busara

Busara was a literary journal published quarterly by the East African Publishing House, and later biannually, by the English Department at the University of Nairobi. It was first published under that name in 1968, and became one of the most influential literary journals of its time in Kenya. Jared Angira became its editor in chief in 1969.Originally the journal was founded as Nexus, and four issues appeared in 1967 and 1968, but it was renamed in 1968: "Busara" means "wisdom" in Kiswahili. Awori wa Kataka and Richard Gacheche were its first editors under that name; the choice for a Kiswahili name was influenced by other publications doing the same thing at a time when there was broad discussion in newly-independent Kenya about a national language.Notable contributors and editorial staff included Taban lo Liyong, Grace Ogot, Adrian Roscoe, Angus Calder, and Ngũgĩ wa Thiong'o, Jared Angira, and Chris Wanjala.

View More On Wikipedia.org
  1. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Naiona hekima, busara, unyenyekevu na uzalendo mkubwa wa Rais Samia. Awe darasa kwetu sote

    Ukisikiliza hotuba za Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan, unaona ni hotuba zilizobeba uzalendo, hekima, unyenyekevu na busara ya Hali ya juu sana. Nimekuwa nikifatilia hotuba za Marais wa bara la Africa unaona kabisa wanakosa hekima, unaona kabisa hotuba zao zimejaa kubomoa hata jumuia zetu...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kuna ushauri ninauomba kutoka kwa baadhi ya watu wenye busara

    Mimi nipo mkoa Y, na Kuna mwanamke X ninampenda sana. Nimefanya sehemu yangu kumuelezea jinsi ninavyompenda na akakubali. Baada ya hapo nae niliona ameanza kunielewa akawa ananitafuta kila mara kunisalimia nami nikawa najituma kwake kwa namna fulani Lakini huyu mwanamke X baada ya muda mrefu...
  3. sergio 5

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kumshauri dogo naombeni busara zenu

    Dogo alipewa smartphone na dada wa rafiki yake ambaye ni mkubwa tu kaolewa na anafamilia kubwa. Sasa simu ya rafiki yake ilipoharibika ANAOMBWA hii aliyopewa kila muda na rafiki yake kama watukimi wote haombwi na alimpatia Kuna siku aliombwa akarudishiwa baadhi ya files zimefutwa je amumpe tu...
  4. Equation x

    JamiiForums Tanzania Tunawaheshimu wazee kwa sababu wamefikisha umri mkubwa, au tunawaheshimu kwa sababu wanakuwa na busara?

    Tunaamini vibaka, wezi, wahuni, na watu wasiokuwa na tabia njema, nao pia huzeeka. Je, katika uzee wao, huwa tunawachukuliaje, kuna cha kujifunza chochote kutoka kwao? Je ni sahihi kuwaheshimu?
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania mnacheka busara za mama 😅

    Kwa nini sikuhizi kila post ambayo inaonesha busara za Samia zinapata reaction nyingi za kucheka. Ni kama hamchukulii serious anachokisema. Sijapenda 😂😂
  6. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Busara za Idu: kwa nini pesa zinazotumika kuendesha kesi ya kipuuzi ya Lissu zisitengeneze madawati kwa ajili ya wanafunzi vijijini?

    Kwaza swali kubwa la msingi Lissu anashitakiwa kwa uhaini au kuchochea uchaguzi usifanyike? Kwamba alichochea vipi? Kwa watu kutazama video you tube na kuwafanya wakazuia uchaguzi kufanyika! Uhaini ni kosa kubwa kuliko yote hapa nchini. Alikuwa na majeshi ya kupindua nchi? Kama hakuwa na...
  7. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Icc msitumie nguvu kumkamata huyu kiongozi maana ni mzee. Mtumie busara na atii bila shuruti. Yasiwepo makabiliano kama Venezuela

    Naona hata yeye ameshajua kuwa ana wakati mgumu. Juzi amesikiika akiongea kwa unyonge kuwa mimi nitaondoka na watakuja wengine. Hakuna haja ya kutumia nguvu na kumpeleka Icc kama Rodrigo Durtete mumchukue taratibu msije mkatuletea matatizo mengine
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo lilianza pale mliposema kuwa Simbachawene ana uwezo mkubwa na Busara kuliko Mwigulu Nchemba

    Mlipomsifia tu kuwa Simbachawene anabusara na uwezo mkubwa wa kufanya shughuli za umma. Hapo ndipo yalianza matatizo
  9. U

    JamiiForums Tanzania Video: Laiti Bi Samia angesikiliza busara za aliyekuwa Waziri Mkuu wake Kassimu Majaliwa, yasingempata mabaya!

    https://youtube.com/shorts/fqV8YjqT4bg?si=-IfgOWOIcnYOg8Wh Maneno kuntu ya aliyekuwa PM In brief note: Kassimu Majaliwa: Madaraka hayalazimishwi. Mungu ndiye hupanga nani awe nani ktk kuongoza watu wake Kassimu Majaliwa: Hata ukilazimisha kupata nafasi hiyo, huwezi kupata kama Mungu hajasema...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Ona mwingine, eti naye huyu ana busara

