ikulu mawasiliano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Political Jurist

    Pongezi kwa Rais Samia kwa mambo anayoyafanya tangu aingie madarakani

    PONGEZI 12 KWA MHE. RAIS SAMIA Na Amon Nguma . Salamu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - KAZI IENDELEE . Ni ukweli usiopingika kuwa Salamu hii imebeba maana na uhalisia wa kazi Iendelee kutokana na mambo mazuri yanayofanywa na Serikali chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  2. E

    Watu wa protocol najua mpo hapa tuwekane sawa hapa

    Hivi kwenye jambo lolote linalohitaji kibali cha Rais, au waziri wa sector husika, kunapotokea kuna mkataba kama ule wa DP WORLD, Rais au waziri anapitia kwanza au kuna watu wanapitia kwa niaba yake halafu baadaye yeye anaonyeshwa tu pa kuweka sahihi? Na kama ikatokea kuna mikataba ya nchi na...
  3. saidoo25

    Kongamano la Wahariri limeacha maswali mengi. Nani yuko nyuma?

    Kongamano la Wahariri naweza kusema limeacha maswali mengi sana kuliko mafanikio tuliyotarajia tuyaone kutokea hapo. 1. Nani aliyewalipa posho na malazi kwa siku zote walizokaa Iringa(Yeye mlipaji ananufaikaje kwa fedha zake alizotoa) 2. Wametajwa wabunge, majaji, mawaziri kuwa ndio...
  4. happyxxx

    Idara ya Ikulu Mawasiliano ni wazembe au wanafanya makusudi?

    Kitendo cha kuachia picha inayoonyesha namna wananchi wasivyosisimka na uwepo wa Mh. Rais Samia kwenye usafiri wa boti ya abiria kinatafakarisha sana. Si kawaida kwa Rais kujitokeza hadharani na muitikio uwe wa namna hii. Tumeona uko nyuma pamoja na lawama walizoshushiwa Kikwete na Magufuli...
  5. saidoo25

    Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...
  6. saidoo25

    Viongozi wanaojikweza alioomba Rais Samia tuwataje

    Wana Bodi Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa mkoani Njombe ametuomba watanzania kumpatia orodha ya wateule wake ambao wanajikweza na hawatekelezi kikamilifu majukumu yao kwa mujibu wa viapo vyao ili aweze kuwachukua hatua. Namba tutumie fursa hii tutaja majina ya viongozi ambao...
  7. I

    Wahitimu wa vyuo vikuu wapewe mikopo kwa kutumia vyeti

    Ndugu msomaji mimi Leo nimeona nitoe pendekezo kwa Serikali kuangalia ni jinsi gani ikawasaidia vijana wanaohitimu Vyuo vikuu kutumia vyeti vyao kupata mikopo ya kuanzisha biashara mara baada ya kuhitimu. Kama Serikali ilivyowasaidia vijana hawa kupata mikopo ya kusoma Vyuo basi ni bora pia...
  8. M

    Bashe afuata ushauri wa Mpina aurejesha mfumo BPS kwenye Mbolea, vyombo husika vichukue hatua kwa Bashe kulidanganya Taifa

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram Waziri wa Kilimo Leo Julai 13, 2022 amekutana kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Bi. Victoria Kwakwa kujadili maeneo ya ushirikiano kwenye IDA20. Pamoja na mambo mengine Bashe amesema mazungumzo yao pia yamegusia Swala la bei ya...
  9. Jicho la Tai

    Zuhura Yunus na Matangazo mabovu kutoka Ikulu Mawasiliano

    Nimekuwa mara kadhaa nikifutilia ukurasa wa Matangazo ya live (Youtube) ya Ikulu Mawasiliano. Tangu kipindi cha Msigwa na hata sasa kipindi cha Zuhura Yunus. Leo nimeona tatizo linaendelea sasa naomba nikiri wazi kuna mambo yanakwenda ovyo sana kwenye urushaji wa matangazo Youtube live kipindi...
Back
Top Bottom