Maisha ya baadaye ya watoto wetu yanahitaji wawe na Elimu, network na investment

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,929
Sina sababu ya kueleza mengi sna kuhusu Elimu na investment kwa kuwa kila mahali yanazungumzwa na kurudiwa rudiwa. Lakini watu wote wanasahau element muhimu sana ya network.

Network ni namna ambavyo unajijenga ndani ya kundi muhimu la marafiki, washirika, alumnus mbalimbali na ata wale wa Masikini kabisa wa mtaani.

Network haipaswi kubagua aina fulani ya Elimu au vyeo, hii ni Sehemu ambayo wanakosea wasomi wengi wakiamini unatakiwa kuwa na marafiki wa level yako ya Elimu au fedha.

Kimsingi kundi la wasomi ata ukiwa na msiba mathalani, watatuma michango mikubwa lakini Utakutana nao kinondoni makaburini wakiwa wamechelewa ata kufika, wale masikini watalala nje siku tatu wakiimba na kuwafariji. Ni muhimu sana kuwa na network yenye mchanganyiko wa watu kwa kuwa wote ni bora kwa wakati na mahali pake.

Nachotaka kusema Leo ukiwa mzazi unawajibu wa kumsaidia Mwanao kujenga netwok ya maisha ya baadaye. Usimtenganishe na Dunia kwa kuwa unaweza kumpa kila kitu, kwa kuwa Dunia yako kama Mzazi ni robo ya Dunia atakayowahitaji wenzake:

1. Lazima acheze na watoto wa mtaani kwake ata kama hawana viatu. Viatu ni jambo la muda na kupita.

2. ⁠Unapompitia Shule hakikisha watoto anaosoma nao na wako mtaani kwako huwaachi, wabebe Wote urudi nao kwemye gari, Mafuta yanabakia yaleyale, hawa watakuwa ndugu zake wakati wewe haupo duniani.

3. ⁠uUsijisikie vibaya kumsubiri dakika 10 rafiki yake anayekaribia kutoka darasani . Wao watamsubiri miaka 10
Kwenye maisha hapo baadaye.

4. Wajue kwa Majina kadri unavyoweza Marafiki zake, wajue progress yao, wakiwa wanaumwa Mpe nafasi akawasalimie, utamjengea Bond kubwa kwenye maisha yake ya ukubwani.

5. ⁠Akiingia Darasa jipya, awaangalie watoto wenzake wasio na uwezo mkubwa, awape vitabu vyake watumie kusoma badala ya kuacha vinaharibika Ndani, kuna siku akiwa na miaka 40 kuna mwenzake Ofisini atamuonyesha kitabu Chenye jina lake alichompa. Watu wasio na uwezo wanajua kutunza vitabu.

6. ⁠Mfundishe kujali watoto wenzake na akushirikishe changamoto zao. Kuna wengine wanahitaji msaada.

7. ⁠Usiogope wala kusita kuchukua hatua anapokujuaza changamoto za mtoto mwenzake zilizo Ndani ya uwezo wako.

8. ⁠Once in a while, pita kwenye play ground yao. Waangalie ata kwa dakika 10 na kuwapongeza kwa Michezo yao. Watakukumbuka daima.

9. ⁠Wakumbushe watoto wote kuwa kila mmoja Ana nafasi ya maisha bora hapo baadaye, wawe watoto wema daima.

10. ⁠Akihama Shule, hakikisha anawaaga wenzake na kuwaambia ipo siku wataonana Tena . Asiondoke tu ghafla ata kama ni darasa la kwanza . Ina kumbukumbu sna baadaye wakiwa watu wazima.

Kumbuka mtoto mwenye networks ni tajiri wa maisha Kama tajiri mwingine. Akiwa na Shida ofisi yeyote anakuta Marafiki, akiwa na biashara anakuta kundi la wateja na akiwa mwanasiasa anakuta kundi la supporters.
 
Hapa moja Kwa moja napeleka lawama Kwa kina mama ndio wanaowaharibu watoto wa leo, hawataki wapate changamoto yoyote ya kimaisha kisa mna Mia mbili tatu ya kubadili mboga na kulipa school fees private school.

Huwa haiingii akilini mtoto amesoma private from nursery bado high school unalipia private school halafu University anakutana na walewale wa Kayumba na Wana hasira na maisha.
 
Hapa moja Kwa moja napeleka lawama Kwa kina mama ndio wanaowaharibu watoto wa leo, hawataki wapate changamoto yoyote ya kimaisha kisa mna Mia mbili tatu ya kubadili mboga na kulipa school fees private school.

Huwa haiingii akilini mtoto amesoma private from nursery bado high school unalipia private school halafu University anakutana na walewale wa Kayumba na Wana hasira na maisha.

private schools zinalegeza sana watoto. pia zinawadanganya wanajiweka status ambayo sio yao
 
Hapa moja Kwa moja napeleka lawama Kwa kina mama ndio wanaowaharibu watoto wa leo, hawataki wapate changamoto yoyote ya kimaisha kisa mna Mia mbili tatu ya kubadili mboga na kulipa school fees private school.

