Marubani wa ndege za Urusi ambazo zilifanya jitihada za kutambua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokuwa ikifanya kazi ya upelelezi kwenye Bahari Nyeusi wameteuliwa na kupewa tuzo za heshima, Wizara ya Ulinzi ilitangaza Ijumaa. Waziri wa Ulinzi wa Urusi Sergey Shoigu "amewapa tuzo ya...
Mzee baba Putin alitumia nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba analifagilia mbali kabisa jeshi la Ukraine kwenye ardhi ya Donbass na kherson akilenga kuwasaidia raia wanaoishi maeneo hayo ambao wengi wao ni wa asili ya Kirusi.. baada ya kufanikisha hilo hakutaka tena kuendele kutumia nguvu...
Waziri wa ulinzi wa Urusi sergey shoigu ametangaza rasmi kuwa jeshi la urusi kwa kushirikiana na wanamgambo wanaotaka(waliojitenga tayari) wa Luhansk na Donetsk wamefanikiwa kulikomboa jimbo la mwisho kabisa ndani ya donbass lililokuwa likishikiliwa na wapiganaji wa Ukraine. Kukombolewa kwa...
Ukraine imeishutumu Urusi kwa kupanga kufanya gwaride la kijeshi la 'Siku ya (mashujaa) katika mji uliotekwa wa Mariupol tarehe 9 Mei kusherehekea ushindi dhidi ya Wanazi katika vita vya pili vya dunia, AFP inaripoti.
Idara ya upelelezi ya kijeshi ya Ukraine ilisema afisa kutoka utawala wa rais...
Wana JF tumekuwa wachangiaji wazuri sana wa mijadala juu ya vita inayoendelea huko ulaya kati ya mafahari watatu yaani Urusi, NATO na Ukraine.. mpaka tumefikia hatua tunabishana as if ni simba na yanga... yaani hata timu iwe mbovu hatuachi kuunda sentensi zenye propaganda nyingi ili mradi tu...
Rais mzee baba Vladimir Putin ameonya vikosi vya nje dhidi ya kuingilia mzozo wa Ukraine, na kuahidi jibu la "kasi ya umeme" kwa vitendo kama hivyo, huku akiahidi kutumia siraha zenye matumizi ya juu zaidi za Moscow. "Iwapo mtu ataamua kuingilia kati matukio yanayoendelea kutoka nje na kuunda...
Taratibu maji na mafuta vimeanza kujitenga..
Hii ni baada ya Slovakia kukubali rasmi kufanya malipo ya gesi kwa mfumo wa rubble kama Russia inavyotaka iwe.. wamesema hawawezi kumpoteza Russia ambaye ni supplier mkuba wa gesi katika nchi yao.. Slovakia inategemea gesi kutoka urusi kwa zaidi ya...
Afisa mkuu wa ulinzi wa Urusi anasema "hatua ya kwanza ya mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yamekamilika" Juhudi sasa zinaweza kulenga "ukombozi wa Donbass,"
source RT News
Russia claims ‘first stage’ of Ukraine offensive complete
Efforts can now be focused on...
Do you wish to be competent organizational fundraiser?
or
Do you inspire to be the best on project proposal writing?
or
Would you like to be a good project manager with competent knowledge on organizational fundraising?
If yes!!!!
Please call 0765 468 613 or inbox to get more...
Kikosi hicho kimeongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Francis Ndulane pamoja na wachezaji 20, watu sita kutoka benchi la ufundi wakiongozwa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems na viongozi watatu wa klabu.
Kikosi cha Simba kilichopaa kuelekea nchini Zambia ni:
Makipa: Aishi Manula, Deo...
Watalaam wa madini naomba mnisaidie kujua aina hii ya madini. Mi ninayo muda mrefu ndan. Kila nikijaribu kuuliza kwa kila mtu sipati jibu la uhakika na je kama ni madini wanauza wapi ili nikatafute Mavumba wakuu.
Laptop aina ya DELL inauzwa ipo kwenye kiwango kizuri sana
kwa mwenye kuhitaji naomba uni pm au piga/tuma sms kwenye number 0762023292.. mniwie radhi kwa kukosea heading.. lakini namaanisha Laptop
Mimi ni mjasiliamali ambaye baada ya kumaliza masomo ya elimu ya juu, niliamua kufungua kampunu ya kibiashara inayohusiana na masuala ya (BUSINESS TRAINING, PROMOTION AND ADVERTISEMENT). wazo hili lilikuja baada ya kusota saana mtaani kutafuta kazi bila mafanikio. bahati nzuri nikafanikiwa...
Naomba msaada wadau:
kuna tafiti nafanya juu ya matumizi sahihi ya internent kwa wafanyabiashara, watoa huduma za kijamii na watu binafsi kwa hapa Tanzania. katika taarifa hii nataka kujua kituo kinachokusanya taarifa zifuatazo:
a) gharama za kuanzisha internet na blogs mbalimbali
b) kujua...
katika hali isyokuwa ya kawaida Mheshimiwa naibu waziri wa fedha na kada maarufu wa CCM Mwigulu Lameck Nchemba amehudhunishwa sana na mahudhurio hafifu ya wafuasi wa CCM na wakazi wote kwa ujumla wa biharamulo wakati alipofanya mkutano wa kuhitimisha ziara yake ya kukipigia chapuo chama chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.