Tanzania bingwa AFCON 2024

Labda siku ikianzishwa Afkoni ya majungu, figisu, ufisadi, upigaji dili, wizi wa kura, uchawa, kujipendekeza,

Ila siyo hiyo AFCON ninayoifahamu mimi. Huko tutaendelea kushiriki tu, badala ya kwenda kushindana! na pia tutaendelea kushika mkia kwenye kundi letu mara zote tutakapopata nafasi.
 
Back
Top Bottom