Search results

  1. mkamanga original

    USHAURI: Rais teua Wakurugenzi wa Halmashauri, Halmashauri zinakufa huku

    Tangu upite uteuzi wa Wakuu wa Mikoa hakuna kinachofanyika huku kwenye Halnashauri. Kauri yako uliyoitoa wakati unawaapisha wakuu wa mikoa ya kwamba " zege halilali ,hii itaenda hadi chini" umesababisha viongozi hao ku-relux na kutofanya kazi. Wapo wanaosema mama unaingiza watu wako ,hivyo...
  2. mkamanga original

    Rais Samia umeupiga mwingi kwenye Utumishi wa Umma, ila kuna moja linaloumiza utumishi wa umma umeliacha

    Rais wetu umejitahidi kufuta maumivu ya watumishi Wa umma wa nchi hii pamoja na makundi mengineyo yaliyokuwa yameathirika na utawala wa JPM. Hakika katika utawala Wa mwendazake wananchi wameona rangi mbalimbali Magufuri aliweka utaratibu mbaya Wa upandaji Wa madaraja ya mishahara pamoja na...
  3. mkamanga original

    Kupitia uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri, nimejifunza Serikali haina shukrani

    Katika uteuzi wa Wakurugenzi kuna jumla ya wakurugenzi 69 wa zamani wameachwa. Wakurugenzi hawa walio achwa ndio wale walio tumia nguvu nyingi kuhakikisha kwenye maeneo yao wagmbea wa ccm wanatangazwa kuwa washindi . Nimekutana na mmojawapo Leo jioni hii analalamika kwamba alitumia nguvu...
  4. mkamanga original

    Rais Samia teua Wakurugenzi, hawapo vituoni wote wamejazana Dodoma

    Wamekimbia vituo vyao, wamejazana Dodoma eti wanasema wanapigana ili warudi. Vituo vingi vinakaa bila watu, kazi hazifanyiki. Wapo huko wanaingaikie teuzi
  5. mkamanga original

    Niseme tu Katiba Mpya tusubiri miaka 100 mbele, kizazi hiki hakina uwezo wa kuisimamia hiyo katiba mpya inayodaiwa

    Napingana sana na wana harakati na waumini wanao dai sasa nchi inahitaji katiba mpya ili iweze kwenda mbele.Mimi napingana nao kwa sababu kuu zifuatazo 1. Kwa sasa kudai uandaaji wa katiba mpya ni kupoteza fedha na muda kwa sababu sisi kama nchi bado hatuna uwezo wa kuisimamia hiyo katiba mpya...
  6. mkamanga original

    Serikali inunue Magari ya idara zote za Halmashauri ili kuleta tija na Ufanisi Nchini

    Muundo wa Halmashauri zetu zina idara 12 na vitengo 6. Hivyo kufanya jumla ya wakuu wa idara na vitengo kuwa 18 . Kabla ya kuondoka watalaam wa Maji kwenda RUWASA Halmashauri ilikuwa na wakuu wa idara na vitengo 19. Idara zilizopo katika Halmashauri ni idara ya Elimu Msingi, Idara ya elimu...
  7. mkamanga original

    Kuongezeka kwa Wimbi la wanawake kuzalia nyumbani (kuzaa kabla ya kuolewa)

    Kuna ongezeko kubwa la mabinti kuzalia home kwa wazazi kabla ya kuolewa. Nimefanya utafiti ,majibu yangu yamejuwa na ukweli, Lakini sababu kubwa ni kutokana na 1. wanawake wengi kukata tamaa, 2.umri mkubwa, 3.lakini pia nimekutana na majibu ya wanawake waliamua kushika mimba baada ya...
  8. mkamanga original

    Tusaidiane kujua katika uteuzi wa Jana wa makatibu wakuu wa wizara waliotenguliwa akina nani na ingizo jipya akina nani

    Great thinker tusaidiane kuchambua uteuzi uliofanyika Jana na Mh.Rais ili kutambua ingizo jipya ni akina na CV zao kwamba walikuwa wapi kabla ya uteuzi, na waliotenguliwa ni akina nano Nimeomba great thinker nikiamini huku ndio kunakopatikana habari za usahihi kiliko social media zozote,
  9. mkamanga original

    Nahitaji msaada wa kupata mwongozo wa ufanyikaji wa vikao vya baraza la wafanyakazi la Halmashauri

    Wakuu naomba msaada wa kusaidiwa mwongozo wa vikao vya baraza La wafanyakazi LA Halmashauri .Ikiwa ni pamoja na 1.wajumbe wake 2. Ikidi 3. Meza kuu wanakaa watu gani 4. Linatakuwa lifanyike Mara ngapi kwa mwaka 5. Mwenyekiti wake anapatikanaje
  10. mkamanga original

    Rais, wananchi wanataka kujua Michango mashuleni imerudishwa? Tunaomba tamko la Serikali

    Watoto wa madarasa ya awali na darasa la kwanza hawapokelewi mashuleni mpaka wazazi watoe michango. Utafiti uliofanyika unaonyesha mzazi wa darasa la kwanza analazimika kuchangia kati ya tsh. 15,000 hadi tsh. 80,000. Wakati wale wa awali michango yao ni kati ya tsh. 20,000 hadi 100,000. Mbaya...
  11. mkamanga original

    Membe anaweza saidia sana katika mchakato wa kudai Tume Huru ya Uchaguzi

    Vyama vya siasa vinavyo jitambua ambavyo vimeanzisha mchakato wa kudai Tume Huru ya uchaguzi vinaweza kucheza vizuri karata kama watamtumia Bernard Membe. Namshauri Membe kutojiunga na chama chochote cha siasa ili kile anachokiamini kiweze kufanikiwa, apigane hii vita akiwa kama mwanaharakati...
  12. mkamanga original

    Tuandamane kumpinga Kiongozi Anayedhurumu haki za watu kuishi

    Marekani ni taifa kubwa duniani lililojikita katika kuamini kulinda haki za raia duniani na dunia inakuwa sehemu salama ya kuishi limeshatoa adhabu na kutuonyesha njia. Wanaopinga waje na data, marekani ametuonyesha njia tuchukue hatua dhidi ya kiongozi aliyetajwa na wote wengine watakao...
  13. mkamanga original

    Msaada wa haraka wadau wa hili jukwaa

    Nimepata tatizo la simu yangu , mara ya mwanzo nilikuwa natumia facebook lite kama wiki imepita nikaamua kuistall facebook nabkuachana na fb lite. Baada ya siku tatu nikaamua kuinstall zote yaani fb lite na fb .nimetumia hizo kwa takribani siku kama nne hivi, baadae nikaona zote zimepotea ...
  14. mkamanga original

    Game ya Simba inaonyeshwa kwenye tv gani

    Naomba kujua wadau, nikitaka kucheki game kwenye simu naomba app
  15. mkamanga original

    Je, umewahi kukutana na ajali ya mapenzi?

    Kwa kweli ajali ni ajali. Nakumbuka nimekutana na ajali nyingi za mapenzi . Wakati nikiwa kidato cha pili nilikutana na ajali ambayo siwezi kuisahau kamwe. Siku hiyo kulikuwa na wellcome. Form one ilipofika muda wa muziki kama saa 3 usiku hivi, kuna binti mmoja wa kidato cha tatu nilikuwaa...
Back
Top Bottom