Lema awaone wanasheria wake.
Ndugai amekiuka maadili ya kazi kati ya muajiri na muajiriwa. Ni siri vitu vilivyoko kwenye faili ya
muajiriwa, muajiri akaviweka hadharani.
Kwa ukiukwaji huu, Lema afungue kesi ya madai kwa kudhalilishwa ikibidi adai 10b kama anavyodai
Membe.
Ndugai amekiuka maadili ya kazi kati ya muajiri na muajiriwa. Ni siri vitu vilivyoko kwenye faili ya
muajiriwa, muajiri akaviweka hadharani.
Kwa ukiukwaji huu, Lema afungue kesi ya madai kwa kudhalilishwa ikibidi adai 10b kama anavyodai
Membe.