Mwanzoni ilionekana kama ni masihara kwa viongozi wa serikali ya awamu ya tano ya Chama cha Mapinduzi kujitokeza hadharani na kudai kuwa wao ni Mawe, Vichaa, Malaika na hata wengine kusema wao ni Mungu!

Nimeona pia clip ikionyesha Spika Ndugai akisema yeye ni miongoni wa walio na mafaili hosptali ya wagonjwa wa akili, Milembe!

Kauli na vitendo vya viongozi wa serikali ya awamu ya tano visivyozingatia sheria na taratibu za nchi huenda ni matokeo ya kuwa na viongozi wagonjwa wa afya ya akili!

Swali la kujiuliza ni kwa nini Chama cha Mapinduzi ambcho ndicho mdhamini wa hawa viongozi kiliamua kutuletea vichaa hawa!? Je ni makusudi au ni bahati mbaya!?

Viongozi pia ni taswira ya njinsi wananchi walivyo! Kama tuliona watu walio wagonjwa wa akili wanafaa kutuongoza, na tunaendelea kuwavumilia, basi Watanzania asilimia kubwa ni wagonjwa wa akili hata kama hatuna mafaili Milembe!

Haiwezekani kuwa na Spika wa Bunge anayepatwa na taharuki anaposikia Chama fulani kimefanya maamuzi dhidi wanachama wake, ama Rais anayelalamika kukimbizwa Mabeberu kila kukicha! Yawezekana kweli Milembe ina mafaili ya hawa Wazalendo!

Tuchapeni kazi kwa tahadhari, kakorona kanaual!
 
Kuna kila dalili kwa haya matendo ya kibabe afanyayo Job Ndugai kama Spika amesahau kuwa cheo chake kinafikia ukingoni bunge likivunjwa 31.may.2020 na baada ya hapo sio mbunge tena wala spika.
Kiburi chake pengine anadhani yeye ni spika wa kudumu na hana hofu.
Ajue kuwa atapaswa tena kurudi Kongwa na kupiga wapinzani wake bakora za kichwa tena ili aupate ubunge. Na hiyo ni kama hata mwaka huu watakubali kupigwa bila kugeuza kibao.
Walio karibu naye wamkumbushe ya dunia hii na jinsi maumivu yanavyokuwa makali utukufu unapokutoka mbele ya ulio wadharau
 
Kwahiyo kijana alikuwa anatumika kusambaza madawa ya kulevya ?
Pole Mdude kwa kudanganywa uwe agent wa madawa ya kulevya nyanda za juu kusini.

Ngoja tusikie hotuba ya boss wa biashara yako huenda ni ya kukuombea msamaha utoke jela.

Kazi ya Makonda kuwataja ndiyo imeanza kuzaa matunda sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge sio 'mhimili' unajitegemea tena!
Bunge la ndugai limekuwa la mipasho mno, bora hata Tulia hana hii mipasho kama ndugai!
Bunge badala ya kuishauri na kuielekeza srikali sasa linapokea maagizo toka serikalini.
Bunge sasa limesahau hata majukumu yake na kila kukicha ni CHADEMA! CHADEMA!
 
Mimi ninajua kabisa na kuele mtu jipambanua mwana sis em ana matatizo ya kufikiri, ana mtindio wa ubongo. Kila aliye mwana sis em kindakindaki ni mgonjwa wa akili. Supi na Naibu wake, wabunge wao mpk wanachama wote.
CHADEMA waondoke tu wote tuone maendeleo na hizo ngojera zao, kwanza miradi yote mikubwa inakufa na kutia bonge la hasara. Mtu usiyeweza kupiga gharama kwa kitu ulichokianzisha kwamba utakikamilisha hata neno la MUNGU linakuita mpumbavu
Kundi la hao pongeza pongeza ndiyo liko hivyo siyo ndugai tu wooootee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na Mgogoro ambao umemhusu Mbunge wa kibamba Mhe John Mnyika nimebaini Pasipo na shaka kuwa Job Ndugai ambae ni Spika, hana uwezo kabisa wa kuongoza chambo kikuu cha maamuzi kama Bunge,

Japo kuwa ni Spika Tayari lakini tunatakiwa kujua kuna watu ni Marais lakini hawana sifa za kuvaa uhusika hivyo hivyo Ndugai hafai kuwa Spika na Wala tusitegemee jipya lolote kutoka kwenye Bunge analoliongoza yeye na msaidizi wake Tulia Ackison.

Nimesema hivyo hana sifa yoyote ambayo imetokana na Nadhalia za uongozi ususani skill model of Leadership.

