Ingekuwa enzi za Slaa hapo angekuja na press moja matata sana yenye ndondo zilijaa facts tupu!

Sasa ona hii chadema ya sasa hivi!
 
Aache kuwa nenea mabaya wenzake, kwani yeye mkamilifu asijeshangaa MUNGU akamgeuzia yeye asione sifa, MUNGU anataka watu watubu si kufa katika dhambi shauri zake
 
Lazaro Nyalandu alimgaragaza Tundu Lisu kwenye kura za kamati kuu.!

Huyu mzee wa MIGA ,mwanasheria a Acacia anaaminika na nani sasa kama hadi kamati kuu anashindwa kura??
Ndo maana mnaitwa mazombie kushaņgilia tu,kamati kuu ina wajumbe 30 Lissu alipata kura 24,Nyalandu aliyemgalagaza Lissu alipata kura ngapi hapo?Kweli mtaji wa CCM ni majitu majinga kama wew
 
Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:

Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Nabii Lema kazini , mmoja tayari mwingine mbioni
 
Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:

Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Ndugai nikumtafutia waganga wa kienyeji huko Sumbawanga wamshughulikie vizuri, naona funzo la tar 17/03 halitoshi
 
Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:

Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Au na yeye wako na mpango wa kumwekea sumu. Kama kwa shujaa wetu..! Lema ni nani mpaka Kawa mtabiri anatumika na kina nani..?
 
Back
Top Bottom