Mama wa Taifa Zambia ashitakiwa kwa tuhuma za wizi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Kesi dhidi ya aliyekuwa Mama wa Taifa wa Zambia Esther Lungu, mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu, imeanza mjini Lusaka.

Anashitakiwa kwa tuhuma za wizi wa magari matatu, wizi wa hatimiliki ya mali huko Lusaka na kupatikana na $400,000 zinazodaiwa kuwa mapato ya uhalifu.

Anakabiliwa na kesi pamoja na maafisa wawili wa polisi.

Shahidi aliiambia mahakama Jumatatu kwamba Bi Lungu alichukua kwa nguvu gari lake na hati miliki ya nyumba yake pamoja na magari mawili ya binti yake.

Aliongeza kuwa maafisa wa polisi walioshtakiwa waliwalazimisha kutia sahihi hati za mali hizo kwa Bi Lungu.

Bi Lungu na washtakiwa wenzake walikanusha makosa walipokamatwa kwa madai ya makosa hayo mnamo Septemba.

=============

Trial against Zambia’s ex-first lady Ms Lungu begins

ZAMBIA: A trial against Zambia’s former first lady Esther Lungu, the wife of ex-President Edgar Lungu, has begun in Lusaka.

She has been charged with the theft of three vehicles, theft of a title for a property in Lusaka and possession of $400,000 (£317,000) alleged to be proceeds of crime.

She is on trial alongside two police officers.

A witness told the court on Monday that Ms Lungu forcefully took her car and the title deed of her house as well as two cars belonging to her daughter.

She added that the accused police officers coerced them into signing over the documents of the properties to Ms Lungu.

Ms Lungu and her co-accused denied wrongdoing when they were arrested over the alleged offences in September.

Source: BBC
 
Kama nikweli basi ni aibu kwa taifa , pamoja na yote Zambia wanajitambua sana
 
Kesi dhidi ya aliyekuwa Mama wa Taifa wa Zambia Esther Lungu, mke wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Edgar Lungu, imeanza mjini Lusaka.

Anashitakiwa kwa tuhuma za wizi wa magari matatu, wizi wa hatimiliki ya mali huko Lusaka na kupatikana na $400,000 zinazodaiwa kuwa mapato ya uhalifu.

Anakabiliwa na kesi pamoja na maafisa wawili wa polisi.

Shahidi aliiambia mahakama Jumatatu kwamba Bi Lungu alichukua kwa nguvu gari lake na hati miliki ya nyumba yake pamoja na magari mawili ya binti yake.

Aliongeza kuwa maafisa wa polisi walioshtakiwa waliwalazimisha kutia sahihi hati za mali hizo kwa Bi Lungu.

Bi Lungu na washtakiwa wenzake walikanusha makosa walipokamatwa kwa madai ya makosa hayo mnamo Septemba.

#####

Trial against Zambia’s ex-first lady Ms Lungu begins

ZAMBIA: A trial against Zambia’s former first lady Esther Lungu, the wife of ex-President Edgar Lungu, has begun in Lusaka.

She has been charged with the theft of three vehicles, theft of a title for a property in Lusaka and possession of $400,000 (£317,000) alleged to be proceeds of crime.

She is on trial alongside two police officers.

A witness told the court on Monday that Ms Lungu forcefully took her car and the title deed of her house as well as two cars belonging to her daughter.

She added that the accused police officers coerced them into signing over the documents of the properties to Ms Lungu.

Ms Lungu and her co-accused denied wrongdoing when they were arrested over the alleged offences in September.

Source: BBC
Ya samia na bandari yatakuja tu na tulia wake
 
Back
Top Bottom