Huwa haiingii akilini mtoto amesoma private from nursery bado high school unalipia private school halafu University anakutana na walewale wa Kayumba na Wana hasira na maisha.
Hii changamoto nakumbana nayo sana hapa nyumbani.....ila mama yao nimemnyoosha sana katika hili, majamaa nilikuwa nayapeleka mwenyewe shule ghafla nikakatisha wakawa wanapiga by foot kwa vile shule ipo karibu na home wakawa wanakuja wanajiliza kwa mama yao eti wanachoka, mama yao akanambia nikamkataa, mama yao kwa siri akamtafuta boda boda awe anawapeleka, mwamba nikapata taarifa nikapiga marufuku kwa mkwara mzito sana. Sasa hvi ni mwendo wa kuprint na wenza hadi wamezoea saafi kabisaa.
 
Sina sababu ya kueleza mengi sna kuhusu Elimu na investment kwa kuwa kila mahali yanazungumzwa na kurudiwa rudiwa. Lakini watu wote wanasahau element muhimu sana ya network.

Network ni namna ambavyo unajijenga ndani ya kundi muhimu la marafiki, washirika, alumnus mbalimbali na ata wale wa Masikini kabisa wa mtaani.

Network haipaswi kubagua aina fulani ya Elimu au vyeo, hii ni Sehemu ambayo wanakosea wasomi wengi wakiamini unatakiwa kuwa na marafiki wa level yako ya Elimu au fedha.

Kimsingi kundi la wasomi ata ukiwa na msiba mathalani, watatuma michango mikubwa lakini Utakutana nao kinondoni makaburini wakiwa wamechelewa ata kufika, wale masikini watalala nje siku tatu wakiimba na kuwafariji. Ni muhimu sana kuwa na network yenye mchanganyiko wa watu kwa kuwa wote ni bora kwa wakati na mahali pake.

Nachotaka kusema Leo ukiwa mzazi unawajibu wa kumsaidia Mwanao kujenga netwok ya maisha ya baadaye. Usimtenganishe na Dunia kwa kuwa unaweza kumpa kila kitu, kwa kuwa Dunia yako kama Mzazi ni robo ya Dunia atakayowahitaji wenzake:

1. Lazima acheze na watoto wa mtaani kwake ata kama hawana viatu. Viatu ni jambo la muda na kupita.

2. ⁠Unapompitia Shule hakikisha watoto anaosoma nao na wako mtaani kwako huwaachi, wabebe Wote urudi nao kwemye gari, Mafuta yanabakia yaleyale, hawa watakuwa ndugu zake wakati wewe haupo duniani.

3. ⁠uUsijisikie vibaya kumsubiri dakika 10 rafiki yake anayekaribia kutoka darasani . Wao watamsubiri miaka 10
Kwenye maisha hapo baadaye.

4. Wajue kwa Majina kadri unavyoweza Marafiki zake, wajue progress yao, wakiwa wanaumwa Mpe nafasi akawasalimie, utamjengea Bond kubwa kwenye maisha yake ya ukubwani.

5. ⁠Akiingia Darasa jipya, awaangalie watoto wenzake wasio na uwezo mkubwa, awape vitabu vyake watumie kusoma badala ya kuacha vinaharibika Ndani, kuna siku akiwa na miaka 40 kuna mwenzake Ofisini atamuonyesha kitabu Chenye jina lake alichompa. Watu wasio na uwezo wanajua kutunza vitabu.

6. ⁠Mfundishe kujali watoto wenzake na akushirikishe changamoto zao. Kuna wengine wanahitaji msaada.

7. ⁠Usiogope wala kusita kuchukua hatua anapokujuaza changamoto za mtoto mwenzake zilizo Ndani ya uwezo wako.

8. ⁠Once in a while, pita kwenye play ground yao. Waangalie ata kwa dakika 10 na kuwapongeza kwa Michezo yao. Watakukumbuka daima.

9. ⁠Wakumbushe watoto wote kuwa kila mmoja Ana nafasi ya maisha bora hapo baadaye, wawe watoto wema daima.

10. ⁠Akihama Shule, hakikisha anawaaga wenzake na kuwaambia ipo siku wataonana Tena . Asiondoke tu ghafla ata kama ni darasa la kwanza . Ina kumbukumbu sna baadaye wakiwa watu wazima.

Kumbuka mtoto mwenye networks ni tajiri wa maisha Kama tajiri mwingine. Akiwa na Shida ofisi yeyote anakuta Marafiki, akiwa na biashara anakuta kundi la wateja na akiwa mwanasiasa anakuta kundi la supporters.
Elimu ??? Kwa walimu gani ? Hawa kenge hawana uwezo wa kuel8misha watt wetu wamebaki kuwalawiti tu??
 
