Hawa wamanga wanatuchukulia poa Siku ya kuondoka tulipandishwa kwenye Ngalangala (chata la Oman Air) siti mbovu, in-flight entertainment hamna, Ila Doha-New York full chuma, siku narudi nako DOHA-Dar full kangafu limepauka mpaka rangi. Hii Imekaaje?
1. Katibu Mkuu (Afisa Mtendaji Mkuu/CEO) ndie atakayeratibu zoezi la kupata wagombea nchi nzima.
2. Apatikane Kiongozi Makin, mtulivu, Msomi na mwenye uzoefu katika Siasa na uongozi.
NB: Akitokea Zanzibar (sehemu ya Muungano) sio dhambi.
Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Sasa unaweza ukawa unauliza kitu simple tu kwa wife (mfano ikiwa kakuandalia nguo za safari, Kama ameweza kwenda kufuatilia ulichomuagiza asubuhi).
Aisee yatamtoka maneno Hadi unajuta kuuliza hata Kwa nini ulioa.
NB: vijana chukueni tahadhari msije kukumbatia...
Niwe mkweli mikutano hii ya injili ilibadili maisha ya wengi tena baadhi waliacha uovu na kumrudia Mungu. Leo hii viongozi wetu wa DINI hawana hii mikutano mikubwa ya INJILI ya kuwaleta watu wamjue Mungu. Kwa nini?
NB: Tulijaa kwa maelfu pale uwanja wa JANGWANI miaka ya 1991-1994.**
RIP...
Ikiwa unataka kujionea kwa wingi Landcruiser V8 tembelea jijini Dodoma, kila baada ya dakika 2 Lazima upishane na chuma jipya V8 LC300
NB: Kama biashara Toyota wameuza hapa Dom aisee
Wakuu katika kuzunguka mtandaoni nimepata Suzuki Escudo 2700cc, MT, japo Bei imechangamka Ila naimudu. Mwenye kujua gari tajwa anishauri kabla sijatuma pesa. Asanteni
Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi).
Wakati...
Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.
Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda...
Kutokana na jinsi Taasisi (tajwa) inavyoendeshwa, naona uhai wake upo shakani, Ni hivi karibuni Mkurugenzi Mtendaji wa TTB amesikika akisisitiza Watalii/Watanzania watembelee Israel, unabaki kujiuliza ameshindwa kuwaalika watalii toka Israel na kwingineko kuja kutembelea Tanzania, sasa amekuwa...
Wandugu nimekaa kwa muda wa miaka 4 Nchini Afrika Kusini, ni ngumu kukuta mwanaume/mwanamke Ngozi nyeusi (black) akiwa na mahusiano na mzungu/kaburu? Mwenye kujua tafadhali.
Kiukweli sisi ngozi nyeusi tunahitaji kuanzisha viwanda kwa wingi maana iweje kila kitu tunaagiza toka kwa ngozi nyeupe. Sasa ni zamu yao kuagiza magari, nguo,Na mashine toka kwetu.
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya ziada kuishi nao wengi wana upeo wa chini sana na wasahaulifu kupitiliza.
Hivyo kijana usipokuwa...
natafuta gari tajwa (NOAH LITEACE (Old model) au PROBOX VAN kwa bei kuanzia 8.5m mpaka 9.0m kulingana na ubora wa gari (haina dalali MUUZAJI ndio awe mmiliki wa gari). MAWASILIANO 0712212299.
Dear JF Members!
Would love to share with Madiba's speech delivered when he accept Honorary Doctorate at Havard University way back 1998. https://www.youtube.com/watch?v=5Zh8otC-c3s
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.