Na hizi ndio sifa za Job Ndugai ambazo zinamfanya kukosa sifa za kuwa Spika japo ni Spika na kwa maana hiyo Bunge la sasa ni Dhaifu sana.

1)-Anajaziba, kutokana na hii sifa siku zote hawezi kutoka maamuzi sahihi sifa hii inaonekana pale alipompiga Mgombea mwezake wa ndani ya chama chake.

2)-Ni Mtu wa kujipendeza, na hii inafanyika ili atete kiti chake cha uspika ndio maana anatumia nguvu nyingi kuwaonea wapinzani ili amfurahishe Rais ambae ndio Mwenyekiti wa chama.

3)-Nimkurupukaji, kutokana na sifa hii inamfanya afanye maamuzi na atoe kauli za kitoto ambazo zinalifanya Bunge kuwa dhaifu sababu linaogozwa na watu dhaifu.

Mfano aliposema Lusinde wewe ni kiboko yao mpaka wote wameondoka hii nikauli ya kitoto haikupaswa kusemwa na mtu kama Spika.

4)- ni kigeu geu, sio mtu wa kuamini au kupanga nae mambo makubwa na hii inasababishwa na yeye kuwa mtu wa kujipendekeza.

5)-Anaongozwa na Mhemko, Hana Busara wala Hekima kwa Suala la Mnyika hajatumia Busara wala Hekima Mropokaji.

Kutokana na madhaifu yake yote hayo mzee Chenge ameonyesha uwezo mkubwa kuliko yeye pamoja na msaidizi wake Tulia Ackison.

Kutokana na wabunge kuonewa katika kipindi chake na Serikali au na yeye Mwenyewe pamoja na Msaidizi wake wamefanya ubunge kutokueshimaka kabisa na watu.

Nilikuwa sijawahi kusikia Kwamba Mbunge anaweza kuwekwa ndani mwezi 4 na hajaua ni kipindi cha Ndugai kwa maana hiyo pale amekaa kuziba nafasi isiwe wazi na sio kuliongoza Bunge kupitisha maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi yetu kama lilivyokuwa Bunge la 2005- 2010 kila mtu alitamani kuwa Mbunge.

Ni Mhere Mwita.

Hana kabisa sifa. Ni nyau aliyejiunga na binadamu
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana Mtu kama Job Ndugai anaendelea kula cake ya Taifa. Anaendelea kutumia rasilimali za taifa.

Huyu ambaye amerudi kwa kasi na mradi wa Bagamoyo ambaye sijui Wachina walimpatia nini huko kwao.

Nashangaa hadi soko kuu la Dodoma limepewa jina la hovyo la huyu jamaa ambaye alitumia mamilion ya pesa kwenye matibabu yake peke yake il hali kuna Watanzania wengi wanakufa kwa kukosa dawa za bei rahisi tu hospitali.
 
Alishatuambia Ana File Mirembe Hospital
Anaumwa Sana Tumuombee Huyu Mzee
😣😣🤔🤔😇🤗🙂☺😥Dish
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana Mtu kama Job Ndugai anaendelea kula cake ya Taifa. Anaendelea kutumia rasilimali za taifa.

Huyu ambaye amerudi kwa kasi na mradi wa Bagamoyo ambaye sijui Wachina walimpatia nini huko kwao.

Nashangaa hadi soko kuu la Dodoma limepewa jina la hovyo la huyu jamaa ambaye alitumia mamilion ya pesa kwenye matibabu yake peke yake il hali kuna Watanzania wengi wanakufa kwa kukosa dawa za bei rahisi tu hospitali.
Ndugaye dishi limeyumbishwa na laana za Lissu
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana Mtu kama Job Ndugai anaendelea kula cake ya Taifa. Anaendelea kutumia rasilimali za taifa.

Huyu ambaye amerudi kwa kasi na mradi wa Bagamoyo ambaye sijui Wachina walimpatia nini huko kwao.

Nashangaa hadi soko kuu la Dodoma limepewa jina la hovyo la huyu jamaa ambaye alitumia mamilion ya pesa kwenye matibabu yake peke yake il hali kuna Watanzania wengi wanakufa kwa kukosa dawa za bei rahisi tu hospitali.
Halafu anaweka bungeni wabunge wake. Sijui 'ndugai' ni chama gani walipo kina halima mdee 😂😂
 
Kibaraka wa China!Viongozi wa CCM wanatia aibu Taifa hili.CCM haifai tena kuongoza Watanzania.
 
Back
Top Bottom