Lakini watanzania wamekuwa wepesi kudai haki pasipo kutimiza wajibu. Tunataka watanzania tutimize wajibu wetu wa kikatiba wa kuandika mawazo yetu. Kila wazo ulilokuwa nalo lina mshiko kwa sababu kila aliefanikiwa amejipanga.❤❤❤
Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (82), amezuiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Kusini ili asigombea Ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 29 Mei 2024. Mh. Jacob Zuma alitaka kugombea kupitia uMkhontho weSizwe (MK), chama kipya kilichosajiliwa karibuni kikitumia jina la Jeshi la msituni...
Sina sababu ya kueleza mengi sna kuhusu Elimu na investment kwa kuwa kila mahali yanazungumzwa na kurudiwa rudiwa. Lakini watu wote wanasahau element muhimu sana ya network.
Network ni namna ambavyo unajijenga ndani ya kundi muhimu la marafiki, washirika, alumnus mbalimbali na ata wale wa...
Anaandika Mohamed Msangi, Mtanzania anayeishi SA
__________
Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu, Mtanzania mwezetu Michael aka Mike mzaliwa wa Kinondoni. Mwaka 1999 Mike alihamisha makazi yake kutoka Tanzania kuelekea Mozambique akijishughulisha na biashara mbalimbali zikiwemo...
1. Reli ya Kwanza Tanzania Bara - Tanga 1893.
2. Shule ya kwanza ya Sekondari- Tanga 1890 (Tanga Old School).
3. Shule ya Kwanza (Anglikana) Tanzania 1848 - Tanga Magila Muheza.
4. Taasisi ya Kwanza ya Utafiti wa Malaria Duniani - Tanga Muheza, Ubwari 1949.
5. Hospitali ya Kwanza (1st Modern...
(....Usipite bila Kusoma......)
1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini.
2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama...
Fundi huyu maskini alikuwa akichumbiana na msichana huyu mrembo mtandaoni. Siku moja msichana huyo alimwomba amtumie nauli ili aje kumtembelea.
Fundi kijana alishangaa mno. Alidhani msichana huyo atamdanganya. Hakuamini msichana mrembo namna hii angetaka kuja kwake.
Siku mbili baadaye...
Kampuni maarufu duniani ya kusafirisha vufurushi ilianzishwa Mwaka 1969 na vijana watatu ambao walianza biashara ya kupeleka vifurushi mlango kwa mlango katika mji wa Plymouth Duster ya zamani huko Uingereza na taratibu milango isiyo na kifani ikaanza kufunguka!
Adrian Dalsey, Larry Hillblom...
Isikilize clip ya CDF mstaku hafu Gen. Mabeyo lkihusu ushuhuda wake zile saa za mwisho kabla mpendwa wetu hayati hajalala kuzimu mautini. Gen. Mabeyo kuna vipande kaviongea kwa hisia na maumivu makali kiasi cha kushindwa kuzuia machozi.. Imagine mtu kama yeye afikie mahali apate hisia za maumivu...
Kuna vituo vya mafuta lakini havina mitaji hivyo ukiwa na mobile fuel truck unaenda depo unanunua jumla kisha unaenda ku supply kwa mali kauli.. Faida yako ni Tsh 100 kwa lita..
Asubuhi unasambaza lita zako 3000 jioni unakusanya hela zako.. Kwa mzigo wa lita 3000 faida ni Tsh 300,000.. Fanya...
Daladala officially zinatakiwa mainroads wakati bajaj zinapaswa kuwa kwenye feeder roads na maeneo ambalo daladala hazifiki... Kuchanganya zote barabara kuu ni kutaka kuleta mvurugano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.