    Mtavunjiwa heshima bure kwa ajili ya uroho wa kula na kunya! 1. Utekaji 2. Uuaji 3. Ufisadi 4. Kuiba uchaguzi 5. etc hivi havimvunjii mwalimu heshima. Bure kabisa mabichwa mazee makubwa hamna kitu
  11. T

    JamiiForums Tanzania CCM tumieni busara, mnaitumbikiza nchi shimoni

    Matamko ya juzi yameitenga kabisa Tanzania na Dunia Imefika hatua mpaka waafrica wenzetu ( Ghana ) wanatoa tamko kuhusu hali ya Tanzania, na sasa kidogo kidogo tumeenza kukataliwa nje ya Africa. Tukichelewa, tunaweza fika 2026 na jeraha ambalo litakua gumu au litachukua gharama kubwa...
  12. Moaz

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 BARUA YA WAZI: Sauti ya Busara katika wakati wa mgawanyiko

    Ndugu Watanzania, Katika kipindi hiki ambacho hisia zimepanda, sauti zimegawanyika, na tumaini limeanza kuyumba, tunalazimika kurejea kwenye msingi mmoja unaotufanya tuwe taifa: Amani, utu na busara. Leo, nchini mwetu zipo sauti nyingi. Serikali inaona inalinda utulivu. Wananchi wanaona...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Watawala wetu, Sililizeni Busara za Mwenyekiti wa Chadema Sumbawanga

    Msikilize. Sina sababu ya kuongeza maelezo. Kwa nia njema ya uzalendo
  14. Pakome

    JamiiForums Tanzania Changamoto zilizoikumba Tanzania zitatuliwe kwa kutumia Busara na Utamaduni wa Watanzania. Njia ya lawama itateketeza Taifa

    Nawapa pole Wananchi wote wa Tanzania, pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia mshtuko, simanzi na sintofahamu iliyotokana na matukio ya Oktoba 29, 2025. Tukio lile lilileta majeraha kwa nyoyo za Watanzania, likaibua hofu, maumivu na maswali mengi kuhusu mwelekeo wa...
  15. aleesha

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea

    Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea. Ni kweli tumeumbwa tofauti kila mmoja ana namna yake ya mihemuko na hasira lakini tuangalie hasara za baadae ambazo tutakuwa tumeziumba sisi wenyewe kutoka kwenye Vinywa vyetu...
  16. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Ansbert Ngurumo (Video): Mlipata wapi kura 32,000,000 za Samia?

    https://youtu.be/a3x3e1QFasQ?si=WxGatqMY68D7RZ8v Hili ni swali la Ansbert Gurumo kupitia Youtube Channel yake (SK Media Online TV) Na huyu hapa 👇🏻👇🏻ni mmoja wa watazamaji wake waliotoa maoni yake akijitambulusha kuwa yeye alikuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura huko Shintanga, Manispaa ya...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Kosa na Mama Samia ni kupuuza wazee sasa nani atakuongelea! mwenye busara

    Kosa na Mama Samia ni kupuuza wazee sasa nani atakuongelea! mwenye busara. wazee kama Warioba na Kimiti wangeweza kuongea na kunyamazisha vijana lakini dharau na kejeli za viongozi wa CCM na ubinafsi wa Raisi Mstaafu Kikwete sasa nchi haina mtu mmoja wa kuongea na kusikilizwa mwenye busara...
  18. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Busara zake zimetufikisha hapa tulipo

    Ulikuwa mtu mwema kipindi cha uongozi wako, lakini leo watanzania wanakulilia. Umeiuza nchi kwa majambazi.Watanzania wanakufa, wanateswa sababu uliamua hawa wahuni wapewe nchi.
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Mzee Butiku , Kwa Maoni yako unayohisi yana Busara, nini Hatima ya Watanzania kuanzia 2026 ikiwa Samia ataendelea?.

    Nini Hatima ya Waliotekwa na Kufungwa na kuuwawa?. Nini Hatima ya Vyama vya siasa hasa CHADEMA ? Ni Hatima ya Tundu LISSU ?. Nini Hatima ya Walio, wanao na watakaoendelea kuikosoa Serikali Kwa namna mbovu inavyoendesha Nchi?. Nini Hatima ya Wazalendo ambao wanahitaji kuhakikisha...
  20. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wachinjanji wa wanyama, si busara kuchinja mnyama wengine wakiangalia mwenzao akichinjwa

    Nimesikitika sana kuona unyama wanaofanyiwa wanyama na wachinjaji wa Ng'ombe. Nimeona jamaa wakichinja huku Ng'ombe wengine wakiangalia ajabu kuna Ng'ombe walikuwa wanahalisha na kulia machozi kabisa wengine wakikojoa. Hakika nimejifunza kitu siku zote nilijua wanyama hawana akili kumbe wanazo...
Back
Top Bottom