicho la Tai

    Pinda, mtoto wa katekista anayetamani kuwatumikia watanzania

    Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda ni mmoja wa wanasiasa walioonyesha dhamira ya kuongoza taifa hili wapo tu chama chake cha CCM kitamteua kuwa mgombea wake katika uchaguzi ujao wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu. Pinda maarufu kwa jina la ‘mtoto wa...
  18. Jicho la Tai

    Pinda: Wagombea tusitumie jina la JK

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuwa wapo wagombea wengi wa nafasi ya urais, lakini kwa Rais Jayaka Kikwete ameshatamka kuwa hana mgombea yeyote kati yao, wasitumie jina lake kujinadi. Hayo aliyasema juzi kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM wa mjini Songea wakati alipokuwa akizungumza na...
  19. Jicho la Tai

    Nyota ya Pinda sasa yazidi kung'aa Tanzania

    Habari zilizotufikia ni kuwa Nyota ya Waziri mkuu Mizengo Pinda aliyetangaza nia hivi karibuni imezidi kung'aa huku mashabiki wake wakiwa na uhakika wa mgombea wao baada ya kutangaza nia tofauti na walivyokuwa wakipotoshwa kuwa mgombea huyu hagombei tena. Baadhi ya Waliotangaza nia ya...
  20. Jicho la Tai

    Waziri Mkuu, Mizengo Pinda achukua fomu kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Tayari Waziri mkuu ameingia na anazungumza na waandishi wa Habari ndani ya White House Ameshakabidhiwa fomu yake ya kugombea Urais Mazungumzo Rasmi kabla ya Maswali ya Waandishi wa Habari Amesema hawezi kueleza vitu vingi kama walivyoeleza wenzake kwani atakuwa anaingilia ilani ya Chama cha...
Back
Top Bottom