Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amewataka vijana nchini kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta za kilimo na ufugaji badala ya kusubiri na kuacha fursa hizo zikakamatwa na raia kutoka nchi za nje.
Msigwa ameyasema hayo Agosti 5, 2026, katika mahojiano na Crown Media katika...
Alizuia wafanyabiashara wasiichangie CHADEMA👇
Soma Msigwa: Inasikitisha sana, yaani wanahamasisha Vijana watoe pesa walizonazo wawapatie pesa wao waweke mifukoni mwao
Julai 16, 2026, Msemaji wa Serikali ya Tanzania kupitia ukurasa wake wa Instagram alichapisha:
"Diaspora anayejua kupigania bendera ya Tanzania na manufaa ya Watanzania kwa vitendo namzungumzia @johnjackson_jj amemfikia mwanamziki mkubwa na maarufu nchini Marekani @djkhaled
@johnjackson_jj...
Mpaka sasa huwezi kuelewa huyu waziri wa nini, huyu ni mtumishi wa nini.
Tokea siku ya Oktoba 29 imefikia polisi ndio anacheo kuliko JWTZ.
Tuje kwa msemaji wa serikali yani sasa kawa msemaji wa CCM.
Mambo anayozungumza ni kujibia CCM.
Kama kuchangia chama cha siasa ni vibaya, basi iwe vibaya kwa vyama vyote.
Lakini kama Agosti 12, 2025, CCM ilichangiwa hadi kufikia Tsh. Bilioni 86.3 pale Mlimani City na haikuonekana kuwa tatizo, leo kwa nini ndugu Gerson Msigwa unaona Wananchi wanaochangia 'ToneTone' ya CHADEMA ndiyo...
When it's the monkey's day to die, all trees become slippery"
The disgraceful and boisterous spox of #Tanzania unabashedly posted a post alluding to a fake endorsement by DJ Khaled and a Visit Tanzania deal! But thankfully he didn’t get away with it! DJ Khaled’s agency publicly denied any...
"Ninasikitishwa na tabia ya watu kuchangia mtu ili aweke hiyo hela atumie badala ya kuwaambia vijana wafanye biashara wapate hela waweke kwenye mifuko yao lakini wao wanachukua wanazitumia sasa kijana uamuzi ni wako ukachangie mtu ambae hatakusaidia au uje sokoni uzungushe hela upate faida"...
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema badala ya baadhi ya watu kuwahamasisha vijana kujihusisha na shughuli za uzalishaji na ujasiriamali, wamekuwa wakiwahamasisha kutoa fedha walizonazo kwa maslahi ya watu wengine.
“Inasikitisha sana, yaani wanahamasisha Vijana watoe pesa walizonazo...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa ukarabati wa Uwanja wa Uhuru umefikia zaidi ya asilimia 98 na hivi karibuni utakuwa tayari kwa ajili ya matumizi ya vilabu vya Simba na Yanga kuelekea Simba Day na Yanga Day.
Msigwa ameeleza kuwa uwanja huo umetengenezwa kwa viwango vya...
Habari hii inaonyesha changamoto inayowakabili baadhi ya wafanyabiashara katika Soko la Machinga Complex Dodoma, ambapo wanadai kuwa biashara zimepungua kutokana na ukosefu wa wateja na mzunguko mdogo wa fedha.
Kwa mujibu wa mfanyabiashara aliyetoa malalamiko hayo mbele ya Msemaji Mkuu wa...
GIRISHONI kanichapa BLOCK usiku wa manane, baada ya kumtaka atupe ufafanuzi wa kwanini anatumia chaneli za MABEBERU kuangalia WEDIKAPU wakati TBC UKWEL na UHAKIKA ipo lele-lele. Anamuachia nani ‘kwaliti’ mbovu ya TBC. Uzalendo nje, ndani kwake aaah!🤣
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewapongeza Watanzania kwa kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano wa nchi huku wakipuuza wito wa baadhi ya watu wanaochochea vitendo vya kuwapeleka wananchi barabarani badala ya kujikita katika shughuli za uzalishaji na kukuza uchumi...
Guys
Hivi Gerson Msigwa anatuoanaje watanzania. yaani anapenda kutupanga sana pia huja na fix za kikuda.
Kama grid kutoka ni swala la kawaida Tanesco wanaunda tume ya nini. huyu jamaa kashakuwa chawa mwongo muongo
Usije ukamwamini msigwa kwa lolote lile maana ameshiba na amejaa dharau.
Akijibu maswali ya waandishi wa habari mbali mambo mengine bwana Msigwa aliwaambia waandishi hao kuwa kama kuna kasoro waandike na serikali itafanyia kazi.
Mojawapo ya kasoro kubwa ambayo ipo na vyombo vya habari vya Tanzania haviandiki, havisemei au hata kufanya uchunguzi (documentary) ni...
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali imeboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi katika maeneo ya vijijini na mijini
Amesema kuwa bajeti ya Wizara ya Maji imeongezeka kutoka Shilingi Bilioni 680 kwa mwaka 2021 hadi kufikia Shilingi Trilioni 1.12 kwa mwaka huu...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ametoa onyo hilo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa habari aliyeuliza kuhusu madai ya baadhi ya viongozi kujilimbikizia mali kutokana na mikopo ya serikali.
Msigwa ameweka wazi kuwa serikali ina sheria zinazoelekeza matumizi sahihi ya rasilimali za...
Serikali, kupitia Msemaji wake Gerson Msigwa, imetoa ufafanuzi wa kiufundi kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme nchi nzima iliyotokea jana na jinsi ilivyoathiri huduma za treni ya kisasa (SGR)
"Najua wengi mmetikiswa na tatizo lililojitokeza jana. Tulipata hitilafu kwenye gridi ya taifa...
Wakuu
Akizungumza leo, Juni 28, 2026 Msemaji Mkuu wa Serikali amesema kwamba Nchi inakopa kwa sababu inakopesheka. Benki au taasisi yoyote ya fedha haiwezi kutoa mkopo bila kujiridhisha na uwezo na mpango thabiti wa mkopaji kurejesha fedha hizo.
"Fedha nyingine tunakopa. Ni kweli, najua kuna...
Wakuu,
Msemaji Mkuu wa Serikali anatarajia kufanya mkutano rasmi na waandishi wa habari siku ya leo, Juni 28, 2026.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari (MAELEZO) chini ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, mkutano huo unatarajiwa kuanza majira ya saa 7:30 mchana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.