Wakuu hamjambo?!
Hivi nikivuta Suzuki Escudo nitakumbana na vipengele gani?
Kama kuna wakuu wanapinga Suzuki Escudo basi watoe maelekezo nichukue gari gani yenye size hiyo
Habari
Kwa mmiliki wa suzuki carry, nahitaji kukodi kwa malipo ya mwezi au uniuzie kwa malipo ya kila mwezi..
Tutaandikishiana na dhamana zipo.
Kama unayo unaweza kunichek DM tukaelewana.
Naishi Kigamboni, Dar es salaam
Suzuki Suzumar 290 Inflatable Boat ni boat ndogo iliyotengenezwa na kampuni ya Suzuki kwa ajili ya kazi za utalii,michezo ya uvuvi na familia kufurahia mazingira ya bahari au weekend. Boti hii inatumika kwenye mabwawa ya samaki kwa ajili kukagulia,kuvua na kwenye maeneo yenye mafuriko.
Boat hii...
Nina gari SUZUKI CARRY DC51T haina 4Wheel.
NAIKODISHA .
HESABU NI KILA SIKU !
Hii gari Ina Bomba ambazo unaweza kuzitoa au kuamua kuziacha.
NINA DEREVA wangu.
Mafuta juu yako
Na vibali vya kuingia mjini vyote juu yako.
Kuhusu Service ni juu ya nani Tuwasiliane ili Tuongee zaidi...
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
Wakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.
Wakuu habari za jioni!
Leo nilikuwa naperuzi kwenye mtandao nikakutana na hii gari aina ya SUZUKI LANDY. Kwa ufupi nimeipenda na nikasema nijichange hadi kufikia mwakani niinunue. Lakini cha kushangaza, hizi gari tanzania hazipo nyingi. Gari ina 1990cc na inatumia mafuta ya diesel lita moja...
Salaam wakuu,
Naomba mwenye uelewa na uzoefu wa magari haya, Mitsubishi outlender na Suzuki escudo, hasa kwenye utumiaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare parts bila kusahau uimara wake.
Asanteni.
NI gari flani zamani ukinunua Scania wanakupa kama nyongeza 😎..
.
Wadau wengi wamevinunua ili kufanyia biashara ya mizigo sasa basi ni vyema tukapata ABCD zake, maana usipovielewa vitakupasua kichwa..
.
Suzuki Carry imezaliwa toka Tanganyika inapata uhuru 1961 mpaka leo bado kinazalishwa and as...
Wakuu katika kuzunguka mtandaoni nimepata Suzuki Escudo 2700cc, MT, japo Bei imechangamka Ila naimudu. Mwenye kujua gari tajwa anishauri kabla sijatuma pesa. Asanteni
Haina tatizo lolote.
Gari ya kuwasha na Kuondoka baada ya Malipo.
Bei 4.million Net. Dalali unanipa elfu 15 tu ya Bando la Mwezi.
wahisha biashara achana na comments 0713096076
Gari iko poa haina shida yoyote.
Tairi mpya.
vioo vipya.
Gari ni ya kumwaga oil na hydrochloric tu.
tuwasiliane chap twende bandarini tukachukue gari
location: Bandarini Dar es salaam, 0713096076.
Get it now.
This machine is manually operated.
It has no any technical problems.
Not repainted at all.
located at kunduchi Dar es salaam.
Priced at 3.6million Tshs
come with your technician and get this drive.
Hotline: 0625750755
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.