Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,632
- 218,061
Kuna kiapo kinasema “nitakua na wewe siku zote hadi kifo..... kitakapo kitakapo tutenganisha!”Sijui kama kuna utaratibu wowote a kumwondoa, ngoja niulize wajuaji wa mambo haya
Lema yawezekana ana tatizo la akili.Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:
Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Subiri muda utathibitisha nani ni mgonjwa wa kati yake na wewe.Lema yawezekana ana tatizo la akili.
He is psychologically not ok!!
Argue as a great mind. Eleza sababu.Lema yawezekana ana tatizo la akili.
He is psychologically not ok!!
Wote wagonjwa na kila mmoja anatumika upande wake.Subiri muda utathibitisha nani ni mgonjwa wa kati yake na wewe.
Lema huwa anaropoka hivi hivi, Ila yakiisha tokea ndiyo tunaanza kukumbuka.Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:
Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
Duh...!Ni kupitia twitter ambapo ameandika ujumbe huu:
Acheni kuumizwa na matendo ya Spika Job Ndugai , Mungu anatarajia kutenda muujiza hivi karibuni kwake ,asiwachoshe kabisa ,kwani imeandikwa...Mithali 16:5 MUNGU huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.
mwendazake aliambiwa hivi hivi akadharau, akafikiri islael mtoa roho huwa anaogopa mabunduki yaliyomzunguka kila alipo.Duh...!
Nahofia kusema dua la kuku.....!