Sina sababu ya kueleza mengi sna kuhusu Elimu na investment kwa kuwa kila mahali yanazungumzwa na kurudiwa rudiwa. Lakini watu wote wanasahau element muhimu sana ya network.

Network ni namna ambavyo unajijenga ndani ya kundi muhimu la marafiki, washirika, alumnus mbalimbali na ata wale wa Masikini kabisa wa mtaani.

Network haipaswi kubagua aina fulani ya Elimu au vyeo, hii ni Sehemu ambayo wanakosea wasomi wengi wakiamini unatakiwa kuwa na marafiki wa level yako ya Elimu au fedha.

Kimsingi kundi la wasomi ata ukiwa na msiba mathalani, watatuma michango mikubwa lakini Utakutana nao kinondoni makaburini wakiwa wamechelewa ata kufika, wale masikini watalala nje siku tatu wakiimba na kuwafariji. Ni muhimu sana kuwa na network yenye mchanganyiko wa watu kwa kuwa wote ni bora kwa wakati na mahali pake.

Nachotaka kusema Leo ukiwa mzazi unawajibu wa kumsaidia Mwanao kujenga netwok ya maisha ya baadaye. Usimtenganishe na Dunia kwa kuwa unaweza kumpa kila kitu, kwa kuwa Dunia yako kama Mzazi ni robo ya Dunia atakayowahitaji wenzake:

1. Lazima acheze na watoto wa mtaani kwake ata kama hawana viatu. Viatu ni jambo la muda na kupita.

2. ⁠Unapompitia Shule hakikisha watoto anaosoma nao na wako mtaani kwako huwaachi, wabebe Wote urudi nao kwemye gari, Mafuta yanabakia yaleyale, hawa watakuwa ndugu zake wakati wewe haupo duniani.

3. ⁠uUsijisikie vibaya kumsubiri dakika 10 rafiki yake anayekaribia kutoka darasani . Wao watamsubiri miaka 10
Kwenye maisha hapo baadaye.

4. Wajue kwa Majina kadri unavyoweza Marafiki zake, wajue progress yao, wakiwa wanaumwa Mpe nafasi akawasalimie, utamjengea Bond kubwa kwenye maisha yake ya ukubwani.

5. ⁠Akiingia Darasa jipya, awaangalie watoto wenzake wasio na uwezo mkubwa, awape vitabu vyake watumie kusoma badala ya kuacha vinaharibika Ndani, kuna siku akiwa na miaka 40 kuna mwenzake Ofisini atamuonyesha kitabu Chenye jina lake alichompa. Watu wasio na uwezo wanajua kutunza vitabu.

6. ⁠Mfundishe kujali watoto wenzake na akushirikishe changamoto zao. Kuna wengine wanahitaji msaada.

7. ⁠Usiogope wala kusita kuchukua hatua anapokujuaza changamoto za mtoto mwenzake zilizo Ndani ya uwezo wako.

8. ⁠Once in a while, pita kwenye play ground yao. Waangalie ata kwa dakika 10 na kuwapongeza kwa Michezo yao. Watakukumbuka daima.

9. ⁠Wakumbushe watoto wote kuwa kila mmoja Ana nafasi ya maisha bora hapo baadaye, wawe watoto wema daima.

10. ⁠Akihama Shule, hakikisha anawaaga wenzake na kuwaambia ipo siku wataonana Tena . Asiondoke tu ghafla ata kama ni darasa la kwanza . Ina kumbukumbu sna baadaye wakiwa watu wazima.

Kumbuka mtoto mwenye networks ni tajiri wa maisha Kama tajiri mwingine. Akiwa na Shida ofisi yeyote anakuta Marafiki, akiwa na biashara anakuta kundi la wateja na akiwa mwanasiasa anakuta kundi la supporters.
Nitakuwa pale kesho
 
private schools zinalegeza sana watoto. pia zinawadanganya wanajiweka status ambayo sio yao
Inashangaza Sana mtoto wa secondary school eti umpeleke kuripoti shuleni na wakifunga shule eti ukamchukuwe!

Kudadeki sifanyi huu upuuzi hata siku moja.

Kijana wa kiume wa secondary school pocket money anayo unakwenda kumchukuwa shuleni ili iweje? Matokeo yake mitoto imekuwa mipumbavu, inakuwa urefu tu kichwani hamna kitu na hawawezi kujisimamia wenyewe.
 
private schools zinalegeza sana watoto. pia zinawadanganya wanajiweka status ambayo sio yao
Tulia wewe na Acha kuongea non sense, Kila mtu ana haki ya kumpeleka mtoto wake anapoamini atapata Elimu bora, Acha kupangia watu matumizi, kama huna hela ya private school peleka Kayumba wanapostahili na kaa kimya
 
Back
Top Bottom