Ndugu, hivi yupi ni Bora Kati ya anayekwenda ikulu akiwa na plan na yule aliyesukumizwa? Ni yupi Kati yao aliyekwenda kuijaribu nafasi ya urais.?Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa
Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi
Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!
Magu, Mbele Kwa mbele
Hebu jitafakari Tena!