Nimechoka kutembea na mizigo isiyo ya lazima mwilini mwangu

Jicho la Tai

JF-Expert Member
Oct 10, 2012
1,449
576
Baada ya jana kurudi nimechoka sana nyumbani, nikaanza kuwaza kwanini nafika nmechoka nyumbani ilihali sikuwa na kitu cha maana nilichokifanya wala kubeba mzigo wowote. Nikasema nuvue kila kitu ili mwili upate hewa vizuri, ndipo nikagundua kuna mizigo binadamu tunaibeba kila siku na inatuchosha. Kwani nilijikuta nabeba vyote nilivyovivua na kwenda kuviweka juu ya mzani. Nikagundua natembea na kilo 2.2 ambazo sio za kwangu ambazo ni:
  1. Shati
  2. Suruali
  3. Soksi
  4. Viatu
  5. Mkanda
  6. Wallet
  7. Vest
  8. Boxer
  9. Kitambaa cha mafua
Nafikiria kuachana na vyote na kuanza kuvaa Vest na Boxer tu, kama sivyo Ntavaa kanzu tu bila boxer wala vest. Na ntaanza kutembea peku kama mpoto. Nimechoka kubeba mizigo ambayo hata sijui nani aliianzisha na haipo kwenye sharia zetu mtu lazima utembee na manguo yote.
 
Mkuu,Vaa ata Hii jinzi Moja tu kama uyu mwamba, uzito wake haufiki hata robo kilo
IMG_20210917_221517.jpg
 
Ukiwa na 'usafiri' unavaa 'vesti' na 'bukta' tu, cash unaweka kwa glove compartment, hizo takataka nyingine unaacha home
 
Subiri ukienda huko mbinguni sijui utavaa nini maana huko hakuna kiwanda cha nguo ila huku duniani ni kama utamaduni sehemu nyingi hutopata huduma ukiwa na mavazi ya ajabu ajabu
 
Baada ya jana kurudi nimechoka sana nyumbani, nikaanza kuwaza kwanini nafika nmechoka nyumbani ilihali sikuwa na kitu cha maana nilichokifanya wala kubeba mzigo wowote. Nikasema nuvue kila kitu ili mwili upate hewa vizuri, ndipo nikagundua kuna mizigo binadamu tunaibeba kila siku na inatuchosha. Kwani nilijikuta nabeba vyote nilivyovivua na kwenda kuviweka juu ya mzani. Nikagundua natembea na kilo 2.2 ambazo sio za kwangu ambazo ni:
  1. Shati
  2. Suruali
  3. Soksi
  4. Viatu
  5. Mkanda
  6. Wallet
  7. Vest
  8. Boxer
  9. Kitambaa cha mafua
Nafikiria kuachana na vyote na kuanza kuvaa Vest na Boxer tu, kama sivyo Ntavaa kanzu tu bila boxer wala vest. Na ntaanza kutembea peku kama mpoto. Nimechoka kubeba mizigo ambayo hata sijui nani aliianzisha na haipo kwenye sharia zetu mtu lazima utembee na manguo yote.
Kwa ufahamu wangu, hospitali ya vichaa ipo Dodoma, inaitwa mirembe
 
Baada ya jana kurudi nimechoka sana nyumbani, nikaanza kuwaza kwanini nafika nmechoka nyumbani ilihali sikuwa na kitu cha maana nilichokifanya wala kubeba mzigo wowote. Nikasema nuvue kila kitu ili mwili upate hewa vizuri, ndipo nikagundua kuna mizigo binadamu tunaibeba kila siku na inatuchosha. Kwani nilijikuta nabeba vyote nilivyovivua na kwenda kuviweka juu ya mzani. Nikagundua natembea na kilo 2.2 ambazo sio za kwangu ambazo ni:
  1. Shati
  2. Suruali
  3. Soksi
  4. Viatu
  5. Mkanda
  6. Wallet
  7. Vest
  8. Boxer
  9. Kitambaa cha mafua
Nafikiria kuachana na vyote na kuanza kuvaa Vest na Boxer tu, kama sivyo Ntavaa kanzu tu bila boxer wala vest. Na ntaanza kutembea peku kama mpoto. Nimechoka kubeba mizigo ambayo hata sijui nani aliianzisha na haipo kwenye sharia zetu mtu lazima utembee na manguo yote.
Tulishakubaliana hapa tunakuja na akili zetu timamu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom