Ndo maana mnaitwa mazombie kushaņgilia tu,kamati kuu ina wajumbe 30 Lissu alipata kura 24,Nyalandu aliyemgalagaza Lissu alipata kura ngapi hapo?Kweli mtaji wa CCM ni majitu majinga kama wewLazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!
Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Mnenee basi na wewAache kuwa nenea mabaya wenzake, kwani yeye mkamilifu asijashangaa MUNGU akamgeuzia yeye asione sifa, MUNGU anataka watu watubu si kufa katika dhambi shauri zake
Nabii Lema kazini , mmoja tayari mwingine mbioniNi kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:
Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Hivi umeandika nini.Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!
Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Ndugai nikumtafutia waganga wa kienyeji huko Sumbawanga wamshughulikie vizuri, naona funzo la tar 17/03 halitoshiNi kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:
Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Baada ya yeye anafuata MgangaHata mimi nimeona subuwufa anaondoka
Au na yeye wako na mpango wa kumwekea sumu. Kama kwa shujaa wetu..! Lema ni nani mpaka Kawa mtabiri anatumika na kina nani..?Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:
Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Mie siwezi mnenea mtu mabaya kwani nilimuumba mimi?Mnenee basi na wew