gerson msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Think2

    JamiiForums Tanzania Gerson msigwa :Serikali haiwalipi mastaa kuja Tanzania wanakuja kutokana na ukaribu na mheshiwa waziri Makonda

    Msigwa wadanganye watoto wako tu star mkubwa wa ball duniani aje bure ajilipie gharama zote za passport kuja tanzania kisa ameitwa na Makonda? Usikute hata ulaya hawamjui msukuma Makonda 😂 😂 na hilo trako lake kubwa 😂 Tusifiche ukweli tuwambie watanzania pesa zao za kodi wanalipwa hawa mastaa...
  2. Think2

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

    Kwa uhalisia tu haiwezekani KM 80? Yaani sawa na Mita 80000 kwa miguu huyu jamaa amekubuhu kwa uongo hizo kilometa unafika shule wenzio washatawanyika unarudi nyumbani usiku unafika asubuhi afu tena urudi shule 😂. Gerson huu umbali unaosema wewe sio kweli labda kama umekosa cha kusema. Kwa...
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa awajia juu waliomkosoa kuita wananchi Nguchiro asema 'Wewe kama siyo Nguchiro kime kuuma nini?'

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, anaweka wazi juu ya watu walioweka namba yake ya simu mtandaoni na watu wengine kutumia namba hiyo kumrushia matusi.
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa anadai watu 80 wamekamatwa na wapo vituo vya polisi. Kama wana hatia kwa nini zaidi ya masaa 24 hawajapelekwa mahakamani?

    Msigwa amejitapa kuwa dunia ya sasa ipo juu kiteknolojia. Ndio maana waliomkamata wametiwa mbaroni na polisi. Haya sasa hivi ni zaidi ya masaa 24 kwq nini hawajap3lekwa mahakamani kwa mujipu wa sheria? Kama hawana hatia waaachiwe.
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Vijana msinitukane mtakamatwa tu, Polisi wameshakusanya zaidi ya Watu 80

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na michezo, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwa bahati mbaya wanaowaponza na kuwarubuni Vijana na kuwaingiza kwenye uvunjifu wa sheria ya Mtandaoni wamekuwa wakiwafuata Vijana kutoka familia duni, suala...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Gerson Msigwa: Msemaji wa Serikali au Serikali inawezaje kuita watu Nguchiro

    Anaandika John Heche kwenye ukurasa wake wa X: Kama kuna mtu alikua hajui kwanini serikali hii haiwajali Watanzania, Kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu wanatekwa, wanauwawa, kama kuna mtu alikua hajui kwanini watu hawana maji, hawana barabara, hawana shule bora, kama kuna mtu alikua hajui...
  7. O

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, amewaita Watanzania ‘Nguchiro’.

    Taarifa kamili 👇🏿
  8. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Tutaomba kuwa Wenyeji wa Kombe La Dunia

    My Take Naunga mkono hayo maono na Mawazo ya bwana Msigwa. Kwa kuwa kama Nchi tunatekeleza vision 2050 ya kuwa na Uchumi wa Trilioni 2,500 ($1T) Sina shaka kwamba uchumi huo ni mkubwa sana kama tutafikia hata nusu yake tuu manake tutakuwa kama South Africa au Egypt au Algeria ya sasa. Kama...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Ukiona hadi tumefika hatua kufungia chombo cha Habari, kuna mambo tukiendelea kuyaacha yataleta madhara kwa Taifa

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa ametoa sababu kwanini wanafikia hatua ya kufungia Baadhi ya Vyombo vya Habari Soma Pia: Jambo Online TV wafungiwa kwa siku 90 na TCRA Ukiona tumefikia hatua ya kufungia chombo cha...
  10. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Kama Tuhuma hizi kuhusu Pesa alizopewa Yanga Zina ukweli, Gerson Msigwa Jiuzulu Mara Moja ni Aibu

    Kuna hizi pesa zinatajwa kutolewa eti kwa Jina la Goli la mama, na Yanga wamekabidhiwa milioni 60 wakati ukalali wao ni milioni 20. Jee kwa vile muhusika na mpanga mipango ya fedha hizo ni wewe huu sio WIZI? Ni aibu kwa mtu ambaye pia ni msemaji mkuu wa Serikali kuwa mwizi au kushiriki wizi wa...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Gharama za uwanja wa Arusha zimeongezeka baada ya CAF kusema tuongeze Vitu

    Baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kusema alibaini upungufu katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha, ambapo ulikadiriwa kugharimu Tsh. Bilioni 187 lakini mkataba ukasainiwa kwa Tsh. Bilioni 338 katika ripoti ya ofisi yake ya Mwaka...
  12. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Kuna watu wenye heshima kubwa kwenye jamii waliogoma kurejesha mikopo waliyopewa na Wizara ya Michezo na Sanaa

    Kupitia comment yake kwenye post yake ya leo tarehe 25/03/2026 katibu mkuu wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo amedai kuwa kuna wanufaika wa mikopo iliyotolewa na wizara ambao wamegoma kurudisha mikopo waliyopewa. Binafsi nimeshangazwa sana na alichosema ndugu Gerson Msigwa kwa sababu...
  13. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Waandishi wa habari tunapoandika habari za masuala ya usalama wa anga tusiweke "hisia" zetu

    Ndugu zangu Naona Zungu kajibiwa tena kwa mara ya tatu Akiwa anazungumza leo jijini Dar Es Salaam msemaji mkuu wa Serikali amesema kuwa kilichosababisha ndege kutokutua Mwanza siku chache nyuma ni moja kati ya "jitihada" za Serikali kuhakikisha kuwa usafiri wa anga unakuwa salama sana...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, akizungumza leo Februari 26, 2026 na waandishi wa habari katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, amezungumzia meli iliyokamatwa nchini El Salvador ikiwa na tani 6.6 za cocaine na kubeba bendera ya Tanzania. Msigwa amesema meli hiyo...
  15. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Mwaka huu Serikali itanunua ndege 4 aina ya Bombadier Q400

    Wakuu, Haya ndugu zangu, Akizungumza leo, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa mwaka huu Serikali ya Samia itanunua ndege 4 ikiwa ni sehemu ya kukamilisha ilani ya CCM ambayo ilisema kuwa ndani ya miaka 5 itanunua ndege 8
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa apinga taarifa ya The Guardian iliyodai michuano ya AFCON iko mbioni kuahirishwa

    Wakuu, Akizungumza na The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema kwamba taarifa zinazosambaa mitandaoni zikidai Tanzania, Kenya na Uganda haziko tayari kuwa ni propaganda, akisema Tanzania imewekeza dola za...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Msigwa na jinsi upepo ulivyo hapa kuna maridhiano kweli?

    Wakuu, Natafakari tu. Juzi tulimsikia Msigwa akisema plain and open kuwa hakuna mtu atakayelazimishwa kuingia kwenye maridhiano. Hii kauli ya Msigwa haitofautiani sana na zile kauli walizokuwa wakitoa CCM kipindi kile cha Uchaguzi. Walikuwa wanasema kabisa kwamba kama CHADEMA hawataki...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Maridhiano ni jambo la hiari sio kulazimishwa

    "Maridhiano ni jambo la hiari" Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akizungumza Februari 10, 2026 katika mahojiano na BBC Swahili, amesema endapo kutakuwa na wadau watakaokataa kushiriki kwenye maridhiano mara mchakato huo utakapoanza, hawatalazimishwa kufanya hivyo kwani kushiriki kwenye...
  19. McLaren

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Naibu Waziri hakueleweka vizuri. Serikali hatujakosa pesa za kujenga uwanja wa Arusha

    Wakuu, Msemaji wa Serikali na Katibu mkuu wizara ya Habari, Sanaa, Tamaduni na Michezo Gerson Msigwa afafanua ukweli kuhusu taarifa ambazo zinaeleza kuwa uwanja wa Arusha umekosa hela za kumalizia ujenzi. SomaPia:Tanzania yaomba msaada China kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya AFCON 2027...
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Msigwa: Wakisitisha misaada TUTAJITEGEMEA kwa sababu sehemu kubwa ya bajeti ni makusanyo yetu

    Wakuu, Msikilizeni Msemaji Mkuu wa Serikali akiwa anazungumza leo kuhusu suala zima la misaada. Mmenotice hajawaita mabeberu bali "wadau wa maendeleo?" Ila najiuliza kama Tanzania tunajiweza tunapitishaga bakuli la nini? Au mabeberu wanatushobokea kutokana na "madini yetu" guys? "Kwa...
Back
Top Bottom