mwezi mtukufu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kabende Msakila

    Ilitakiwa Uchaguzi Mkuu ufanyike kipindi cha Mwezi Mtukufu au Kwaresma?

    WanaJf, Salaam! Kila baada ya Uchaguzi Mkuu huwa nasikia vyama vya upinzani (CDM, ACT, CUF, NCCR, UDP, DP) nk vikilalamika kuwa hawakushinda kwa sababu ya hujuma za kuibiwa kura. Kwa uongozi wa Serikali wenye imani juu ya uislamu kipindi cha mfungo wa Ramadhan huwa ni mwezi wa toba na kumrudia...
  2. S

    Mwezi mtukufu wa Ramadhan ndio maisha ya kuishi kila siku

    Kila inapofika mwezi wa Tisa kwenye karenda ya Kiislam (hijria), Waislam ulimwengu mzima uingia kwenye mfungo wa Ramadhani. Huu ni mwezi ambao, tumefaradhishiwa Swaum na MwenyeziMungu kama tunavyosoma kwenye aya hii: "Enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga (swaumu) kama walivyolazimishwa...
  3. Webabu

    Netanyahu apata kiwewe cha vita.Ataka vita vimalizike Rafah kabla mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Mashinikizo ya vita yameanza kumuelemea waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu na kuanza kuona dalili mbaya mbele yake. Marekani mbali na kutofautian naye katika sera za kivita vile vile imesimamisha misaada kifedha katika wakati ambapo uchumi wa Israel unadidimia kiasi kwamba bondi za miamala...
  4. JanguKamaJangu

    Daktari kesi ya Afande Rama asema baada ya vipimo amebaini kuna uwazi sehemu za siri za nyuma za mshtakiwa

    Shahidi namba moja Dkt. Fahad Nassor Mohammed katika kesi namba 59 ya Mwaka 2023, inayomkabili Mshtakiwa Ramadhan Hassan Ali ambaye anashtakiwa kutenda makosa mawili ikiwemo kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na kosa la pili la maudhui ya king’ono ametoa ushahidi wake mbele ya Mahakama ya...
  5. R

    Huu ni mwezi mtukufu, natabiri Rais Samia atachukua point zote tatu atakapoulizwa kuhusu ndoa za jinsia moja

    Huu ni mwezi WA toba Kwa Wakristo na Waislam; Ni mwezi ambao Tanzania inategemea kupata ugeni wa Makam wa Rais wa USA na moja ya Jambo linalosumbua katika safari yake ni hoja ya mahusiano ya jinsia moja. Hatuna shaka kwamba Mhe. Rais wetu atakutana na swali linalohusu msimamo wa Tanzania kama...
  6. L

    Waislamu wa Xinjiang wanavyotekeleza ibada ya Kufunga mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa uhuru

    Wiki iliyopita Waislamu zaidi ya bilioni moja kote duniani walianza kutekeleza nguzo ya nne ya Uislamu ambayo ni kufunga mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Katika nchi mbalimbali duniani ikiwemo China, ndani ya kipindi hiki Waislamu hutekeleza imani yao kwa uhuru bila kubanwa. Kwa hivyo kwa wale ambao...
  7. T

    Kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani, Saudi Arabia imepiga marufuku matumizi ya vipaza sauti misikitini.

    Kuelekea mwezi mtukufu wa ramadhani unaotarajia kuanza tarehe 22 mwezi huu, Saudi Arabia imepiga marufuku matumizi ya vipaza sauti na matangazo ya mahubiri misikitini. Soma hapa...
  8. Pascal Mayalla

    Amri Kuu ni Upendo. Kwaresma Hii na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Watanzania Tupendane, Tuonyeshane Upendo Kama TotalEnergies Inavyofanya

    Wanabodi, Hii ni Makala ya Kwa Maslahi ya Taifa NIpashe ya leo. Safu ya Kwa Maslahi ya Taifa, inazungumzia jambo lolote lenye maslahi kwa taifa liwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii, kwa vile sasa tumeingia kipindi cha Kwaresma, mfungo wa siku 40 kwa ndugu zetu Wakristo na mfungo wa mwezi...
  9. L

    Waislamu wenyeji na wageni nchini China wakaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Ramadhan ni mwezi wa Baraka kwa Waislamu wote duniani. Katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhan, Waislamu wanafunga na kusali ili kuomba msamaha kwa Mungu wafutiwe dhambi zao. Kawaida kila mwislamu duniani anajiandaa mapema kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Waislamu wa China nao...
  10. JanguKamaJangu

    Kanuni za Bunge baadhi zatenguliwa kutokana na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    KANUNI ZA BUNGE ZATENGULIWA KUPISHA MFUNGO Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetengua Kanuni kwa ajili ya kuruhusu Mfungo wa Mwezi wa Ramadhan ambapo mabadiliko hayo yataendelea hadi mwisho wa mfungo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, George Simbachawene amewasilisha hoja hiyo...
  11. C

    Wanawake jiongezeni kwenye kuandaa futari ya Mwezi huu Mtukufu

    Wake wa mikoani ni wazuri kitabia ila ni chagamoto katika mapishi kwenye mwezi kama hu wa Ramadhani. Workmates wangu wamefunguka jana kwamba wake zao hawajui kuanda futari ya kufuturu mwezi hu mtukufu, alie anzisha mjadala alisema ana acha hela ya kutosha nyumbani ila mke wake hajui kuanda...
  12. Mohamed Said

    Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa Miaka yote

    Nawatakeni radhi wasomaji wangu kwa kuandika kwa Kiingereza na Kiswahili: RAMADHANI IN DAR ES SALAAM THROUGHOUT THE YEARS ''Leo Chungu Tatu Ramadhan 1436 Dhuhr imenikuta Ubungo/Mandela. Takbir za sala nazisikia zikirindima kutoka vipaza sauti lakini msikiti wenyewe siuoni. Nikauliza na...
  13. Kichwa Kichafu

    Maisha baada ya mfungo wa mwezi Ramadhan

    Habari. Ramadhan Kareem! Amani iwe nanyi nyote. Ni imani watu walikuwa na mfungo wa Ramadhan wa kheri kabisa toka mwanzo hadi siku ya kesho tunategemea watamaliza na kheri pia. Kipindi chote cha mfungo watu walikuwa wenye kujizuia na maovu kwa kadiri ya uwezo wa Mungu alivyomjalia mtu...
Back
Top Bottom