Spika.
Ikitokea ni Spika hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya maradhi ya mwili au ya akili, then Ibara ya 84(7)(d) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 itatumika, baada ya utaratibu wa kidakitari kuthibitisha afya ya akili ya Spika, then Kanuni ya 134, Fasili ya 1, 2, 3, 4, 5 na 6 za Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007 zinaelezea namna ya kumwondoa madarakani Spika wa Bunge. Mwana jf mwenzetu, Wakili Msomi, anatufafanulia zaidi
https://www.jamiiforums.com/threads...-tanzania-anaondolewa-hivi-madarakani.399756/
mtaumia sana
mmeichoknoaweeeeee ili wasikomenti kitu