Ndugai utakumbuka vipi wakati hujarudi Mirembe kucheki afya ya akili inaendeleaje?Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Ni laana ya dhuluma kwa Lissu! Hujamsikia akitetea dhana ya "less government kwenye sekta ya kilimo utafikiri hakuwepo Tanzania kipindi chote cha ukandamizaji wa magufuli!Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Lengo lako ni mwendazake afungwe huko huko alipo?Kama kweli akili zake zipo vizuri afute sheria inayowawekea viongozi wastaafu kinga hata kama wamefanya makosa wakiwa madarakani
Mkuu ID yako utata mtupu ! imeruhusiwaje ?Kama sio Ndugai ni Tulia
ulevi wa madaraka hadi anasahauNdugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Ndugai anashangaa Sharia za kijinga ambazo ni kichaa tu angeweza kuzipitisha. Anajiuliza alikua wapi wakati wanapitisha sheria chafu kama hizo? Nadhani mambo mawili, moja huenda anaumwa au legacy ya mwendazake inaisha nguvu.
Hili ni Bunge la CCM...je ni sharia ngapi za kijinga zimepitishwa na kuumiza Watanzania?
View attachment 1799755
Duuuh!Ndugai
Ndugai utakumbuka vipi wakati hujarudi Mirembe kucheki afya ya akili inaendeleaje?
anataka Mwendazake akose ukuu wa malaikaLengo lako ni mwendazake afungwe huko huko alipo?
Tunawaomba wanyampara wa kuzimu wazidi kuchochea kuni na magogo kwenye maiti ya mwendakuzimuLengo lako ni mwendazake afungwe huko huko alipo?
Astakafirullah ×3Tunawaomba wanyampara wa kuzimu wazidi kuchochea kuni na magogo kwenye maiti ya mwendakuzimu