edgar lungu

Edgar Chagwa Lungu (born 11 November 1956) is a Zambian politician who has been the President of Zambia since 25 January 2015. Under President Michael Sata, Lungu served as Minister of Justice and Minister of Defence. Following Sata's death in October 2014, Lungu was adopted as the candidate of the ruling Patriotic Front in a Convention of the Patriotic Front in Kabwe, for the January 2015 presidential by-election, which was to determine who would serve out the remainder of Sata's term. In the election, he narrowly defeated opposition candidate Hakainde Hichilema and took office on 25 January 2015.
Lungu was elected to a full presidential term in the August 2016 election, again narrowly defeating Hichilema. Hichilema initially disputed the election result and filed a case at the Constitutional Court to nullify the result. On 5 September, however, the court dismissed the case. Lungu was sworn in for his first full term on 13 September 2016.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Mama wa Taifa Zambia ashitakiwa kwa tuhuma za wizi

    Kesi dhidi ya aliyekuwa Mama wa Taifa wa Zambia Esther Lungu, mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu, imeanza mjini Lusaka. Anashitakiwa kwa tuhuma za wizi wa magari matatu, wizi wa hatimiliki ya mali huko Lusaka na kupatikana na $400,000 zinazodaiwa kuwa mapato ya uhalifu. Anakabiliwa...
  2. BARD AI

    Zambia: Edgar Lungu apigwa marufuku kufanya mazoezi hadharani akidaiwa kuendesha Kampeni

    Jeshi la Polisi limemuonya Edgar Lungu kutokana na utaratibu wake wa kufanya matamasha ya Mazoezi hadharani huku likieleza kuwa Kiongozi huyo amekuwa akitumia matamasha hayo kuendesha ajenda za Kisiasa. Taarifa ya Polisi imesema Lungu amekuwa akiambatana na wajumbe wa Chama chake cha Patriotic...
  3. BARD AI

    Rais Mstaafu Edgar Lungu aishtaki Serikali kwa kumzuia kusafiri

    Rais Mstaafu wa Zambia, Edgar Lungu amefungua mashtaka hayo akidai Mamlaka za Nchi hiyo zilimzuia kwenda Nchini Korea Kusini kwaajili ya kuhudhuria Mkutano wa Amani. Amesema alikutana na pingamizi la safari yake na kushushwa kutoka ndani ya Ndege huku akitajiwa sababu ni kutaka kusafiri bila...
  4. The Sheriff

    Rais Edgar Lungu awaaga Wazambia wakati Hakainde Hichilema akienda kuapishwa kuwa Rais wa 7 wa Zambia, leo Agosti 24 2021

    Ikiwa leo ndiyo siku anayoapishwa Hakainde Hichilema kuwa Rais wa 7 wa Zambia, Edgar Lungu kupitia mitandao ya kijamii (hii imetoka ukurasa wake wa Instagram) amewaaga wananchi wa Zambia na kumtakia kila la kheri Bw. Hichilema. Chini ni tafsiri ya andiko lake katika lugha ya Kiswahili...
  5. Erythrocyte

    CHADEMA yampongeza Rais mpya wa Zambia, Hakainde Hichilema kwa ushindi wa kishindo

    Siku zote kukiwa na Katiba ya Wananchi na Tume huru ya Uchaguzi kila kitu kitafanyika kama watavyotaka wenye nchi ambao ni wananchi wenyewe . Hiki kilichofanyika Zambia ndio kimepelekea CHADEMA kuamua kummiminia pongezi Rais Mteule Haikainde Hichilema
  6. Father of All

    Rasmi sasa Edgar Lungu ni rais mstaafu

    Wanangu wana jamvi. Sasa rasmi. Zambia kimeumana na Edgar Lungu amebwagwa vibaya. Kwa habari zaidi BONYEZA HAPA.
  7. mkulima gwakikolo

    Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

    Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia! ====== Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or...
  8. Erythrocyte

    Zambia: Ofisi za chama cha Edgar Lungu cha PF zaanza kushambuliwa na wananchi

    Hii ni baada ya Taarifa kuanza kuzagaa nchini humo kwamba Rais huyo anayemaliza muda wake kutoka chama cha Patriotic Front ameangukia pua . Edgar Lungu Rais aliyejipa utukufu wa kimungu kwa kupenda kuabudiwa kama walivyo Marais wengi duni wa Nchi za kiafrika, anayesifika kwa kuleta umasikini...
  9. R

    Waafrika wamelaaniwa: Hichilema utafanya yaleyale ya Lungu ya kuonea Wapinzani

    Ni wazi mgombea wa upinzani nchini Zambia atatangazwa mshindi. My concern is: Historia inatukumbusha kuwa Hichilema aliwekwa ndani na Lungu kwa kumpa kesi ya kumbambikia ya Uhaini. Mahakama ikamweka huru. Kwa akili za Waafrika tulivyolaaniwa, huyu mteule Hichilema atafanya hayo hayo kwa...
  10. Informer

    Zambia President Edgar Lungu collapses after 'sudden dizziness'

    Sunday, June 13, 2021 Zambia President Edgar Lungu collapsed in the capital, Lusaka, during a national defence day event on Sunday, local media reported. Shortly after, Secretary to the Cabinet, Dr Simon Miti, issued a statement to reporters and the State TV, assuring the local public and...
  11. palalisote

    Zambian President Edgar Lungu rushed to hospital after collapsing in capital

    Zambian president rushed to hospital after collapse Zambia's President Edgar Lungu collapsed on the podium while presiding over a Women's Day celebration in Lusaka - less than two months after taking over from a leader who died in office. Lungu was rushed to a military hospital on Sunday, but...
Back
Top Bottom